-
Maulama wa Palestina: Kikao cha Bahrain kina lengo la kuifuta Palestina na kusambaratisha matukufu ya Wapalestina
Jun 13, 2019 21:54Jumatano yana Jumuiya ya maulama wa Palestina ilifanya kikao kilichopewa jina la 'Maulama wa Palestina katika Kukabiliana na Mpango wa Muamala wa Karne wa Trump' huko Ukanda wa Gaza kwa lengo la kujadili malengo ya mkutano wa kiuchumi wa nchini Bahrain.
-
Utawala wa Kizayuni wateketeza mashamba ya mizaituni na mabwawa ya maji Ukingo wa Magharibi
Jun 11, 2019 08:57Katika mwendelezo wa jinai na ukatili wake, utawala haramu wa Kizayuni umeteketeza zaidi ya miti 550 ya mizaituni yenye matunda na mabwawa kadhaa ya kuhifadhia maji katika mkoa wa Tubas, kaskazini mwa Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
-
Ufaransa yakosoa mpango wa 'Muamala wa Karne'
Jun 11, 2019 00:51Licha ya juhudi kuibwa zinazofanywa na Rais Donald Trump wa Marekani kwa ajili ya kufanikisha mpango wa 'Muamala wa Karne' ambao unalenga kudhamini maslahi ya utawala haramu wa Israel kwa madhara ya Wapalestina, lakini washirika wa Ulaya wa Washington ikiwemo Ufaransa, wanaendelea kuukosoa mpango huo.
-
Kiongozi Muadhamu: Nchi za Kiislamu zipambane na adui ghasibu anayetenda jinai Palestina
Jun 05, 2019 07:25Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, nchi za Kiislamu zina wajibu wa kukabiliana na adui ghasibu anayetenda jinai huko Palestina na sio kuzozana zenyewe kwa zenyewe.
-
Pompeo akiri kutotekelezeka mpango wa 'Muamala wa Karne'
Jun 04, 2019 02:42Licha ya juhudi kubwa zinazofanywa na serikali ya Rais Donald Trump wa Marekani kwa ajili ya kutekeleza mpango wa 'Muamala wa Karne' ambao unalenga kudhamini maslahi ya utawala haramu wa Israel kwa madhara ya Wapalestina, lakini hata Mike Pompeo mwenyewe, Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo hana matumaini ya kutekelezwa mpango huo.
-
Wanaharakati wa kiraia mjini Vienna wafanya maandamano kupinga uzayuni
Jun 02, 2019 03:20Mamia ya Waislamu na wanaharakati wa makundi ya kiraia nchini Austria, wamefanya maandamano mjini Vienna, wakipinga jinai na ukatili wa utazala haramu wa Israel dhidi ya raia wa Palestina.
-
Jeshi katili la Israel lawaua shahidi Wapalestina katika Siku ya Quds
May 31, 2019 23:27Kwa akali Wapalestina wawili waliuawa shahidi na jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel jana Ijumaa, wakati dunia ikiadhimisha Siku ya Kimataifa ya Quds.
-
Rouhani: Wananchi wa Iran kamwe hawataiacha pekee Quds na madhulumu wa kihistoria
May 29, 2019 08:42Rais wa Iran ameeleza kuwa wananchi wa Iran kamwe hawataiacha pekee Quds na madhulumu wa kihistoria na kuongeza kuwa: Wananchi wa Iran mwaka huu pia watashiriki kwa wingi na kwa hamasa katika maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds na watatangaza kuwa wataendelea kuwa imara na kusimama kidete hadi kupata ushindi mbele ya madhalimu.
-
Muamala wa Karne; muamala muovu na jinai dhidi ya haki za taifa la Palestina
May 29, 2019 02:38Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina amesema kuwa "Muamala wa Karne" uliopendekezwa na Marekani kuhusu Palestina ni muamala muovu sana na kwamba kikao kilichopangwa kufanyika mwezi ujao huko Bahrain kujadili mpango huo nacho kitatumbukia kwenye moto wa jahannam kama ilivyo kwa muamala huo wa karne.
-
Spika wa Bunge la Iran akosoa njama za Wamagharibi dhidi ya Wapalestina
May 26, 2019 23:57Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amekosoa vikali njama za nchi za Magharibi zikiongozwa na Marekani zilizopewa jina la 'Muamala wa Karne' dhidi ya Wapalestina, huku akitoa mwito wa mahudhurio makubwa katika maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds.