-
Palestina yazitaka nchi za Afrika kukata uhusiano na Israel
Jul 02, 2018 09:17Waziri wa Mambo ya Nje wa Palestina ameziomba nchi za bara la Afrika zitazame upya uhusiano wao na utawala haramu wa Israel.
-
Waandamanaji wa Kipalestina watungua drone ya Israel
Jul 01, 2018 02:49Waandamanaji wa Kipalestina wamedondosha ndege ya kijasusi isiyo na rubani ya utawala wa Kizayuni wa Israel, katika Ukanda wa Gaza.
-
Utawala wa Kizayuni kubomoa nyumba 50 za Wapalestina Ukingo wa Magharibi
Jun 23, 2018 03:24Utawala wa Kizayuni wa Israel umetishia kubomoa zaidi ya nyumba 50 za Wapalestina kaskazini mwa Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan, ikiwa ni muendelezo wa sera kandamizi za Tel Aviv katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu kinyume cha sheria za kimataifa.
-
Algeria yalaani jinai za Israel huko Palestina na uungaji mkono wa Marekani
Jun 21, 2018 23:33Waziri Mkuu wa Algeria amesema Algiers inapinga vikali jinai na mauaji yanayoendelea kufanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel huko Palestina licha ya uungaji mkono wa Marekani kwa utawala huo.
-
Haniya: Azimio la UN dhidi ya Israel, ishara namna Marekani na Israel zinavyozidi kutengwa
Jun 16, 2018 03:08Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesema hatua ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kupasisha azimio linaloulaumu na kuulaani utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kufanya mauaji dhidi raia wa Kipalestina katika Ukanda wa Ghaza ni ithibati nyingine inayoonesha namna na utawala huo haramu na Marekani zinazidi kutengwa kimataifa.
-
Pigo jingine dhidi ya Marekani katika Umoja wa Mataifa kuhusu Palestina
Jun 14, 2018 23:50Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, katika fremu ya kuunga mkono taifa madhulumu la Palestina, limepitisha kwa wingi wa kura azimio la kulaani vikali jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina na kwa utaratibu huo, Marekani, kwa mara nyingine tena, imepata pigo na kugonga mwamba katika jitihada zake za kulaani Harakati ya Mapambanao ya Kiislamu ya Palestina, Hamas.
-
Nchi 120 katika Umoja wa Mataifa zalaani mauaji yanayofanywa na Israel dhidi ya Wapalestina
Jun 13, 2018 22:17Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limeidhinisha azimio linaloulaumu na kuulaani utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kufanya mauaji dhidi raia wa Kipalestina katika Ukanda wa Ghaza.
-
Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu kuhusu undumakuwili wa nchi za Magharibi
Jun 11, 2018 06:07Ayatullahil Udhma Ali Khamenei Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Jumapili katika mkutano wake na mamia ya wahadhiri wa vyuo vikuu na wasomi kutoka taasisi mbali mbali za utafiti nchini alibainisha nafasi ya juu ya mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika uga wa kimataifa.
-
Kiongozi Muadhamu: Sharti Wapalestina wenyewe waamue hatima ya Palestina
Jun 11, 2018 03:15Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema hatima ya Palestina inapaswa kuamuliwa na Wapalestina wenyewe, wakiwemo Waislamu, Wakristo na Mayahudi ambao wana asili na waliishi katika ardhi ya jadi ya Palestina.
-
Iran: Nchi za Kiislamu zinapaswa kuungana kulihami taifa linalodhulumiwa la Palestina
Jun 10, 2018 03:23Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Uturuki amesema, nchi za Waislamu na mataifa huru duniani yanapaswa kuwa kitu kimoja katika kulihami na kuliunga mkono taifa linalodhulumiwa la Palestina.