Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Quds

  • Misri yamuonya Trump dhidi ya kuvuruga mambo Mashariki ya Kati

    Misri yamuonya Trump dhidi ya kuvuruga mambo Mashariki ya Kati

    Dec 06, 2017 04:20

    Rais Abdulfattah al-Sisi wa Misri amemtahadharisha mwenzake wa Marekani Donald Trump dhidi ya kuhamishia ubalozi wa Marekani kutoka Tel Aviv hadi mji mtukufu wa Quds, huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.

  • Abbas amtahadharisha Trump kuhusu hatari ya kuhamishia ubalozi Quds

    Abbas amtahadharisha Trump kuhusu hatari ya kuhamishia ubalozi Quds

    Dec 06, 2017 01:23

    Kiongozi wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina amewasiliana na viongozi kadhaa wa kimataifa akiwemo Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francis akiwahimiza kupinga mpango wa Rais Donald Trump wa Marekani wa kutaka kuhamishia ubalozi wa nchi hiyo katika mji mtakatifu wa Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel.

  • Radiamali ya OIC kwa siasa za Rais Trump kuhusiana na Quds

    Radiamali ya OIC kwa siasa za Rais Trump kuhusiana na Quds

    Dec 05, 2017 10:03

    Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu OIC imemtahadharisha Rais Donald Trump wa Marekani kuhusiana na kuutambua mji wa Quds kama mji mkuu wa utawala haramu wa Israel.

  • PLO: Kuuhamishia Quds ubalozi wa Marekani ni 'busu la mauti'

    PLO: Kuuhamishia Quds ubalozi wa Marekani ni 'busu la mauti'

    Dec 05, 2017 04:31

    Mwakilishi wa Harakati ya Ukombozi wa Palestina (PLO) nchini Marekani ameonya kuhusu madhara ya mpango wa Washington wa kuuhamisha ubalozi wake mjini Tel Aviv na kuupeleka katika mji mtakatifu wa Quds.

  • Ismail Hania: Kadhia ya Quds ni sababu ya Waislamu kuungana

    Ismail Hania: Kadhia ya Quds ni sababu ya Waislamu kuungana

    Dec 04, 2017 23:14

    Ismail Hania, Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesisitiza kwamba, kadhia ya Quds ni sababu ya Waislamu kuungana na kwamba, suala hilo lipo katika orodha ya masuala ya Waislamu yanayopaswa kuzingatiwa na kupewa kipaumbele.

  • Utawala wa Kizayuni waidhinisha ujenzi wa nyumba mpya za walowezi

    Utawala wa Kizayuni waidhinisha ujenzi wa nyumba mpya za walowezi

    Oct 25, 2017 12:01

    Baraza la Mawaziri wa utawala wa Kizayuni limeidhinisha kujengwa nyumba mpya kwa ajili ya walowezi wa Kizayuni katika ardhi walizoporwa Wapalestina kwenye mji wa Quds unaokaliwa kwa mabavu na Wazayuni.

  • Mayahudi wa Orthodox waliokataa kujiunga na jeshi wapambana na askari wa Israel katika mji wa Quds

    Mayahudi wa Orthodox waliokataa kujiunga na jeshi wapambana na askari wa Israel katika mji wa Quds

    Sep 18, 2017 03:27

    Hatua ya mahkama kuu ya utawala haramu wa Kizayuni wa Israel kufuta msamaha uliokuwa unawaruhusu Mayahudi wa Orthodox kutohudumu jeshini, imelifanya kundi moja la Mayahudi hao kufanya maandamano na kuanza kupambana vikali na askari wa Israel katika mji wa Quds unaokaliwa na utawala huo khabithi.

  • Wanazuoni wa Kiislamu Quds Tukufu wataka Waislamu wajitokeze kwa wingi katika Msikiti wa al Aqsa

    Wanazuoni wa Kiislamu Quds Tukufu wataka Waislamu wajitokeze kwa wingi katika Msikiti wa al Aqsa

    Aug 28, 2017 23:53

    Wanazuoni wa Kiislamu katika mji mtakatifu wa Quds wametoa wito kwa Waislamu Wapalestina kujitokeza kwa wingi katika Msikiti wa al Aqsa mjini humo.

  • HRW yatahadharisha kuhusu njama mpya za Israel katika Quds Tukufu

    HRW yatahadharisha kuhusu njama mpya za Israel katika Quds Tukufu

    Aug 13, 2017 03:41

    Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Human Rights Watch (HRW) limetahadharisha kuhusu mipango na njama za muda mrefu zinazotekelezwa na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel kwa madhumuni ya kuwahamisha wakaazi wote Wapalestina wa asili katika mji wa Baitul Muqaddas na kuuzayunisha mji huo.

  • Kongamano la Kimataifa la Quds laanza nchini Nigeria

    Kongamano la Kimataifa la Quds laanza nchini Nigeria

    Jul 30, 2017 10:44

    Kongamano la Kimataifa la Quds ambalo hufanyika kila mwaka limeanza shughuli zake katika mji mkuu wa Nigeria, Abuja.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS