-
Rais Rouhani: Iran haitaki vita na mapigano Ghuba ya Uajemi
Jun 26, 2019 12:34Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Iran haitaki vita na mapigano katika eneo la Ghuba ya Uajemi lakini haitaruhusu maadui kuvuka mipaka yake kinyume cha sheria.
-
Rouhani: Iran itatoa jibu mwafaka iwapo anga yake itahujumiwa tena
Jun 26, 2019 03:24Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Tehran haifuatilii kuingia vitani na Marekani lakini itatoa jibu mwafaka iwapo anga yake itahujumiwa tena na Marekani.
-
Rouhani: Kumuwekea vikwazo Kiongozi Muadhamu ni ishara ya kudorora kiakili wakuu wa Marekani
Jun 25, 2019 12:17Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria hatua ya Marekani kuiwekea Iran vikwazo vipya na kusisitiza kuwa: "Kumuwekea vikwazo kiongozi wa ngazi za juu zaidi wa kisiasa, kijamii, kidini na kimanawi wa nchi ambaye si tu kuwa ni kiongozi wa Iran bali ni kiongozi wa wanaoyapenda Mapinduzi ya Kiislamu na Waislamu kote duniani ni hatua ya kichekesho na kijuba."
-
Rouhani: Uingiliaji wa kijeshi wa Marekani ni chanzo cha matitzo katika eneo
Jun 23, 2019 13:12Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema sera za Iran ni kupunguza taharuki, kujiweka mbali na kila aina ya makabiliano ya kijeshi sambamba na kueneza amani na uthabiti katika eneo na dunia nzima.
-
Rais Rouhani: Nchi za Ulaya zina muda mfupi wa kuiokoa JCPOA
Jun 17, 2019 13:04Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema nchi za Ulaya zina muda mfupi wa kuyaokoa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.
-
Rais Rouhani: Iran inataka uhusiano wake na Qatar uimarike kwa kiwango cha juu sana
Jun 16, 2019 02:19Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa utulivu na usalama ni vitu vilivyoshikamana barabara na kusisitiza kuwa Tehran inataka utawale moyo wa udugu, misimamo ya wastani, hekima na muono wa mbali katika uhusiano wa nchi za Asia Magharibi.
-
Rais Rouhani asisitiza kuimarishwa uhusiano wa Iran na Afghanistan
Jun 15, 2019 10:42Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Tehran inataka kuona uthabiti, usalama, amani na utulivu katika nchi jirani ya Afghanistan huku akisisitiza umuhimu wa kuimarishwa uhusiano wa nchi mbili.
-
Rouhani: Iran imezuia kupenya na kuenea ugaidi katika maeneo mengine duniani + Video
Jun 15, 2019 08:10Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amegusia mchango wa Tehran katika kupambana na makundi ya kigaidi na ukufurishaji huko Syria na Iraq na kuongeza kuwa, Jamhuri ya Kiislamu imezuia kupenya na kuenea ugaidi katika maeneo mengine duniani.
-
Rais Rouhani: Marekani ni tishio kuu kwa uthabiti wa dunia
Jun 14, 2019 13:37Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema utawala wa Rais Donald Trump wa Marekani ni tishio kubwa kwa usalama na uthabiti wa nchi za eneo la Asia Magharibi na duniani kote kwa ujumla.
-
Rouhani: Iran inakaribisha suala la kuimarisha uhusiano na Japan
Jun 13, 2019 04:08Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa hamu iliyodhihirishwa na Japan ya kutaka kuwekeza katika maeneo ya kusini mwa Iran inadhamini suala la kustawisha uhusiano kati ya nchi mbili.