-
Rais Rouhani: Mauaji ya wafanya ziara Iraq ni kitendo cha kinyama
Nov 25, 2016 04:41Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa kitendo cha kinyama cha magaidi cha kuwaua shahidi Waislamu katika mji wa Hilla ambao walikwenda nchini Iraq kuzuru Haram ya mjukuu wa Mtume Muhammad (saw), Imam Hussein (as) kinaonesha upeo wa juu wa kubakia nyuma kwa wahalifu hao wenye nyoyo zilizopofuka.
-
Iran kuimarisha uhusiano wa kijeshi na China
Nov 15, 2016 23:28Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema nchi hii inakaribisha kuimarishwa uhusiano na China katika nyanja zote ikiwemo sekta ya ulinzi.
-
Rais Rouhani: Uingiliaji wa kijeshi ni tishio kwa usalama wa dunia
Nov 07, 2016 11:37Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, uingiliaji wa kijeshi katika masuala ya ndani ya nchi nyingine ni tishio kubwa kwa usalama na amani ya dunia.
-
Rais Rouhani asisitiza umoja kwa ajili ya kupambana na ugaidi
Nov 05, 2016 04:09Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa wito wa kuimarishwa umoja na mshikamano kwa ajili ya kuimarisha usalama na amani ya Mashariki ya Kati.
-
Rouhani: Uingiliaji wa kigeni umeleta mgawanyiko Mashariki ya Kati
Nov 02, 2016 01:07Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema matatizo yanayolikabili eneo hili la Mashariki ya Kati yamesababishwa na uingiliaji unaofanywa na nchi za kigeni katika masuala ya ndani ya nchi za eneo hilo.
-
Rais Rouhani ampongeza Aoun kwa kuchaguliwa kuwa Rais mpya wa Lebanon
Nov 01, 2016 00:05Rais Hassan Rouhani amempongeza Michel Aoun kwa kuchaguliwa kuwa rais mpya wa Lebanon na kueleza matumaini yake kwamba katika kipindi hiki kipya uhusiano wa Iran na Lebanon utastawishwa zaidi ya ilivyokuwa katika siku za nyuma.
-
Rais Rouhani asisitiza kuarifishwa uwezo wa Iran katika nchi zingine duniani
Oct 31, 2016 10:49Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuhusu ulazima wa kuarifishwa uwezo wa Iran kwa ajili ya wawekezaji wa sekta binafsi kutoka nchi zingine duniani.
-
Rouhani: EU yawania kurejesha uhusiano na Iran baada ya JCPOA
Oct 26, 2016 11:38Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema nchi za Umoja wa Ulaya zipo mbioni kurejesha na kuimarisha uhusiano wao na Tehran, tokea yafikiwe mapatano ya nyuklia yajulikanayo kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji JCPOA.
-
Rouhani: Nchi za kibeberu zinafanya maonyesho ya kisiasa katika "vita dhidi ya ugaidi"
Oct 25, 2016 04:24Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema madola ya kibeberu na kiistikbari yanawachezea shere walimwengu sambamba na kufanya maonyesho ya kisiasa katika kile wanachokitaja kuwa 'vita dhidi ya ugaidi.'
-
Rouhani: Utamaduni wa Ashura unaweza kuimarisha uthabiti Asia
Oct 12, 2016 04:01Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema iwapo utamaduni wa kuadhimisha kumbukumbu ya Ashura, siku aliyouawa shahidi Imam Hussein AS, Mjukuu wa Mtume Mtukufu SAW utafuatwa kwa dhati, usalama na uthabiti utarejea katika bara la Asia na ulimwengu wa Kiislamu.