-
"Mapinduzi", "Jamhuri ya Kiislamu" na "Utawala wa Faqihi" ni turathi tatu za kihistoria za Imam Khomeini (ra)
Jun 02, 2016 23:26Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema "Mapinduzi ya Kiislamu", "Jamhuri ya Kiislamu" na "Uongozi na Utawala wa Faqihi" ni kumbukumbu na turathi tatu za kihistoria za Imam Khomeini (ra) kwa taifa la Iran.
-
Rouhani: Saudia inatumikia maslahi ya Israel kwa kuwazuia Mahujaji Wairani
May 30, 2016 23:12Rais Hassan Rouhani wa Iran amelaani hatua ya Saudia kuwazuia Wairani kutekeleza ibada ya Hija mwaka huu na kusema hatua hiyo ni kwa maslahi ya utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Rais Rouhani ataka waungaji mkono magaidi duniani watajwe
May 28, 2016 23:21Rais Hassan Rouhani wa Iran ametoa mwito wa kufanyika jitihada za pamoja za kupambana na ugaidi kote duniani huku akisisitiza kuwa wanaotoa uungaji mkono wa siri kwa magaidi wanapaswa kutajwa ili kusitisha misaada yao kwa magaidi hao.
-
Rais wa Croatia alakiwa rasmi na Rais Rouhani
May 18, 2016 03:20Rais Hassan Rouhani amemlaki rasmi Rais Kolinda Grabar-Kitarović wa Croatia katika jengo la kihistoria na kiutamaduni la Ikulu ya Saad Abad mjini Tehran.
-
Sisitizo la Rouhani kuhusu kutekelezwa kikamilifu mapatano ya nyuklia na pande zote
May 16, 2016 08:22Hassan Rouhani, Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran jana Jumapili alikutana na mabalozi na wawakilishi wa Iran katika nchi za kigeni katika kongamano la "Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) na Uchumi wa Muqawama; Fursa na Uwezo"
-
Rais Rouhani: JCPOA ni sehemu tu ya sera za nje za serikali katika kustawisha uchumi
May 15, 2016 23:58Rais Hassan Rouhani amesema makubaliano ya nyuklia yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) ni sehemu tu ya sera za nje za serikali ya Iran katika kujenga maelewano chanya na ulimwengu na kuupa msukumo ustawi wa uchumi.
-
Iran kuishtaki Marekani Mahakama ya Kimataifa ya ICJ kwa uporaji mali
May 10, 2016 10:34Rais Hassan Rouhani amesema Iran hivi karibuni itawasilisha lalamiko dhidi ya Marekani katika Mahakama ya Kimataifa ya Uadilifu ICJ, huko The Hague, kufuatia uamuzi wa mahakama moja ya Markeani kuchukua kwa nguvu dola bilioni mbili za Iran zilizoko nchini humo.
-
Rouhani: Iran inafadhilisha kuwa na uhusiano mzuri na nchi za Afrika
May 03, 2016 23:36Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema taifa hili linafadhilisha kuwa na mahusiano mazuri na nchi za Afrika ikiwemo Togo.
-
Rais Rouhani: Leo Dunia ina imani na Iran na ahadi inazotoa
May 03, 2016 11:59Rais Hassan Rouhani amesema leo dunia ina imani na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na ahadi inazotoa.
-
Iran, Korea Kusini zasaini mikataba 19 ya ushirikiano
May 02, 2016 12:18Iran na Korea Kusini leo zimetiliana saini mikataba 19 ya kuimarisha uhusiano katika nyanja mbali mbali.