Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • Russia yasisitiza kuundwa muungano wa kimataifa wa kutegua mabomu huko Syria

    Russia yasisitiza kuundwa muungano wa kimataifa wa kutegua mabomu huko Syria

    Apr 26, 2017 08:46

    Russia imetaka kuundwa muungano wa kimataifa kwa ajili ya kutegua mabomu ya kutegwa ardhini huko Syria.

  • Moscow: Uingereza itafutwa katika ramani ya dunia iwapo itatumia silaha za nyuklia dhidi ya Russia

    Moscow: Uingereza itafutwa katika ramani ya dunia iwapo itatumia silaha za nyuklia dhidi ya Russia

    Apr 24, 2017 22:34

    Naibu Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Baraza la Seneti la Russia ametoa tahadhari kali kuhusu vitisho vilivyotolewa na Waziri wa Ulinzi wa Uingereza vya kutumia silaha za nyuklia katika mashambulizi eti ya kujilinda dhidi ya Russia.

  • Lavrov: Russia, Iran, Hizbullah zitaendelea kuiunga mkono Syria kupambana na magaidi

    Lavrov: Russia, Iran, Hizbullah zitaendelea kuiunga mkono Syria kupambana na magaidi

    Apr 23, 2017 03:22

    Sergey Lavrov, Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia ametilia mkazo wajibu wa kubadilishwa misimamo ya nchi za Magharibi katika suala zima la kupambana na magenge ya kigaidi nchini Syria na kusema kuwa, Moscow, Tehran na Hizbullah zinaiunga mkono Damascus katika vita dhidi ya ugaidi.

  • Russia yailaumu Marekani kwa kukwamisha uchunguzi, Khan Shaykhun

    Russia yailaumu Marekani kwa kukwamisha uchunguzi, Khan Shaykhun

    Apr 22, 2017 02:18

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia ameeleza kusikitishwa na upinzani wa Marekani dhidi ya pendekezo lililotolewa na Moscow na Tehran kwa ajili ya kufanyika uchunguzi wa shambulizi la silaha za kemikali katika eneo la Khan Shaykhun nchini Syria.

  • Russia yatuma jeshi lenye silaha nzito katika mpaka wake na Korea Kaskazini, hali yazidi kuwa tata

    Russia yatuma jeshi lenye silaha nzito katika mpaka wake na Korea Kaskazini, hali yazidi kuwa tata

    Apr 20, 2017 23:40

    Gazeti la Telegraph la nchini Uingereza limeandika kuwa, Russia imetuma wanajeshi wake wenye silaha nzito katika mpaka wake na Korea Kaskazini kufuatia kuongezeka uwezekano wa Marekani kuivamia kijeshi Korea Kaskazini.

  • Kikao cha wataalamu wa amani ya Syria chaanza mjini Tehran

    Kikao cha wataalamu wa amani ya Syria chaanza mjini Tehran

    Apr 18, 2017 03:41

    Kikao cha wataalamu wa masuala ya amani na utulivu wa Syria ambacho ni muendelezo wa mazungumzo ya amani ya Astana Kazakhstan, kimeanza leo Jumanne hapa mjini Tehran.

  • Lavrov: Magharibi inazuia kufanyika uchunguzi kuhusu mashambulizi ya silaha za kemikali Syria

    Lavrov: Magharibi inazuia kufanyika uchunguzi kuhusu mashambulizi ya silaha za kemikali Syria

    Apr 13, 2017 23:44

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema kuwa nchi za Magharibi zinazuia kufanyika uchunguzi wa kuweka wazi uhakika kuhusu mashambulizi ya silaha za kemikali nchini Syria.

  • Russia yatumia kura ya turufu kupinga azimio dhidi ya Syria

    Russia yatumia kura ya turufu kupinga azimio dhidi ya Syria

    Apr 13, 2017 02:55

    Russia imetumia kura ya veto kupinga azimio la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa dhidi ya Syria, lililoandaliwa kwa tuhuma bandia kwamba serikali ya nchi hiyo ya Kiarabu imetimua silaha za kemikali dhidi ya raia katika eneo la Khan Sheikhoun.

  • Kremlin: Lengo la Russia ni kupambana na magaidi Syria

    Kremlin: Lengo la Russia ni kupambana na magaidi Syria

    Apr 12, 2017 22:56

    Msemaji wa ikulu ya Russia (Kremlin) amesema kuwa lengo la nchi hiyo ni kuendesha mapambano dhidi ya magaidi huko Syria.

  • Iran, Russia na Syria zazungumzia mashambulizi ya US dhidi ya Damascus

    Iran, Russia na Syria zazungumzia mashambulizi ya US dhidi ya Damascus

    Apr 12, 2017 03:15

    Mawaziri wa ulinzi wa Iran, Russia na Syria wamefanya mazungumzo ya simu kuhusu mashambulizi ya makombora ya Marekani dhidi ya kituo cha kijeshi cha Syria, huku pande tatu hizo zikisisitizia umuhimu wa kuimarisha ushirikiano wao katika vita dhidi ya ugaidi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS