Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • Kremlin: Lengo la Russia ni kupambana na magaidi Syria

    Kremlin: Lengo la Russia ni kupambana na magaidi Syria

    Apr 12, 2017 22:56

    Msemaji wa ikulu ya Russia (Kremlin) amesema kuwa lengo la nchi hiyo ni kuendesha mapambano dhidi ya magaidi huko Syria.

  • Iran, Russia na Syria zazungumzia mashambulizi ya US dhidi ya Damascus

    Iran, Russia na Syria zazungumzia mashambulizi ya US dhidi ya Damascus

    Apr 12, 2017 03:15

    Mawaziri wa ulinzi wa Iran, Russia na Syria wamefanya mazungumzo ya simu kuhusu mashambulizi ya makombora ya Marekani dhidi ya kituo cha kijeshi cha Syria, huku pande tatu hizo zikisisitizia umuhimu wa kuimarisha ushirikiano wao katika vita dhidi ya ugaidi.

  • Hujuma ya Marekani Syria inaweza sababisha vita vya nyuklia

    Hujuma ya Marekani Syria inaweza sababisha vita vya nyuklia

    Apr 11, 2017 00:56

    Mbunge mmoja nchini Russia amelaani vikali hujuma ya hivi karibuni ya Marekani nchini Syria na kuonya kuwa hujuma hiyo yamkini ikaibua vita vya nyuklia duniani.

  • Radiamali ya awali ya Russia kwa shambulio la Marekani nchini Syria

    Radiamali ya awali ya Russia kwa shambulio la Marekani nchini Syria

    Apr 07, 2017 08:26

    Shambulizi la makombora ya Marekani dhidi ya Syria, ambalo limetekelezwa kwa amri ya kwanza ya kijeshi ya Rais Donald Trump dhidi ya serikali ya kigeni, limekabiliwa na radiamali tofauti na hasa kutoka Russia.

  • Iran, Russia zalaani hujuma ya US dhidi ya Syria, Israel na Uturuki zaunga mkono

    Iran, Russia zalaani hujuma ya US dhidi ya Syria, Israel na Uturuki zaunga mkono

    Apr 07, 2017 02:09

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikali hatua ya Marekani kuushambulia kwa makombora mkoa wa Homs ulioko magharibi wa Syria, kwa kisingizio cha 'kuiadhibu' Syria kwa shambulio la silaha za kemikali inayodai lilifanywa na serikali ya Damascus katika mji wa Khan Sheikhoun.

  • Magaidi ndio waliofanya shambulio la kemikali nchini Syria

    Magaidi ndio waliofanya shambulio la kemikali nchini Syria

    Apr 05, 2017 22:49

    Msemaji wa Ikulu ya Russia, Kremlin amesema kuwa, magaidi ndio waliofanya mashambulizi ya silaha za kemikali nchini Syria.

  • Rais Rouhani: Kutokomeza ugaidi kunahitaji juhudi za jamii ya kimataifa

    Rais Rouhani: Kutokomeza ugaidi kunahitaji juhudi za jamii ya kimataifa

    Apr 04, 2017 11:46

    Rais Hassan Rouhani amelaani shambulio la kigaidi la mripuko wa bomu uliotokea kwenye treni ya chini ya ardhi katika mji wa St. Petersburg nchini Russia na kusisitiza kuwa kuutokomeza ugaidi kunahitaji juhudi za jamii ya kimataifa.

  • Ripoti: Trump, UAE wanakula njama ya kuitenganisha Russia na Iran

    Ripoti: Trump, UAE wanakula njama ya kuitenganisha Russia na Iran

    Apr 04, 2017 11:34

    Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) uliandaa mkutano wa siri mapema mwaka huu kati ya mwakilishi wa rais mteule wakati huo wa Marekani Donald Trump na mpambe wa Rais Vladimir Putin wa Russia ili kufanikisha diplomasia ya mlango wa nyuma baina ya pande mbili.

  • Nyuma ya pazia ya mlipuko wa kigaidi katika treni ya chini ya ardhi Russia

    Nyuma ya pazia ya mlipuko wa kigaidi katika treni ya chini ya ardhi Russia

    Apr 04, 2017 03:47

    Kufuatia hujuma ya kigaidi katika mji wa bandarini wa St. Petersburg nchini Russia siku ya Jumatatu watu 10 waliripotiwa kuuawa na wengine zaidi ya 40 kujeruhiwa.

  • Iran yalaani hujuma ya kigaidi nchini Russia

    Iran yalaani hujuma ya kigaidi nchini Russia

    Apr 03, 2017 22:58

    Jamhuri ya Kiislamu ya Kiislamu ya Iran imelaani hujuma ya kigaidi katika mji wa St.Petersburg nchini Russia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS