-
10 wauawa katika mripuko wa Metro nchini Russia
Apr 03, 2017 10:43Maafisa usalama wa Russia wametangaza kuwa, idadi ya watu waliopoteza maisha katika mripuko uliotokea ndani ya treni ya chini ya ardhi (Metro) mjini Saint Petersburg wamefikia watu 10 na wengine watano wamejeruhiwa.
-
Uhusiano wa Marekani na Russia ni mbaya zaidi ya zama za Vita Baridi
Apr 03, 2017 09:21Katika hali ambayo baadhi wanadhani kuwa uhusiano wa Russia na Marekani utaboreka katika kipindi cha urais wa Donald Trump, msemaji wa Rais wa Russia amesema uhusiano wa Moscow na Washington ni mbaya zaidi ya zama za vita baridi.
-
Kutiliwa nguvu mazungumzo ya Russia na kundi la Taliban la Afghanistan
Apr 02, 2017 08:33Alexander Grushko, mwakilishi wa kudumu wa Russia katika shirika la kijeshi la nchi za Magharibi NATO amethibitisha habari kuwa Moscow imefanya mazungumzo na kundi la Taliban la Afghanistan.
-
Kikao cha Brussels cha mawaziri wa mambo ya nje wa NATO
Apr 02, 2017 00:17Kikao cha mawaziri wa mambo ya nje wa nchi wanachama wa shirika la kujihami la kijeshi la NATO kilifanyika siku ya Ijumaa iliyopita katika makao makuu ya shirika hilo mjini Brussels, Ubelgiji.
-
Russia: Iran ni mshirika wa aina yake katika vita dhidi ya ugaidi
Mar 31, 2017 10:30Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amepuuzilia mbali madai bandia kuwa Iran inaunga mkono ugaidi na kusisitiza kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ni mshirika mkubwa katika vita dhidi ya magenge ya kigaidi nchini Syria.
-
Iran, jirani mwema na mshirika mwenye utulivu na amani wa Russia
Mar 29, 2017 03:04Hati 14 za ushirikiano katika sekta mbalimbali zikiwemo masuala ya kibalozi, utalii, uchumi, mawasiliano, sheria na masuala ya mahakama zimesainiwa katika mazungumzo yaliyafanyika jana kati ya Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na mwenyeji wake wa Russia Vladimir Putin mjini Moscow.
-
Zarif: Iran inataka kuimarisha zaidi ushirikiano na Russia
Mar 28, 2017 03:41Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Tehran inataka kuimarisha zaidi uhusiano wa kisiasa na kiuchumi na ushirikiano wa kikanda na serikali ya Moscow.
-
Rouhani: Ushirikiano wa Iran, Russia unaweza kuleta usalama kieneo na kimataifa
Mar 27, 2017 23:21Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema uhusiano wa Tehran na Moscow unazidi kustawi na kuongeza kuwa, Iran inakaribisha kuimarishwa uhusiano wa kina na nchi jirani ikiwa ni pamoja na Russia.
-
Rouhani: Uhusiano wa Iran na Russia ni kwa manufaa ya eneo hili zima
Mar 27, 2017 09:00Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewasili leo Moscow, mji mkuu wa Russia akiongoza ujumbe wa ngazi za juu wa Iran kwa ajili ya ziara rasmi ya siku mbili.
-
Balozi: Kiongozi Muadhamu, Rouhani wanaupa umuhimu uhusiano wa Iran na Russia
Mar 26, 2017 03:44Balozi wa Iran mjini Moscow amesema Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu na Rais Hassan Rouhani wanaupa umuhimu mkubwa na wa kipekee uhusiano wa Jamhuri ya Kiislamu na Russia na wanataka kuuona ukiimarika.