-
Russia: CNN ni chombo cha propaganda za Marekani
Mar 25, 2017 22:13Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesema kuwa televisheni ya CNN ya Marekani imekuwa chombo cha kueneza propaganda za kisaisa za nchi hiyo.
-
Uungaji mkono kwa Trump waendelea kupungua licha ya madai yake dhidi ya Obama
Mar 20, 2017 23:46Taasisi ya uchunguzi wa maoni ya Gallup nchini Marekani imetangaza kuwa uungaji mkono wa wananchi kwa rais wa nchi hiyo Donald Trump unaendelea kupungua sambamba na kuendelea kuibuka kashfa zinazohusiana na sakata la kuwepo mawasiliano kati ya timu yake ya kampeni na Russia katika kipindi cha kampeni za uchaguzi uliopita na vilevile kuhusu madai yake ya kudukuliwa mazungumzo yake ya simu na mtangulizi wake Barack Obama.
-
Kupamba moto vita vya vyombo vya habari kati ya Russia na Marekani
Mar 20, 2017 04:48Bunge la Russia limeunga mkono pendekezo lililotolewa kuhusu kufanyika uchunguzi kuhusu vyombo vya habari vya Marekani vinavyofanya kazi huko Russia.
-
Russia yamuita Balozi wa Israel kuhusu shambulio dhidi ya Syria
Mar 18, 2017 03:40Russia imemuita Balozi wa utawala wa Kizayuni wa Israel mjini Moscow ajieleza kuhusu hatua ya jeshi la utawala huo kuhujumu anga ya Syria sambamba na kutekeleza mashambulizi kadhaa katika ardhi ya nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Kuongezwa muda vikwazo vya Umoja wa Ulaya dhidi ya Russia
Mar 15, 2017 09:49Jumatatu iliyopita Umoja wa Ulaya, ulitangaza kurefusha vikwazo kwa muda wa miezi sita mingine dhidi ya shakhsia na mashirika kadhaa ya Russia na eneo la Crimea, yaani hadi tarehe 15 Septemba mwaka huu.
-
Jaberi Ansari: Mazungumzo ya Astana kuhusu Syria yanaendelea kupiga hatua
Mar 14, 2017 22:58Mkuu wa ujumbe wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika mazungumzo ya Astana kuhusu mgogoro wa Syria amesema mazungumzo hayo yanaendelea kupiga hatua.
-
Russia yamuunga mkono kamanda wa jeshi la Libya
Mar 14, 2017 04:33Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia na Kamanda wa jeshi la taifa la Libya wamefanya mazungumzo kuhusu kuendeleza ushirikiano wa kijeshi kati ya pande mbili.
-
EU yarefusha vikwazo dhidi ya Russia
Mar 14, 2017 01:00Umoja wa Ulaya umetangaza kuwa umerefusha vikwazo vilivyowekwa na umoja huo kwa shakhsia na mashirika ya Russia na eneo la Crimea kwa muda wa miezi sita yaani hadi kufikia Septemba 15.
-
Russia: Tunapinga pendekezo lolote la kutaka kuiondoa madarakani serikali ya Syria
Mar 05, 2017 00:23Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema kuwa, njama za baadhi ya nchi zenye lengo kupatikana mabadiliko katika suala la mazungumzo ya kutatua mgogoro wa Syria kupitia mabadiliko katika muundo wa serikali ya Damascus, ni suala lisilokubalika.
-
Kuongezeka mivutano baina ya Marekani na Russia katika kipindi cha utawala wa Trump
Mar 01, 2017 03:51Sergei Ryabkov, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema kuwa, hivi sasa Marekani bado inaendeleza njama zenye lengo la kushadidisha mzingiro wa kiuchumi na vikwazo dhidi ya nchi yake.