Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • Russia: CNN ni chombo cha propaganda za Marekani

    Russia: CNN ni chombo cha propaganda za Marekani

    Mar 25, 2017 22:13

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesema kuwa televisheni ya CNN ya Marekani imekuwa chombo cha kueneza propaganda za kisaisa za nchi hiyo.

  • Uungaji mkono kwa Trump waendelea kupungua licha ya madai yake dhidi ya Obama

    Uungaji mkono kwa Trump waendelea kupungua licha ya madai yake dhidi ya Obama

    Mar 20, 2017 23:46

    Taasisi ya uchunguzi wa maoni ya Gallup nchini Marekani imetangaza kuwa uungaji mkono wa wananchi kwa rais wa nchi hiyo Donald Trump unaendelea kupungua sambamba na kuendelea kuibuka kashfa zinazohusiana na sakata la kuwepo mawasiliano kati ya timu yake ya kampeni na Russia katika kipindi cha kampeni za uchaguzi uliopita na vilevile kuhusu madai yake ya kudukuliwa mazungumzo yake ya simu na mtangulizi wake Barack Obama.

  • Kupamba moto vita vya vyombo vya habari kati ya Russia na Marekani

    Kupamba moto vita vya vyombo vya habari kati ya Russia na Marekani

    Mar 20, 2017 04:48

    Bunge la Russia limeunga mkono pendekezo lililotolewa kuhusu kufanyika uchunguzi kuhusu vyombo vya habari vya Marekani vinavyofanya kazi huko Russia.

  • Russia yamuita Balozi wa Israel kuhusu shambulio dhidi ya Syria

    Russia yamuita Balozi wa Israel kuhusu shambulio dhidi ya Syria

    Mar 18, 2017 03:40

    Russia imemuita Balozi wa utawala wa Kizayuni wa Israel mjini Moscow ajieleza kuhusu hatua ya jeshi la utawala huo kuhujumu anga ya Syria sambamba na kutekeleza mashambulizi kadhaa katika ardhi ya nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Kuongezwa muda vikwazo vya Umoja wa Ulaya dhidi ya Russia

    Kuongezwa muda vikwazo vya Umoja wa Ulaya dhidi ya Russia

    Mar 15, 2017 09:49

    Jumatatu iliyopita Umoja wa Ulaya, ulitangaza kurefusha vikwazo kwa muda wa miezi sita mingine dhidi ya shakhsia na mashirika kadhaa ya Russia na eneo la Crimea, yaani hadi tarehe 15 Septemba mwaka huu.

  • Jaberi Ansari: Mazungumzo ya Astana kuhusu Syria yanaendelea kupiga hatua

    Jaberi Ansari: Mazungumzo ya Astana kuhusu Syria yanaendelea kupiga hatua

    Mar 14, 2017 22:58

    Mkuu wa ujumbe wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika mazungumzo ya Astana kuhusu mgogoro wa Syria amesema mazungumzo hayo yanaendelea kupiga hatua.

  • Russia yamuunga mkono kamanda wa jeshi la Libya

    Russia yamuunga mkono kamanda wa jeshi la Libya

    Mar 14, 2017 04:33

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia na Kamanda wa jeshi la taifa la Libya wamefanya mazungumzo kuhusu kuendeleza ushirikiano wa kijeshi kati ya pande mbili.

  • EU yarefusha vikwazo dhidi ya Russia

    EU yarefusha vikwazo dhidi ya Russia

    Mar 14, 2017 01:00

    Umoja wa Ulaya umetangaza kuwa umerefusha vikwazo vilivyowekwa na umoja huo kwa shakhsia na mashirika ya Russia na eneo la Crimea kwa muda wa miezi sita yaani hadi kufikia Septemba 15.

  • Russia: Tunapinga pendekezo lolote la kutaka kuiondoa madarakani serikali ya Syria

    Russia: Tunapinga pendekezo lolote la kutaka kuiondoa madarakani serikali ya Syria

    Mar 05, 2017 00:23

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema kuwa, njama za baadhi ya nchi zenye lengo kupatikana mabadiliko katika suala la mazungumzo ya kutatua mgogoro wa Syria kupitia mabadiliko katika muundo wa serikali ya Damascus, ni suala lisilokubalika.

  • Kuongezeka mivutano baina ya Marekani na Russia katika kipindi cha utawala wa Trump

    Kuongezeka mivutano baina ya Marekani na Russia katika kipindi cha utawala wa Trump

    Mar 01, 2017 03:51

    Sergei Ryabkov, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema kuwa, hivi sasa Marekani bado inaendeleza njama zenye lengo la kushadidisha mzingiro wa kiuchumi na vikwazo dhidi ya nchi yake.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS