Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • Russia yaionya Marekani dhidi ya kuwatoa magaidi Iraq hadi Syria

    Russia yaionya Marekani dhidi ya kuwatoa magaidi Iraq hadi Syria

    Oct 20, 2016 00:34

    Russia imeionya Marekani dhidi ya kuwafurusha wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh kutoka Iraq hadi Syria, katika mashambulizi yake ya kuukomboa mji wa Mosul, kaskazini mwa Iraq.

  • Russia: Hatuna matumaini ya kufanikiwa mazungumzo ya Lausanne

    Russia: Hatuna matumaini ya kufanikiwa mazungumzo ya Lausanne

    Oct 15, 2016 00:27

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia ametabiri kuwa mazungumzo yatakayofanyika leo (Jumamosi) katika mji wa Lausanne nchini Uswisi kuhusu Syria hayatakuwa na natija ya maana.

  • Wanajeshi wa Russia wawasili Misri kwa ajili ya manuva ya kijeshi

    Wanajeshi wa Russia wawasili Misri kwa ajili ya manuva ya kijeshi

    Oct 14, 2016 10:55

    Kundi moja la wanajeshi maalumu wa kikosi cha anga wa Russia wamewasili Misri kwa lengo la kushiriki kwenye manuva ya kijeshi dhidi ya ugaidi.

  • Russia yaionya vikali Marekani, yasema haiwezi kukabiliana na  S300, S400

    Russia yaionya vikali Marekani, yasema haiwezi kukabiliana na S300, S400

    Oct 07, 2016 04:27

    Msemaji wa Wizara ya Ulinzi ya Russia, Igor Konashenkov amesema kuwa, shambulio lolote la kombora au la anga litakalolenga maeneo ya jeshi la serikali ya Syria, litakuwa linahatarisha majeshi ya Russia na Syria kwa pamoja.

  • Russia yatoa pendekezo la kusuluhisha mgogoro wa Libya

    Russia yatoa pendekezo la kusuluhisha mgogoro wa Libya

    Oct 05, 2016 11:18

    Russia yapendekeza kuwa msuluhishi katika mgogoro wa Libya

  • Russia: Kauli ya Marekani ni dhihirisho kuwa inaunga mkono ugaidi

    Russia: Kauli ya Marekani ni dhihirisho kuwa inaunga mkono ugaidi

    Sep 29, 2016 10:50

    Serikali ya Moscow imesema matamshi ya hivi karibuni ya Marekani kuwa magaidi wa Daesh wanaofanya mashambulizi dhidi ya Syria yumkini wakaanza kuishambulia miji ya Russia ni ithibati tosha kuwa Washington inaunga mkono ugaidi.

  • Russia yakosoa vikali matamshi ya Marekani na Magharibi katika Umoja wa Mataifa

    Russia yakosoa vikali matamshi ya Marekani na Magharibi katika Umoja wa Mataifa

    Sep 26, 2016 11:02

    Russia imekosoa matamshi yaliyotolewa na Mabalozi wa Marekani, Uingereza na Ufaransa katika Umoja wa Mataifa kwa mashambulizi ya jeshi la Russia katika ngome za makundi ya kigaidi huko Syria.

  • Russia: Shambulio dhidi ya vikosi vya Syria linahatarisha makubaliano ya usitishaji vita

    Russia: Shambulio dhidi ya vikosi vya Syria linahatarisha makubaliano ya usitishaji vita

    Sep 18, 2016 09:54

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia imeonya kuwa shambulio la muungano unaoongozwa na Marekani dhidi ya vikosi vya jeshi la Syria linahatarisha makubaliano ya usitishaji vita katika nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Sarkozy: Ulaya inaihitajia Russia ili kutatua mgogoro wa Syria

    Sarkozy: Ulaya inaihitajia Russia ili kutatua mgogoro wa Syria

    Sep 18, 2016 02:55

    Rais wa zamani wa Ufaransa amesema kuwa Ulaya inapasa kushirikiana na Russia ili kuweza kuupatia ufumbuzi mgogoro wa Syria.

  • Russia yatahadharisha kuhusu kuchelewa kuanza tena mazungumzo ya Syria

    Russia yatahadharisha kuhusu kuchelewa kuanza tena mazungumzo ya Syria

    Sep 13, 2016 23:44

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema kuwa kuchelewa kuanza tena mazungumzo ya Syria ni jambo lisilokubalika.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS