-
Russia yaitaka Marekani iache kueneza ubabe wake duniani
Sep 13, 2016 02:16Waziri wa Ulinzi wa Russia amesema kuwa, Marekani haipaswi kuzilazimisha nchi zingine duniani zifuate sera zake.
-
Marekani yasema mazungumzo baina yake na Russia kuhusu Syria yamevunjika
Sep 04, 2016 09:40Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani imetangaza kuwa mazungumzo baina ya nchi hiyo na Russia kuhusu mgogoro wa Syria yamevunjika.
-
Russia yasisitizia mazungumzo chanya baina yake na Iran na Uturuki kuhusu Syria
Aug 19, 2016 03:32Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesema, mazungumzo ya pande tatu yanayoendelea baina ya nchi hiyo na Iran na Uturuki kuhusu Syria ni yenye taathira chanya.
-
Ushirikiano wa kistratijia wa Iran na Russia katika kupambana na DAESH Syria na makelele ya Marekani
Aug 18, 2016 22:21Wizara ya Ulinzi ya Russia, siku chache zilizopita ilitangaza kupitia taarifa kuwa ndege za kivita za masafa marefu za nchi hiyo zimeruka kutokea kituo kimoja cha jeshi la anga la Iran na kufanya mashambulio dhidi ya ngome za makundi ya kigaidi ya Daesh na Jabhatu-Nusra (Fat-hu Sham).
-
Iran na Russia zajadili masuala ya kieneo na kimataifa
Aug 12, 2016 00:23Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu na Iran na mwenzake wa Russia wamefanya mazungumzo kwa njia ya simu na kujadiliana kuhusiana na matukio ya kieneo na kimataifa.
-
Marekani yaiomba Russia isaidie kumaliza mzingiro Aleppo
Aug 09, 2016 09:26Balozi wa Marekani katika Umoja wa Mataifa ameiomba Russia itumie ushawishi wake ili kuvunja mzingiro katika mji wa Aleppo.
-
Rais Putin: Hakuna makundi mazuri ya kigaidi
Aug 06, 2016 02:29Rais Vladimir Putin wa Russia ameonya dhidi ya kuyatumia baadhi ya magenge ya kigaidi kwa maslahi ya kisiasa na kuyaorodhesha kama makundi mazuri ya kigaidi.
-
Ansarullah ya Yemen yapongeza msimamo wa Russia katika Baraza la Usalama la UN
Aug 04, 2016 10:36Msemaji wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amepongeza msimamo ulioonyeshwa na Russia katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa wa kupinga uvamizi wa kijeshi wa utawala wa Aal Saud huko Yemen.
-
Lavrov: Maafisa wa jeshi la Saddam ndio uti wa mgongo wa kundi la Daesh
Jul 25, 2016 23:53Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema kuwa maafisa wa zamani wa jeshi la dikteta aliyenyongwa wa Iraq, Saddam Hussein ndio uti wa mgongo wa kundi la kigaidi la Daesh.
-
Putin ataka kuundwa nchi huru ya Palestina
Jul 25, 2016 09:53Rais Vladimir Putin wa Russia amesisitiza udharura wa kuundwa nchi huru ya Palestina mji mkuu wake ukiwa Quds tukufu.