Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • Russia yaitaka Marekani iache kueneza ubabe wake duniani

    Russia yaitaka Marekani iache kueneza ubabe wake duniani

    Sep 13, 2016 02:16

    Waziri wa Ulinzi wa Russia amesema kuwa, Marekani haipaswi kuzilazimisha nchi zingine duniani zifuate sera zake.

  • Marekani yasema mazungumzo baina yake na Russia kuhusu Syria yamevunjika

    Marekani yasema mazungumzo baina yake na Russia kuhusu Syria yamevunjika

    Sep 04, 2016 09:40

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani imetangaza kuwa mazungumzo baina ya nchi hiyo na Russia kuhusu mgogoro wa Syria yamevunjika.

  • Russia yasisitizia mazungumzo chanya baina yake na Iran na Uturuki kuhusu Syria

    Russia yasisitizia mazungumzo chanya baina yake na Iran na Uturuki kuhusu Syria

    Aug 19, 2016 03:32

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesema, mazungumzo ya pande tatu yanayoendelea baina ya nchi hiyo na Iran na Uturuki kuhusu Syria ni yenye taathira chanya.

  • Ushirikiano wa kistratijia wa Iran na Russia katika kupambana na DAESH Syria na makelele ya Marekani

    Ushirikiano wa kistratijia wa Iran na Russia katika kupambana na DAESH Syria na makelele ya Marekani

    Aug 18, 2016 22:21

    Wizara ya Ulinzi ya Russia, siku chache zilizopita ilitangaza kupitia taarifa kuwa ndege za kivita za masafa marefu za nchi hiyo zimeruka kutokea kituo kimoja cha jeshi la anga la Iran na kufanya mashambulio dhidi ya ngome za makundi ya kigaidi ya Daesh na Jabhatu-Nusra (Fat-hu Sham).

  • Iran na Russia zajadili masuala ya kieneo na kimataifa

    Iran na Russia zajadili masuala ya kieneo na kimataifa

    Aug 12, 2016 00:23

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu na Iran na mwenzake wa Russia wamefanya mazungumzo kwa njia ya simu na kujadiliana kuhusiana na matukio ya kieneo na kimataifa.

  • Marekani yaiomba Russia isaidie kumaliza mzingiro Aleppo

    Marekani yaiomba Russia isaidie kumaliza mzingiro Aleppo

    Aug 09, 2016 09:26

    Balozi wa Marekani katika Umoja wa Mataifa ameiomba Russia itumie ushawishi wake ili kuvunja mzingiro katika mji wa Aleppo.

  • Rais Putin: Hakuna makundi mazuri ya kigaidi

    Rais Putin: Hakuna makundi mazuri ya kigaidi

    Aug 06, 2016 02:29

    Rais Vladimir Putin wa Russia ameonya dhidi ya kuyatumia baadhi ya magenge ya kigaidi kwa maslahi ya kisiasa na kuyaorodhesha kama makundi mazuri ya kigaidi.

  • Ansarullah ya Yemen yapongeza msimamo wa Russia katika Baraza la Usalama la UN

    Ansarullah ya Yemen yapongeza msimamo wa Russia katika Baraza la Usalama la UN

    Aug 04, 2016 10:36

    Msemaji wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amepongeza msimamo ulioonyeshwa na Russia katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa wa kupinga uvamizi wa kijeshi wa utawala wa Aal Saud huko Yemen.

  • Lavrov: Maafisa wa jeshi la Saddam ndio uti wa mgongo wa kundi la Daesh

    Lavrov: Maafisa wa jeshi la Saddam ndio uti wa mgongo wa kundi la Daesh

    Jul 25, 2016 23:53

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema kuwa maafisa wa zamani wa jeshi la dikteta aliyenyongwa wa Iraq, Saddam Hussein ndio uti wa mgongo wa kundi la kigaidi la Daesh.

  • Putin ataka kuundwa nchi huru ya Palestina

    Putin ataka kuundwa nchi huru ya Palestina

    Jul 25, 2016 09:53

    Rais Vladimir Putin wa Russia amesisitiza udharura wa kuundwa nchi huru ya Palestina mji mkuu wake ukiwa Quds tukufu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS