-
Russia yaikosoa vikali Nato kwa kuanzisha mgogoro
Jul 13, 2016 02:52Maria Zakharova Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia jana Jumanne aliwasilisha taarifa na kueleza kuwa Muungano wa Kijeshi wa Nchi za Magharibi (Nato) una nafasi kubwa katika kuzua migogoro na kuendeleza hali ya mivutano katika maeneo mbalimbali duniani.
-
Russia yalaani NATO kujipania kuelekea Mashariki
Jul 10, 2016 10:07Russia imelaani vikali hatua ya muungano wa kijeshi wa NATO kujipanua na kuelekeza nguvu zake Moscow wakati ambapo hakuna tishio lolote kutoka mashariki.
-
Russia: Mazungumzo ya Wayemeni yaendelee
Jun 29, 2016 03:01Russia imeyataka makundi ya Wayemeni na pande husika katika mgogoro wa nchi hiyo kuunga mkono mazungumzo ya sasa ya Wayemeni yanayoendelea huko Kuwait.
-
Russia: Tupo tayari kufanya mazungumzo na Uturuki
Jun 23, 2016 22:37Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia imesema kuwa Moscow ipo tayari kufanya mazungumzo na maafisa wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Uturuki.
-
Umoja wa Ulaya warefusha vikwazo kwa Russia
Jun 17, 2016 10:22Baraza la Umoja wa Ulaya limerefusha vikwazo vya umoja huo dhidi ya Russia.
-
Putin na Ban Ki-moon wajadili kadhia ya Syria
Jun 17, 2016 02:36Rais Vladimir Putin wa Russia na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon wamekutana na kujadili kadhia ya Syria.
-
Waziri wa Ulinzi wa Iran ametaka kupambana kwa dhati na ugaidi
Jun 09, 2016 23:16Waziri wa Ulinzi wa Iran amesema kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ikiwa ni mhimili wa utulivu na usalama katika eneo la Mashariki ya Kati inaamini kuwa mapambano ya dhati na ya pande zote dhidi ya makundi ya kigaidi kwa minajili ya kurejesha amani na utulivu katika eneo na duniani kwa ujumla ni jukumu la kibinadamu.
-
Russia: Njia pekee kwa Uturuki ni kuomba radhi
May 30, 2016 11:00Msemaji wa Rais wa Russia amesema kuwa kuomba radhi ndio njia pekee iliyonayo Uturuki.
-
Russia yaitaka Misri iimarishe usalama katika viwanja vyake vya ndege
May 25, 2016 23:56Russia imeitaka Misri ihakikishe imeimarisha usalama katika viwanja vyake vya ndege hadi mwishoni mwa nusu ya kwanza ya mwaka huu wa 2016.
-
Russia: Mgogoro wa Syria yumkini ukageuka na kuwa mzozo kati ya Sunni na Shia
Apr 27, 2016 09:47Russia imeonya kuwa mgogoro unaoendelea kushuhudiwa hivi sasa nchini Syria huenda ukazusha mpasuko mkubwa katika ulimwengu wa Kiislamu.