Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • Russia yaikosoa vikali Nato kwa kuanzisha mgogoro

    Russia yaikosoa vikali Nato kwa kuanzisha mgogoro

    Jul 13, 2016 02:52

    Maria Zakharova Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia jana Jumanne aliwasilisha taarifa na kueleza kuwa Muungano wa Kijeshi wa Nchi za Magharibi (Nato) una nafasi kubwa katika kuzua migogoro na kuendeleza hali ya mivutano katika maeneo mbalimbali duniani.

  • Russia yalaani NATO kujipania kuelekea Mashariki

    Russia yalaani NATO kujipania kuelekea Mashariki

    Jul 10, 2016 10:07

    Russia imelaani vikali hatua ya muungano wa kijeshi wa NATO kujipanua na kuelekeza nguvu zake Moscow wakati ambapo hakuna tishio lolote kutoka mashariki.

  • Russia: Mazungumzo ya Wayemeni yaendelee

    Russia: Mazungumzo ya Wayemeni yaendelee

    Jun 29, 2016 03:01

    Russia imeyataka makundi ya Wayemeni na pande husika katika mgogoro wa nchi hiyo kuunga mkono mazungumzo ya sasa ya Wayemeni yanayoendelea huko Kuwait.

  • Russia: Tupo tayari kufanya mazungumzo na Uturuki

    Russia: Tupo tayari kufanya mazungumzo na Uturuki

    Jun 23, 2016 22:37

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia imesema kuwa Moscow ipo tayari kufanya mazungumzo na maafisa wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Uturuki.

  • Umoja wa Ulaya warefusha vikwazo kwa Russia

    Umoja wa Ulaya warefusha vikwazo kwa Russia

    Jun 17, 2016 10:22

    Baraza la Umoja wa Ulaya limerefusha vikwazo vya umoja huo dhidi ya Russia.

  • Putin na Ban Ki-moon wajadili kadhia ya Syria

    Putin na Ban Ki-moon wajadili kadhia ya Syria

    Jun 17, 2016 02:36

    Rais Vladimir Putin wa Russia na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon wamekutana na kujadili kadhia ya Syria.

  • Waziri wa Ulinzi wa Iran ametaka kupambana kwa dhati na ugaidi

    Waziri wa Ulinzi wa Iran ametaka kupambana kwa dhati na ugaidi

    Jun 09, 2016 23:16

    Waziri wa Ulinzi wa Iran amesema kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ikiwa ni mhimili wa utulivu na usalama katika eneo la Mashariki ya Kati inaamini kuwa mapambano ya dhati na ya pande zote dhidi ya makundi ya kigaidi kwa minajili ya kurejesha amani na utulivu katika eneo na duniani kwa ujumla ni jukumu la kibinadamu.

  • Russia: Njia pekee kwa Uturuki ni kuomba radhi

    Russia: Njia pekee kwa Uturuki ni kuomba radhi

    May 30, 2016 11:00

    Msemaji wa Rais wa Russia amesema kuwa kuomba radhi ndio njia pekee iliyonayo Uturuki.

  • Russia yaitaka Misri iimarishe usalama katika viwanja vyake vya ndege

    Russia yaitaka Misri iimarishe usalama katika viwanja vyake vya ndege

    May 25, 2016 23:56

    Russia imeitaka Misri ihakikishe imeimarisha usalama katika viwanja vyake vya ndege hadi mwishoni mwa nusu ya kwanza ya mwaka huu wa 2016.

  • Russia: Mgogoro wa Syria yumkini ukageuka na kuwa mzozo kati ya Sunni na Shia

    Russia: Mgogoro wa Syria yumkini ukageuka na kuwa mzozo kati ya Sunni na Shia

    Apr 27, 2016 09:47

    Russia imeonya kuwa mgogoro unaoendelea kushuhudiwa hivi sasa nchini Syria huenda ukazusha mpasuko mkubwa katika ulimwengu wa Kiislamu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS