Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • Russia kuisaidia Palestina kutatua mzozo kati yake na Israel

    Russia kuisaidia Palestina kutatua mzozo kati yake na Israel

    Apr 19, 2016 03:23

    Rais wa Russia Vladimir Putin amesema nchi yake itasaidia juhudi za Palestina za kuupatia ufumbuzi mgogoro kati yake na utawala wa kizayuni wa Israel kwa njia ya mazungumzo.

  • Russia yakaribisha  usitishaji vita Yemen

    Russia yakaribisha usitishaji vita Yemen

    Apr 12, 2016 23:50

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia imekaribisha kutekelezwa usitishaji vita huko Yemen.

  • Uvamizi wa Marekani Libya ni hatua iliyoyumbisha nchi hiyo ya Kiafrika

    Uvamizi wa Marekani Libya ni hatua iliyoyumbisha nchi hiyo ya Kiafrika

    Apr 11, 2016 23:27

    Serikali ya Russia imesema kuwa uvamizi wa kijeshi wa Marekani huko Libya ni hatua iliyovuruga uthabiti wa nchi hiyo.

  • Nato na Russia huenda zikaanzisha mazungumzo baada ya miaka miwili

    Nato na Russia huenda zikaanzisha mazungumzo baada ya miaka miwili

    Apr 08, 2016 09:36

    Russia imesema kuwa huenda ikafanya mazungumzo na Muungano wa Kijeshi wa Nchi za Magharibi Nato katika wiki chache zijazo.

  • Urusi yaitaka Uturuki kuacha kuwasaidia magaidi

    Urusi yaitaka Uturuki kuacha kuwasaidia magaidi

    Apr 04, 2016 23:54

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia ameitaka Uturuki kuacha kuingilia mambo ya ndani ya nchi nyingine na kuunga mkono ugaidi.

  • Russia: Iran haijakiuka maazimio ya kimataifa

    Russia: Iran haijakiuka maazimio ya kimataifa

    Mar 30, 2016 21:50

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema kuwa nchi yake inapinga hatua yoyote ya kuweka vikwazo dhidi ya Iran kwa sababu Tehran haijakiuka azimio lolote kwa kufanya majaribio ya makombora.

  • Russia yatuma vikosi vya nchi kavu huko Syria

    Russia yatuma vikosi vya nchi kavu huko Syria

    Mar 24, 2016 10:37

    Kamanda mmoja wa ngazi ya juu wa jeshi la Russia amesema kuwa nchi hiyo imetuma huko Syria kikosi maalumu kwa ajili ya kufanya oparesheni ya upelelezi na kazi nyingine maalumu nchini humo.

  • Ndege ya Dubai yaanguka Russia, 62 wafariki

    Ndege ya Dubai yaanguka Russia, 62 wafariki

    Mar 19, 2016 00:01

    Watu 62 wamefariki dunia mapema leo baada ya ndege ya abiria ya Shirika la Fly Dubai kuanguka wakati ikijaribu kutua katika mji wa Rostov-on-Don kusini mwa Russia karibu na mpaya wa nchi hiyo na Ukraine.

  • Mawaziri wa kigeni wa Iran na Russia wajadili kadhia ya Syria

    Mawaziri wa kigeni wa Iran na Russia wajadili kadhia ya Syria

    Mar 18, 2016 23:09

    Mawaziri wa mambo ya nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Russia wamefanya mazumgumzo ya simu kuhusu usitishwaji vita nchini Russia.

  • Lavrov: Kuondoka vikosi vya Russia  ni kwa ajili ya kufanikisha mchakato wa kutatua mgogoro wa Syria

    Lavrov: Kuondoka vikosi vya Russia ni kwa ajili ya kufanikisha mchakato wa kutatua mgogoro wa Syria

    Mar 16, 2016 04:16

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia ameeleza kuwa agizo lililotolewa na rais wa nchi hiyo la kutaka vikosi vya Russia kuondoka huko Syria halikutolewa ili kumfurahisha mtu, bali lengo la hatua hiyo ni kusaidia mchakato wa kuupatia ufumbuzi mgogoro wa Syria.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS