Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Saudia

  • Baadhi ya Waislamu waanza funga ya mwezi mtukufu wa Ramadhani

    Baadhi ya Waislamu waanza funga ya mwezi mtukufu wa Ramadhani

    Mar 01, 2025 00:25

    Baadhi ya mataifa ya Kiarabu na Kiislamu Jumamosi ya leo yameanza funga ya mwezi mtukufu wa Ramadhani.

  • Iran na Saudi Arabia kuimarisha uhusiano katika sekta ya teknolojia

    Iran na Saudi Arabia kuimarisha uhusiano katika sekta ya teknolojia

    Dec 27, 2024 23:14

    Rais wa Shirika la Teknolojia ya Habari na Mawasiliano la Iran na Rais wa Kamati ya Mawasiliano, Anga za Mbali na Teknolojia (CST) ya Saudi Arabia katika mkutano wa pamoja huko Riyadh wamesisitiza kuimarisha ushirikiano na kubadilishana uzoefu katika nyanja mbalimbali za teknolojia ya habari na mawasiliano (TEHAMA)

  • Vijana wa Iraq wachoma moto ofisi ya kituo cha MBC cha Saudi Arabia

    Vijana wa Iraq wachoma moto ofisi ya kituo cha MBC cha Saudi Arabia

    Oct 19, 2024 04:17

    Vijana wa Iraq waliokuwa na hasira wamechoma moto ofisi ya MBC ya Saudi Arabia mjini Baghdad baada ya kituo hicho cha televisheni kuwatusi makamanda wa muqawama waliouawa shahidi kuwa ni magaidi.

  • Kinyume na uongo wa Netanyahu, UN yasema: Israel imezuia 90% ya misaada ya kuingizwa Ghaza

    Kinyume na uongo wa Netanyahu, UN yasema: Israel imezuia 90% ya misaada ya kuingizwa Ghaza

    Sep 28, 2024 06:33

    Umoja wa Mataifa umesema, kuna changamoto kadhaa zinazokabili shughuli za ufikishaji misaada ya kibinadamu kaskazini na kusini mwa Ukanda wa Ghaza, na kubainisha kuwa 90% ya misaada hiyo iliyokuwa imeratibiwa kufikishwa kwenye maeneo hayo ama imekataliwa au kuzuiliwa hadi sasa na utawala wa Kizayuni wa Israel katika mwezi huu wa Septemba.

  • Kikao cha OIC cha mjini Jeddah na majukumu ya nchi za Kiislamu

    Kikao cha OIC cha mjini Jeddah na majukumu ya nchi za Kiislamu

    Aug 08, 2024 06:28

    Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu OIC imeamua kuitisha kikao dha dharura mjini Jeddah, Saudi Arabia wakati huu ambapo Iran na kambi ya muqawama inajiandaa kutoa majibu makali kwa Israel kutokana na vitendo vya kigaidi vya utawala wa Kizayuni.

  • Sisitizo la viongozi wakuu wa Iran na Saudia la kuimarisha uhusiano baina ya nchi zao

    Sisitizo la viongozi wakuu wa Iran na Saudia la kuimarisha uhusiano baina ya nchi zao

    Jul 19, 2024 05:26

    Mohammed bin Salman, mrithi wa kiti cha ufalme wa Saudi Arabia na Massoud Pezeshkian, rais mteule wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, wamezungumza kwa simu na kutilia mkazo umuhimu wa kuendeleza ushirikiano kati ya Tehran na Riyadh.

  • Iran: Tunaichukulia Hija kuwa ni nembo na dhihirisho la umoja na mshikamano

    Iran: Tunaichukulia Hija kuwa ni nembo na dhihirisho la umoja na mshikamano

    Jun 18, 2024 07:21

    Balozi wa Iran nchini Saudi Arabia amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu inaichukulia ibada ya Hija kuwa ni kielelezo na mhimili wa umoja na mshikamano katika safu za Waislamu na ni fursa adhimu ya kujikurubisha kwa Mwenyezi Mungu na kufikiria kwa pamoja njia za kutatua masuala ya Waislamu.

  • Saudi Arabia inatishia na kuchochea chuki dhidi ya mahujaji wanaotetea Palestina

    Saudi Arabia inatishia na kuchochea chuki dhidi ya mahujaji wanaotetea Palestina

    Jun 16, 2024 22:57

    Katika msimu huu wa ibada tukufu ya Hija, watawala wa Saudi Arabia wamejaribu kutisha, kuchochea chuki na kuwachafulia jina mahujaji wanaoonyesha mshikamano na watu wa Palestina huku kukiwa na malalamiko ya kimataifa kuhusu vita vya kikatili vinavyoendeshwa na utawala haramu wa Israel dhidi ya watu Ukanda wa Gaza.

  • Saudia yateua balozi wake nchini Syria baada ya zaidi ya muongo mmoja

    Saudia yateua balozi wake nchini Syria baada ya zaidi ya muongo mmoja

    May 27, 2024 08:27

    Saudi Arabia imetangaza kuteua balozi wake mpya nchini Syria ikiwa ni balozi wake wa kwanza baada ya zaidi ya muongo mmoja tangu ilipositisha uhusiano wake na serikali yar ais Bashar al-Assad.

  • Wairani waanza safari ya kulekea ardhi ya Wahy kwa ajili ya ibada ya Hija

    Wairani waanza safari ya kulekea ardhi ya Wahy kwa ajili ya ibada ya Hija

    May 13, 2024 07:57

    Misafara ya kwanza ya Wairani wanaoelekea katika ardhi ya wahyi kwa ajili ya ibada ya Hija imeondoka nchini mapema leo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS