-
Makumi ya wanachama wa kundi la kigaidi la al-Shabaab wauawa nchini Somalia
Oct 07, 2023 04:41Makumi ya wanachama wa kundi la kigaidi la al-Shabaab wameuawa katika operesheni za jeshi la Somalia.
-
Somalia: Tumeua wanachama 1,650 wa al-Shabaab ndani ya miezi 2
Oct 05, 2023 10:31Serikali ya Somalia imesema imefanikiwa kuangamiza wanachama 1,650 wa kundi la kigaidi la al-Shabaab katika operesheni za vikosi vya jeshi la nchi hiyo katika kipindi cha miezi miwili iliyopita.
-
Jeshi la Somalia laangamiza magaidi 27 wa al-Shabaab Galmudug
Sep 23, 2023 04:12Jeshi la Somalia limetangaza habari ya kuangamiza makumi ya wanamgambo wa kundi la kigaidi la al-Shabaab katika jimbo la Galmudug, katikati mwa nchi.
-
Jeshi la Ethiopia lasema limeua magaidi 462 wa al-Shabaab Somalia
Sep 21, 2023 23:11Kwa akali wanachama 462 wa kundi la kigaidi la al-Shabaab waliuawa mwisho mwa wiki nchini Somalia, Jeshi la Ulinzi la Taifa la Ethiopia (ENDF) limethibisha hayo na kueleza kuwa, magaidi hao waliuawa katika shambulizi lililotibuliwa katika kambi ya askari wa Ethiopia wanaohudumu chini ya Kikosi cha Mpito cha Umoja wa Afrika nchini Somalia (ATMIS).
-
Makumi ya wanajeshi wa Ethiopia wauawa katika hujuma ya kigaidi
Sep 18, 2023 04:14Makumi ya askari wa jeshi la Ethiopia wameuliwa katika shambulio la wanamgambo wa kundi la Shabab magharibi mwa Somalia.
-
Mamilioni wahama makazi yao Somalia kutokana na ukame, migogoro
Aug 31, 2023 23:35Robo ya wananchi wote wa Somalia wamelazimika kuyahama makazi yao kutokana na ukame na migogoro.
-
AU kundoa askari wengine 3,000 kutoka Somalia
Aug 30, 2023 04:35Kikosi cha Mpito cha Umoja wa Afrika nchini Somalia (ATMIS) kimesema kitawaondoa wanajeshi wengine 3,000 katika nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.
-
Kundi la al-Shabaab ladhibiti miji mitano katikati ya Somalia
Aug 29, 2023 23:01Wapiganaji wa kundi la kigaidi la al-Shabaab wameripotiwa kuteka miji mitano iliyoko katikati ya Somalia.
-
Vikosi vya Danab vyaua magaidi 47 wa al-Shabaab Somalia
Aug 29, 2023 08:26Vikosi Maalumu vya Danab vya jeshi la Somalia vimeua makumi ya magaidi wa al-Shabaab katika operesheni ya hivi punde katika nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.
-
Rais wa Somalia: Tutaitokomeza al-Shabaab ndani ya miezi 5
Aug 19, 2023 06:55Rais Hassan Sheikh Mohamud wa Somalia amesema lengo la operesheni za kijeshi zinazoendelea nchini humo ni kulitokomeza na kulisambaratisha kundi la kigaidi la al-Shabaab katika kipindi cha miezi mitano ijayo.