-
WHO yaimarisha hatua za kukabiliana na kipindupindu ambacho kimeua watu 30 nchini Somalia
Aug 13, 2023 02:55Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema limeongeza hatua za dharura ili kuokoa maisha na kuzuia maambukizi zaidi ya kipindupindu nchini Somalia baada ya watu 30 kufariki dunia kutokana na ugonjwa huo tangu Januari mwaka huu.
-
Askari kadhaa wa Somalia wauawa katika mripuko wa bomu Mogadishu
Aug 11, 2023 02:18Wanajeshi kadhaa wa Somalia wamepoteza maisha baada ya gari lililokuwa limewabeba kukanyaga bomu katika mji mkuu wa nchi hiyo Mogadishu.
-
Magaidi 25 wa kundi la al-Shabaab waangamizwa Somalia
Aug 10, 2023 02:22Wanachama 25 wa kundi la kigaidi la al-Shabab la Somalia wameangamizwa akiwemo mmoja wa makamanda wao wa ngazi za juu.
-
Magaidi 60 wa al-Shabaab waangamizwa kusini ya Somalia
Jul 28, 2023 02:26Wanachama wasiopungua 60 wa kundi la kigaidi la al-Shabaab wameuawa katika operesheni ya pamoja ya jeshi la Somalia na vikosi vya kigeni kusini mwa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.
-
Magaidi 100 wa al-Shabaab waangamizwa katikati ya Somalia
Jul 20, 2023 07:26Wanachama wasiopungua 100 wa kundi la kigaidi la al-Shabaab wameripotiwa kuuawa katika operesheni ya pamoja ya jeshi la Somalia na vikosi vya kigeni katikati ya nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.
-
Magaidi 20 wa kundi la al-Shabab waangamizwa katikati ya Somalia
Jul 17, 2023 07:34Viongozi wa Somalia wametangaza kuwa, magaidi 20 wa kundi la wanamgambo wa al-Shabab wameuawa na vikosi vya serikali katikati mwa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.
-
Watu kadhaa wauawa katika miripuko miwili ya mabomu iliyotokea Mogadishu, Somalia
Jul 15, 2023 06:53Miripuko miwili ya mabomu iliyotokea Mogadishu, mji mkuu wa Somalia, imesababisha watu kadhaa kuuawa na kujeruhiwa.
-
Watu 8 wakiwemo watoto 6 wauawa katika mripuko wa bomu Somalia
Jul 10, 2023 12:22Watu wasiopungua wanane wakiwemo watoto sita wameuawa katika mripuko wa bomu uliotokea katika mji wa Bulaburde, jimboni Hirshabelle katikati ya Somalia.
-
Makumi ya magaidi wa al-Shabaab wauawa na askari wa Kenya mpakani
Jul 07, 2023 03:10Makumi ya wanachama wa kundi la kigaidi la al-Shabaab la Somalia wameangamizwa katika makabaliano makali baina ya wanamgambo hao na askari polisi wa Kenya mpakani mwa nchi mbili hizo.
-
Pande hasimu zakubaliana kusitisha mapigano Puntland, Somalia
Jun 22, 2023 02:38Pande hasimu katika eneo lenye mamlaka ya ndani la Puntland nchini Somalia zimeafikiana kusitisha mapigano na uhasama.