-
Kundi la al-Shabaab ladhibiti miji mitano katikati ya Somalia
Aug 29, 2023 23:01Wapiganaji wa kundi la kigaidi la al-Shabaab wameripotiwa kuteka miji mitano iliyoko katikati ya Somalia.
-
Vikosi vya Danab vyaua magaidi 47 wa al-Shabaab Somalia
Aug 29, 2023 08:26Vikosi Maalumu vya Danab vya jeshi la Somalia vimeua makumi ya magaidi wa al-Shabaab katika operesheni ya hivi punde katika nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.
-
Rais wa Somalia: Tutaitokomeza al-Shabaab ndani ya miezi 5
Aug 19, 2023 06:55Rais Hassan Sheikh Mohamud wa Somalia amesema lengo la operesheni za kijeshi zinazoendelea nchini humo ni kulitokomeza na kulisambaratisha kundi la kigaidi la al-Shabaab katika kipindi cha miezi mitano ijayo.
-
Jeshi la Somalia lawaangamiza magaidi 20 wa Al-Shabaab kusini mwa nchi
Aug 13, 2023 10:34Jeshi la Somalia limetangaza kuwa limewaangamiza wanachama wapatao 20 wa kundi la kigaidi la Al-Shabaab katika mkoa wa Lower Shabelle kusini mwa nchi hiyo.
-
WHO yaimarisha hatua za kukabiliana na kipindupindu ambacho kimeua watu 30 nchini Somalia
Aug 12, 2023 23:25Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema limeongeza hatua za dharura ili kuokoa maisha na kuzuia maambukizi zaidi ya kipindupindu nchini Somalia baada ya watu 30 kufariki dunia kutokana na ugonjwa huo tangu Januari mwaka huu.
-
Askari kadhaa wa Somalia wauawa katika mripuko wa bomu Mogadishu
Aug 10, 2023 22:48Wanajeshi kadhaa wa Somalia wamepoteza maisha baada ya gari lililokuwa limewabeba kukanyaga bomu katika mji mkuu wa nchi hiyo Mogadishu.
-
Magaidi 25 wa kundi la al-Shabaab waangamizwa Somalia
Aug 09, 2023 22:52Wanachama 25 wa kundi la kigaidi la al-Shabab la Somalia wameangamizwa akiwemo mmoja wa makamanda wao wa ngazi za juu.
-
Magaidi 60 wa al-Shabaab waangamizwa kusini ya Somalia
Jul 27, 2023 22:56Wanachama wasiopungua 60 wa kundi la kigaidi la al-Shabaab wameuawa katika operesheni ya pamoja ya jeshi la Somalia na vikosi vya kigeni kusini mwa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.
-
Magaidi 100 wa al-Shabaab waangamizwa katikati ya Somalia
Jul 20, 2023 03:56Wanachama wasiopungua 100 wa kundi la kigaidi la al-Shabaab wameripotiwa kuuawa katika operesheni ya pamoja ya jeshi la Somalia na vikosi vya kigeni katikati ya nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.
-
Magaidi 20 wa kundi la al-Shabab waangamizwa katikati ya Somalia
Jul 17, 2023 04:04Viongozi wa Somalia wametangaza kuwa, magaidi 20 wa kundi la wanamgambo wa al-Shabab wameuawa na vikosi vya serikali katikati mwa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.