Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • WHO yaimarisha hatua za kukabiliana na kipindupindu ambacho kimeua watu 30 nchini Somalia

    WHO yaimarisha hatua za kukabiliana na kipindupindu ambacho kimeua watu 30 nchini Somalia

    Aug 13, 2023 02:55

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema limeongeza hatua za dharura ili kuokoa maisha na kuzuia maambukizi zaidi ya kipindupindu nchini Somalia baada ya watu 30 kufariki dunia kutokana na ugonjwa huo tangu Januari mwaka huu.

  • Askari kadhaa wa Somalia wauawa katika mripuko wa bomu Mogadishu

    Askari kadhaa wa Somalia wauawa katika mripuko wa bomu Mogadishu

    Aug 11, 2023 02:18

    Wanajeshi kadhaa wa Somalia wamepoteza maisha baada ya gari lililokuwa limewabeba kukanyaga bomu katika mji mkuu wa nchi hiyo Mogadishu.

  • Magaidi 25 wa kundi la al-Shabaab waangamizwa Somalia

    Magaidi 25 wa kundi la al-Shabaab waangamizwa Somalia

    Aug 10, 2023 02:22

    Wanachama 25 wa kundi la kigaidi la al-Shabab la Somalia wameangamizwa akiwemo mmoja wa makamanda wao wa ngazi za juu.

  • Magaidi 60 wa al-Shabaab waangamizwa kusini ya Somalia

    Magaidi 60 wa al-Shabaab waangamizwa kusini ya Somalia

    Jul 28, 2023 02:26

    Wanachama wasiopungua 60 wa kundi la kigaidi la al-Shabaab wameuawa katika operesheni ya pamoja ya jeshi la Somalia na vikosi vya kigeni kusini mwa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Magaidi 100 wa al-Shabaab waangamizwa katikati ya Somalia

    Magaidi 100 wa al-Shabaab waangamizwa katikati ya Somalia

    Jul 20, 2023 07:26

    Wanachama wasiopungua 100 wa kundi la kigaidi la al-Shabaab wameripotiwa kuuawa katika operesheni ya pamoja ya jeshi la Somalia na vikosi vya kigeni katikati ya nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Magaidi 20 wa kundi la al-Shabab waangamizwa katikati ya Somalia

    Magaidi 20 wa kundi la al-Shabab waangamizwa katikati ya Somalia

    Jul 17, 2023 07:34

    Viongozi wa Somalia wametangaza kuwa, magaidi 20 wa kundi la wanamgambo wa al-Shabab wameuawa na vikosi vya serikali katikati mwa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Watu kadhaa wauawa katika miripuko miwili ya mabomu iliyotokea Mogadishu, Somalia

    Watu kadhaa wauawa katika miripuko miwili ya mabomu iliyotokea Mogadishu, Somalia

    Jul 15, 2023 06:53

    Miripuko miwili ya mabomu iliyotokea Mogadishu, mji mkuu wa Somalia, imesababisha watu kadhaa kuuawa na kujeruhiwa.

  • Watu 8 wakiwemo watoto 6 wauawa katika mripuko wa bomu Somalia

    Watu 8 wakiwemo watoto 6 wauawa katika mripuko wa bomu Somalia

    Jul 10, 2023 12:22

    Watu wasiopungua wanane wakiwemo watoto sita wameuawa katika mripuko wa bomu uliotokea katika mji wa Bulaburde, jimboni Hirshabelle katikati ya Somalia.

  • Makumi ya magaidi wa al-Shabaab wauawa na askari wa Kenya mpakani

    Makumi ya magaidi wa al-Shabaab wauawa na askari wa Kenya mpakani

    Jul 07, 2023 03:10

    Makumi ya wanachama wa kundi la kigaidi la al-Shabaab la Somalia wameangamizwa katika makabaliano makali baina ya wanamgambo hao na askari polisi wa Kenya mpakani mwa nchi mbili hizo.

  • Pande hasimu zakubaliana kusitisha mapigano Puntland, Somalia

    Pande hasimu zakubaliana kusitisha mapigano Puntland, Somalia

    Jun 22, 2023 02:38

    Pande hasimu katika eneo lenye mamlaka ya ndani la Puntland nchini Somalia zimeafikiana kusitisha mapigano na uhasama.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS