Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • Watu kadhaa wauawa katika miripuko miwili ya mabomu iliyotokea Mogadishu, Somalia

    Watu kadhaa wauawa katika miripuko miwili ya mabomu iliyotokea Mogadishu, Somalia

    Jul 15, 2023 03:23

    Miripuko miwili ya mabomu iliyotokea Mogadishu, mji mkuu wa Somalia, imesababisha watu kadhaa kuuawa na kujeruhiwa.

  • Watu 8 wakiwemo watoto 6 wauawa katika mripuko wa bomu Somalia

    Watu 8 wakiwemo watoto 6 wauawa katika mripuko wa bomu Somalia

    Jul 10, 2023 08:52

    Watu wasiopungua wanane wakiwemo watoto sita wameuawa katika mripuko wa bomu uliotokea katika mji wa Bulaburde, jimboni Hirshabelle katikati ya Somalia.

  • Makumi ya magaidi wa al-Shabaab wauawa na askari wa Kenya mpakani

    Makumi ya magaidi wa al-Shabaab wauawa na askari wa Kenya mpakani

    Jul 06, 2023 23:40

    Makumi ya wanachama wa kundi la kigaidi la al-Shabaab la Somalia wameangamizwa katika makabaliano makali baina ya wanamgambo hao na askari polisi wa Kenya mpakani mwa nchi mbili hizo.

  • Pande hasimu zakubaliana kusitisha mapigano Puntland, Somalia

    Pande hasimu zakubaliana kusitisha mapigano Puntland, Somalia

    Jun 21, 2023 23:08

    Pande hasimu katika eneo lenye mamlaka ya ndani la Puntland nchini Somalia zimeafikiana kusitisha mapigano na uhasama.

  • Miripuko pacha yatikisa Somalia, kadhaa wapoteza maisha

    Miripuko pacha yatikisa Somalia, kadhaa wapoteza maisha

    Jun 21, 2023 08:44

    Watu kadhaa wanahofiwa kuuawa katika mashambulizi pacha ya mabomu katika mji wa Bardhere ulioko katika eneo la Gedo, kusini magharibi mwa Somalia.

  • Mapigano juu ya mageuzi ya katiba yaua watu 9 Puntland, Somalia

    Mapigano juu ya mageuzi ya katiba yaua watu 9 Puntland, Somalia

    Jun 21, 2023 00:13

    Watu wasiopungua tisa wameuawa katika mapigano yaliyosababishwa na suala tata la kuifanyia marekebisho katiba katika eneo lenye mamlaka ya ndani la Puntland nchini Somalia.

  • Magaidi 19 wa kundi la kigaidi la al-Shabaab waangamizwa Somalia

    Magaidi 19 wa kundi la kigaidi la al-Shabaab waangamizwa Somalia

    Jun 12, 2023 07:46

    Wanachama wasiopungua 19 wa kundi la kigaidi la al-Shabaab wameangamizwa kufuatia operesheni ya jeshi la Somalia katika eneo la kusini la Lower Shabelle.

  • Waliouawa katika miripuko ya mabomu Somalia wakaribia 30

    Waliouawa katika miripuko ya mabomu Somalia wakaribia 30

    Jun 10, 2023 06:34

    Idadi ya watu walioaga dunia kutokana na miripuko ya mabomu katika eneo la Lower Shabelle nchini Somalia imeongezeka na kufikia watu 27.

  • UN: Mapigano yasimamishwe mara moja nchini Somalia

    UN: Mapigano yasimamishwe mara moja nchini Somalia

    Jun 08, 2023 03:50

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limetoa wito kwa pande zinazozozana kutia saini makubaliano ya kusitisha mapigano nchini Somalia likisisitiza udharura wa kuheshimiwa kikamilifu mamlaka, uhuru wa kisiasa na umoja wa ardhi ya Somalia.

  • Museveni: Wanajeshi 54 wa Uganda wameuawa na al-Shabaab Somalia

    Museveni: Wanajeshi 54 wa Uganda wameuawa na al-Shabaab Somalia

    Jun 04, 2023 08:02

    Rais Yoweri Museveni wa Uganda amesema makumi ya askari wa Jeshi la Ulinzi la nchi hiyo (UPDF) waliuawa katika shambulio la wanamgambo wa al-Shabaab nchini Somalia wiki iliyopita.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS