Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • Wakuu wa Intelijinsia wa Ethiopia na Somalia wakutana huku nchi mbili zikiendelea kuimarisha uhusiano

    Wakuu wa Intelijinsia wa Ethiopia na Somalia wakutana huku nchi mbili zikiendelea kuimarisha uhusiano

    Dec 25, 2024 02:19

    Redwan Hussein Mkuu wa Intelijinsia wa Ethiopia jana Jumanne alikutana na kufanya mazungumzo na mwenzake wa Somalia Abdullahi Mohamed Ali huko Addis Ababa mji mkuu wa Ethiopia ili kuendeleza ushirikiano wa kiusalama na kuimarisha ahadi zilizoainishwa katika Azimio la Ankara.

  • Baraza la mawaziri la Somalia lamfukuza kazi mkuu wa jeshi na kumteua tena mtangulizi wake

    Baraza la mawaziri la Somalia lamfukuza kazi mkuu wa jeshi na kumteua tena mtangulizi wake

    Nov 11, 2024 07:39

    Mawaziri wa Baraza la Mawaziri la Somalia wiki hii lilimfukuza kazi mkuu wa vikosi vya jeshi Ibrahim Sheikh Muhyadin Addow, na kumteua Meja Jenerali Odowaa Yusuf Rageh kushika wadhifa huo.

  • Magaidi 95 wa kundi la al-Shabaab wauawa Somalia

    Magaidi 95 wa kundi la al-Shabaab wauawa Somalia

    Oct 22, 2024 07:06

    Wizara ya Ulinzi ya Somalia imesema kwamba, jeshi la nchi hiyo likisaidiwa na washirika wa ndani na wa kimataifa, limefanya operesheni za kijeshi dhidi ya kundi la wanamgambo wa al-Shabaab, na kuua wanachama zaidi ya 95 wa genge hilo la kigaidi.

  • AU yakabidhi kambi 6 za kijeshi kwa vikosi vya Somalia

    AU yakabidhi kambi 6 za kijeshi kwa vikosi vya Somalia

    Oct 18, 2024 02:51

    Kikosi cha Mpito cha Umoja wa Afrika nchini Somalia (ATMIS) kimekabidhi rasmi kambi ya kijeshi ya Kuday kwa vikosi vya usalama vya Somalia, kuashiria hatua muhimu katika awamu ya tatu ya uondoaji wa wanajeshi hao wa kigeni.

  • Somalia inatiwa wasiwasi na madai kwamba Ethiopia imetuma Puntland shehena ya silaha

    Somalia inatiwa wasiwasi na madai kwamba Ethiopia imetuma Puntland shehena ya silaha

    Oct 07, 2024 03:50

    Somalia jana ilieleza kuwa inatiwa wasiwasi na hatua ya jirani yake Ethiopia ya kusafirisha silaha kinyume cha sheria katika eneo la Puntland.

  • Jeshi la Somalia lakikomboa kijiji cha kimkakati kutoka kwa magaidi wa al-Shabaab

    Jeshi la Somalia lakikomboa kijiji cha kimkakati kutoka kwa magaidi wa al-Shabaab

    Oct 04, 2024 02:22

    Wizara ya Ulinzi ya Somalia jana ilitangaza kuwa jeshi la nchi hiyo limeendesha oparesheni maalumu dhidi ya kundi la kigaidi la al Shabaab na kukikomboa kijiji cha kimkakati cha Ali Yabal umbali wa kilomita 18 kutoka Eeldheer katika mkoa wa Galgaduud.

  •  Somalia yakumbwa na mlipuko karibu na ikulu ya Rais, watu kadhaa wauawa

    Somalia yakumbwa na mlipuko karibu na ikulu ya Rais, watu kadhaa wauawa

    Sep 29, 2024 02:17

    Watu kadhaa wanahofiwa kuuawa au kujeruhiwa baada ya mlipuko mkubwa kutokea leo katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.

  • Jeshi la Somalia limemtia mbaroni kiongozi mkuu wa al Shabaab

    Jeshi la Somalia limemtia mbaroni kiongozi mkuu wa al Shabaab

    Sep 19, 2024 06:56

    Somalia jana ilitangaza kuwa imemtia nguvuni mwanachama wa ngazi ya juu wa kundi la kigaidi la al Shabaab katika mkoa wa kati wa Galgadud.

  • Somalia yajiunga na Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Nyuklia

    Somalia yajiunga na Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Nyuklia

    Sep 17, 2024 07:31

    Somalia imejiunga na Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) katika Mkutano Mkuu wa wakala huo ulioanza jana Jumatatu mjini Vienna.

  • Magaidi 19 wa al-Shabaab wauawa katika mashambulizi ya anga Somalia

    Magaidi 19 wa al-Shabaab wauawa katika mashambulizi ya anga Somalia

    Sep 05, 2024 02:56

    Wanachama wasiopungua 19 wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab wameuawa katika mashambulizi ya anga yaliyofanywa na jeshi la Somalia katika maeneo ya Shabelle ya Kati na Galgadud.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS