Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • Magaidi 30 wa al-Shabaab wauawa na vikosi vya Somalia, Uganda na AU

    Magaidi 30 wa al-Shabaab wauawa na vikosi vya Somalia, Uganda na AU

    Jan 16, 2026 02:13

    Vikosi vya Somalia, Uganda na Umoja wa Afrika (AU) jana Alhamisi viliwaangamiza zaidi ya wanamgambo 30 wa al-Shabaab, na kujeruhi wengine kadhaa wakati wa operesheni ya pamoja huko kusini mwa Somalia.

  • Jeshi la Somalia laangamiza magaidi 17 wa al-Shabaab

    Jeshi la Somalia laangamiza magaidi 17 wa al-Shabaab

    Jan 14, 2026 06:26

    Wizara ya Ulinzi wa Somalia imesema kwamba, Jeshi la Kitaifa la nchi hiyo limewaua magaidi 17 wa al-Shabaab katika operesheni ya anga iliiyofanyika kusini mwa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Somalia: Israel kuwahamishia kwa nguvu Wapalestina Somaliland ni kinyume cha sheria za kimataifa

    Somalia: Israel kuwahamishia kwa nguvu Wapalestina Somaliland ni kinyume cha sheria za kimataifa

    Jan 11, 2026 06:56

    Waziri wa Ulinzi wa Somalia, Ahmed Moalim Fiqi, ameishutumu Israel kwa kupanga kuwahamisha kwa nguvu Wapalestina wa Ukanda wa Gaza na kuwapeleka katika eneo lililojitenga la Somaliland, akiukashifu mpango huo alioutaja kuwa ni "ukiukaji mkubwa" wa sheria za kimataifa.

  • Somalia yakanusha madai ya Marekani ya kutwaa chakula cha WFP

    Somalia yakanusha madai ya Marekani ya kutwaa chakula cha WFP

    Jan 09, 2026 02:23

    Somalia jana Alhamisi ilikanusha madai ya Marekani kwamba maafisa wa eneo hilo wametwaa bidhaa za chakula kutoka katika ghala la shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP), huku Washington ikisimamisha misaada kwa Mogadishu kusubiri uchunguzi.

  • Somalia yapokezwa uenyekiti wa kiduru wa Baraza la Usalama la UN

    Somalia yapokezwa uenyekiti wa kiduru wa Baraza la Usalama la UN

    Jan 03, 2026 06:03

    Somalia jana Ijumaa ilichukua urais wa zamu wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kwa kipindi cha mwezi huu wa Januari, ikiwa ni mara ya kwanza kwa nchi hiyo kushikilia wadhifa huo tangu ilipohudumu mara ya mwisho katika baraza hilo mwaka 1971-72.

  • Jeshi la Somalia laangamiza makumi ya magaidi wa al-Shabaab

    Jeshi la Somalia laangamiza makumi ya magaidi wa al-Shabaab

    Jan 02, 2026 02:47

    Makumi ya wanamgambo wa kundi la kigaidi la al-Shabaab lenye misimamo ya kufurutu ada , wameangamizwa katika operesheni ya wanajeshi wa Somalia.

  • Somaliland yajitoa kimasomaso, yakanusha kuafiki kujengwa kambi za kijeshi za Israel

    Somaliland yajitoa kimasomaso, yakanusha kuafiki kujengwa kambi za kijeshi za Israel

    Jan 02, 2026 02:46

    Eneo la Somaliland la kaskazini mwa Somalia limekanusha madai kwamba lilikubali kuwa mwenyeji wa vituo vya kijeshi vya Israel na kuwapokea Wapalestina waliofurushwa kutoka Gaza ili kutambuliwa na Israel.

  • Rais wa Somalia: Somaliland inashirikiana na Israel dhidi ya Wapalestina

    Rais wa Somalia: Somaliland inashirikiana na Israel dhidi ya Wapalestina

    Jan 01, 2026 02:26

    Rais Hassan Sheikh Mohamud wa Somalia amezinukuu ripoti za kiitelijinsia na kusema kuwa eneo lililojitenga la na nchi hiyo la Somaliland limekubali kuwapokea Wapalestina na kuanzishwa kambi ya kijeshi ya Israel katika eneo hilo mkabala wa kutambuliwa rasmi na Israel.

  • Maandamano ya kuilaani Israel kwa 'kuitambua Somaliland' yaenea kote Somalia

    Maandamano ya kuilaani Israel kwa 'kuitambua Somaliland' yaenea kote Somalia

    Dec 31, 2025 02:26

    Maelfu ya wananchi wa Somalia wameendelea kumiminika mabarabarani katika miji mbali mbali ya nchi hiyo, kupinga na kulaani uamuzi wa utawala haramu wa Israel wa kulitambua eneo la Somaliland la kaskazini mwa nchi kama taifa huru.

  • Somaliland katika kitovu cha kuzingatiwa kijiopilitiki; Je Israel inataka kutia mguu katika Lango Bahari la Bab al-Mandab?

    Somaliland katika kitovu cha kuzingatiwa kijiopilitiki; Je Israel inataka kutia mguu katika Lango Bahari la Bab al-Mandab?

    Dec 31, 2025 02:23

    Mataifa na asasi mbalimbali za Kiafrika, Kiarabu na Kiislamu zimepinga vikali hatua ya utawala vamizi wa Israel ya kulitambua rasmi eneo la 'Somaliland', ambalo limejitenga na Somalia, kama taifa huru na lenye mamlaka kamili, hatua ambayo imekabiliwa na radiamali kali ya Jumuiya ya Nchi za Kiarabu na jamii ya kimataifa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS