Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • Serikali ya Somalia yaikosoa Imarati kwa kuwaunga mkono wapinzani wa Kisomali

    Serikali ya Somalia yaikosoa Imarati kwa kuwaunga mkono wapinzani wa Kisomali

    Feb 21, 2021 11:46

    Serikali ya Somalia imeikosoa Imarati kutokana na kuwaunga mkono wapinzani wa serikali ya Mogadishu.

  • Milio mikubwa ya risasi na miripuko yatokea mji mkuu wa Somalia katika maandamano ya wapinzani

    Milio mikubwa ya risasi na miripuko yatokea mji mkuu wa Somalia katika maandamano ya wapinzani

    Feb 19, 2021 10:36

    Milio mikubwa ya risasi na miripuko imezuka katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu wakati vikosi vya usalama vilipopambana na waandamanaji wenye hasira kutokana na kucheleweshwa uchaguzi. Hayo ni kwa mujibu wa mashuhuda, serikali na viongozi wa upinzani.

  • Mlipuko mwingine wautikisa mji mkuu wa Somalia, Mogadishu; watu kadhaa wauawa

    Mlipuko mwingine wautikisa mji mkuu wa Somalia, Mogadishu; watu kadhaa wauawa

    Feb 13, 2021 08:31

    Kwa akali watu watatu wameuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa baada ya kutokea mlipuko mkubwa katika mji mkuu wa Somalia Mogadishu.

  • Rais wa Somalia aitisha mkutano mwingine kuondoa mkwamo wa kisiasa

    Rais wa Somalia aitisha mkutano mwingine kuondoa mkwamo wa kisiasa

    Feb 10, 2021 10:12

    Rais Mohamed Abdullahi Farmajo wa Somalia ametoa mwito wa kufanyika kwa raundi mpya ya mazungumzo ya majadiliano tarehe 15 mwezi huu ili kusaidia kuondoa mkwamo wa mchakato wa uchaguzi.

  • Maajenti 12 wa usalama wauawa katika shambulio la bomu Somalia

    Maajenti 12 wa usalama wauawa katika shambulio la bomu Somalia

    Feb 08, 2021 08:41

    Mkuu wa Idara ya Intelijensia ya Somalia pamoja na maajenti 11 wa kitengo hicho cha usalama wameuawa katika mripuko wa bomu la kutegwa kando ya barabara katika jimbo la Galmudug, katikati ya nchi.

  • Rais wa Somalia: Nchi za kigeni zinavuruga mchakato wa uchaguzi nchini

    Rais wa Somalia: Nchi za kigeni zinavuruga mchakato wa uchaguzi nchini

    Feb 07, 2021 04:01

    Rais Muhammed Abdullahi Farmajo wa Somalia amesema uingiliaji wa madola ajinabi katika mambo ya ndani ya nchi hiyo ndiyo sababu kuu ya kugonga mwamba mazungumzo ya kujaribu kuupatia ufumbuzi mkwamo wa uchaguzi katika nchi hiyo.

  • Jeshi la Somalia lawaangamiza magaidi 8 wa al-Shabab walioshambulia ujumbe wa rais

    Jeshi la Somalia lawaangamiza magaidi 8 wa al-Shabab walioshambulia ujumbe wa rais

    Feb 06, 2021 01:13

    Jeshi la Somalia limetangaza kuwaangamiza magaidi 8 wa kundi la al-Shabab ambao waliushambulia kwa mizinga mkutano wa serikali uliokuwa unaongozwa na rais wa nchi hiyo.

  • Marekani inaendelea kuingilia Somalia kijeshi

    Marekani inaendelea kuingilia Somalia kijeshi

    Feb 02, 2021 22:58

    Kamandi ya Oparesheni Maalumu za Jeshi la Marekani barani Afrika imetangaza kuwa, Jeshi la Marekani limeanza kutoa mafunzo tena kwa Jeshi la Somalia hata baada ya kutangaza kuondoa askari wake katika nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Umoja wa Mataifa wasisitiza kuhusu utatuzi wa kadhia ya wakimbizi Somalia

    Umoja wa Mataifa wasisitiza kuhusu utatuzi wa kadhia ya wakimbizi Somalia

    Feb 02, 2021 09:19

    Mratibu mkazi wa Umoja wa Mataifa na wa masuala ya kibinadamu nchini Somalia amesema wakimbizi wa ndani nchini humo ni mtihani mkubwa ambao unahitaji suluhisho la muda mrefu.

  • Mwakilishi wa UN Somalia alaani vikali shambulio la kigaidi la mjini Mogadishu

    Mwakilishi wa UN Somalia alaani vikali shambulio la kigaidi la mjini Mogadishu

    Feb 02, 2021 04:01

    Umoja wa Mataifa nchini Somalia umelaani vikali shambulizi la kigaidi lilofanywa Jumapili kwenye hotel ya Afrika katika mji mkuu Mogadishu na kusababisha vifo vya watu kadhaa na wengine wengi kusalia majeruhi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS