Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan

  • Sudan katika jitihada za kustawisha uhusiano wake na Russia

    Sudan katika jitihada za kustawisha uhusiano wake na Russia

    Nov 27, 2017 04:42

    Rais Omar Hassan al Bashir wa Sudan ambaye alikuwa safarini mjini Moscow ameitaka Russia kuilinda Khartoum mbele ya uingiliaji kati wa Marekani nchini Sudan.

  • Al Bashir: Marekani ina mpango wa kuigawa Sudan

    Al Bashir: Marekani ina mpango wa kuigawa Sudan

    Nov 25, 2017 12:44

    Rais Omar al Bashir wa Sudan amesema kuwa mashinikizo na njama za Marekani ndivyo vilivyopelekea kugawanywa Sudan katika nchi mbili na kwamba Washington ina mpango wa kuigawa zaidi Sudan katika nchi tano tofauti.

  • Sudan yapinga misimamo dhidi ya Iran ya baadhi ya nchi za Kiarabu

    Sudan yapinga misimamo dhidi ya Iran ya baadhi ya nchi za Kiarabu

    Nov 22, 2017 23:57

    Rais Omar Hassan al Bashir wa Sudan amesema kuwa nchi yake haikubaliani na misimo iliyodhidi ya Iran na tangazo la vita la baadhi ya nchi za Kiarabu dhidi ya Jamhuri ya Kislamu.

  • Al Bashir atishia kuchukua hatua kali dhidi ya waasi Darfur

    Al Bashir atishia kuchukua hatua kali dhidi ya waasi Darfur

    Nov 08, 2017 11:45

    Rais wa Sudan ametishia kuchukua hatua kali dhidi ya waasi wa Darfur iwapo hawatakabidhi silaha zao.

  • UN yaeleza wasiwasi wake kuhusu hali ya wakimbizi wa Sudan Kusini

    UN yaeleza wasiwasi wake kuhusu hali ya wakimbizi wa Sudan Kusini

    Oct 27, 2017 04:13

    Umoja wa Mataifa umeeleza wasiwasi wake kuhusu hali ya wakimbizi wa Sudan Kusini walioko katika mji mkuu wa nchi jirani ya Sudan, Khartoum.

  • Wabunge wa Sudan wapinga ushirikiano wa jeshi la nchi hiyo na Saudia huko Yemen

    Wabunge wa Sudan wapinga ushirikiano wa jeshi la nchi hiyo na Saudia huko Yemen

    Oct 27, 2017 00:41

    Wabunge wa Sudan wamepinga ushirikiano wa jeshi la nchi hiyo na Saudi Arabia katika kuwaua raia na Waislamu wa Yemen.

  • Sudan: Mienendo ya Marekani inagongana na kupingana

    Sudan: Mienendo ya Marekani inagongana na kupingana

    Oct 21, 2017 13:30

    Serikali ya Sudan imeeleza masikitiko yake kwa hatua ya Marekani kuwataka raia wake kuchukua tahadhari kufanya safari ndani ya nchi hiyo ya Afrika na imesema kuwa, mienendo ya Washington ni yenye kupingana.

  • Serikali ya Sudan yafunga mipaka kwa ajili ya kukusanya silaha

    Serikali ya Sudan yafunga mipaka kwa ajili ya kukusanya silaha

    Oct 05, 2017 23:22

    Serikali ya Sudan imefunga mipaka ya nchi hiyo katika utekelezaji wa mpango wa kukusanya silaha na imewataka raia wa nchi hiyo kuisaidia katika mchakato huo.

  • Wanajeshi vamizi wa Sudan wapata pigo, mamia wauawa nchini Yemen + Picha

    Wanajeshi vamizi wa Sudan wapata pigo, mamia wauawa nchini Yemen + Picha

    Oct 01, 2017 00:29

    Toleo la mtandaoni la gazeti la al Akhbar la nchini Lebanon limetangaza habari ya kushindwa vibaya wanajeshi vamizi wa Sudan nchini Yemen. Kwa upande wake, mtandao wa habari wa Yemen Press umeandika kuwa, zaidi ya wanajeshi 400 wa Sudan wameshauawa hadi hivi sasa huko Yemen.

  • Mamia ya mamluki wa Saudia raia wa Sudan wauawa Yemen

    Mamia ya mamluki wa Saudia raia wa Sudan wauawa Yemen

    Sep 28, 2017 10:47

    Mkuu wa Kikosi cha Sudan kinachoshirikiana na muungano wa Saudi Arabia dhidi ya Yemen amesema mamia ya mamluki wa nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika wameuawa katika uvamizi wa muungano huo dhidi ya nchi hiyo maskini ya Kiarabu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS