Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan Kusini

  • Mazungumzo ya amani ya Sudan Kusini kuanza tena mjini Khartoum

    Mazungumzo ya amani ya Sudan Kusini kuanza tena mjini Khartoum

    Aug 24, 2018 09:04

    Mazungumzo ya amani ya Sudan Kusini yanatarajiwa kuanza tena mjini Khartoum katika nchi jirani ya Sudan Jumatatu ijayo. Mazungumzo hayo yalikuwa yameahirishwa kutokana na sherehe za Idul Adh'ha zilizoanza Jumanne iliyopita.

  • Mahasimu Sudan Kusini wasisitiza kutekeleza kikamilifu makubaliano ya amani

    Mahasimu Sudan Kusini wasisitiza kutekeleza kikamilifu makubaliano ya amani

    Aug 22, 2018 03:14

    Pande mbalimbali zinazojihusisha na mchakato wa amani wa Sudan Kusini, zimewasisitizia watu wa nchi hiyo kutekeleza kikamilifu makubaliano ya amani ya Khartoum.

  • UN kuchunguza mauaji ya watu 14  eneo la Kuda Sudan Kusini

    UN kuchunguza mauaji ya watu 14 eneo la Kuda Sudan Kusini

    Aug 18, 2018 03:00

    Ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Sudan Kusini (UNMISS) umeanza kuchunguza mauaji ya watu 14 waliouawa wakati wa mapigano baina ya jamii za wafugaji nje ya Juba, mji mkuu wa nchi hiyo.

  • Watu 75 wauawa na kujeruhiwa katika mapigano ya kikabila Sudan Kusini

    Watu 75 wauawa na kujeruhiwa katika mapigano ya kikabila Sudan Kusini

    Aug 14, 2018 10:31

    Maafisa wa serikali ya Sudan Kusini wametangaza kuwa watu 23 wameuliwa na wengine 52 wamejeruhiwa katika mapigano ya kikabila yaliyotokea magharibi mwa nchi hiyo.

  • Rais wa Sudan Kusini awapa msamaha Machar na waasi wengine

    Rais wa Sudan Kusini awapa msamaha Machar na waasi wengine

    Aug 09, 2018 10:47

    Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini ametoa msamaha kwa waasi waliohusika katika vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini humo akiwemo makamu wake wa zamani, Riek Machar.

  • Watoto zaidi ya 100  Sudan Kusini waachiliwa huru na waasi kufuatia jitihada za  UNICEF

    Watoto zaidi ya 100 Sudan Kusini waachiliwa huru na waasi kufuatia jitihada za UNICEF

    Aug 07, 2018 10:02

    Shirika la Kuhudumia Watoto la Umoja wa Mataifa (UNICEF) limesema askari watoto 128 wameachiwa huru kutoka makundi ya waasi yaliyovunjwa huko Yambio, mkoa wa Western Equatoria kusini mwa Sudan Kusini.

  • Sudan Kusini wasisitiza kuheshimiwa makubaliano ya mwisho wa kugawana madaraka

    Sudan Kusini wasisitiza kuheshimiwa makubaliano ya mwisho wa kugawana madaraka

    Aug 06, 2018 03:36

    Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini na hasimu wake mkubwa, Riek Machar wamehimiza kuheshimiwa kikamilifu mapatano ya mwisho ya kugawana madaraka kwa shabaha ya kukomesha vita vya ndani vya umwagaji mkubwa wa damu vilivyodumu kwa miaka mitano sasa.

  • Kiir: Makubaliano mapya ya amani hayatasambaratika

    Kiir: Makubaliano mapya ya amani hayatasambaratika

    Aug 03, 2018 20:57

    Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini amesema anaamini kuwa makubaliano mapya ya amani baina ya serikali yake na kundi kubwa zaidi la waasi nchini humo hayatasambaratika kwa sababu sio ya kutwishwa kama yale ya kabla yake.

  • Mapatano ya awali ya kugawana madaraka yafikiwa Sudan Kusini

    Mapatano ya awali ya kugawana madaraka yafikiwa Sudan Kusini

    Jul 25, 2018 22:33

    Mahasimu nchini Sudan Kusini, Rais Salva Kiir na kiongozi wa waasi Riek Machar Jumatano walitilaina saini mapatano ya awali ya kugawana madaraka.

  • MSF yasimamisha shughuli zake Sudan Kusini baada ya ofisi zake kuvamiwa

    MSF yasimamisha shughuli zake Sudan Kusini baada ya ofisi zake kuvamiwa

    Jul 24, 2018 20:50

    Jumuiya ya Madaktari Wasio na Mipaka (MSF) imetangaza habari ya kusimamisha aghalabu ya huduma zake katika kaunti ya Maban, kaskazini mwa Sudan Kusini baada ya ofisi zake kushambuliwa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS