-
Serikali na waasi kuondoa vikosi vyao maeneo ya mijini Sudan Kusini
Jul 07, 2018 02:37Pande hasimu katika mgogoro wa Sudan Kusini zimeafiki pendekezo la kuviondoa vikosi vya wapiganaji wao katika maeneo ya mijini nchini humo.
-
Raia 18 wauawa katika machafuko mapya Sudan Kusini
Jul 03, 2018 11:11Watu wasiopungua 18 wameuawa katika machafuko mapya yaliyozuka nchini Sudan Kusini, baada ya kukiukwa makubaliano mapya ya amani yaliyosainiwa siku chache zilizopita katika nchi jirani ya Sudan.
-
Wabunge Sudan Kusini waanza kujadili suala la kuongezwa muhula wa urais na bunge
Jul 03, 2018 03:33Wawakilishi wa bunge nchini Sudan Kusini wameanza mchakato wa mazungumzo unaohusiana na pendekezo la kuifanyia katiba marekebisho yatakayopelekea kuongezwa muhula wa urais na bunge kufikia Julai 2021.
-
AU: Wakati wa kuchukua hatua Sudan Kusini umewadia
Jul 01, 2018 02:46Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika amesema wakati umefika wa kuwachukulia hatua wahusika wanaochochea mgogoro nchini Sudan Kusini.
-
Mapatano ya usitishaji vita Sudan Kusini yakiukwa masaa machache baada ya kuidhinishwa
Jun 30, 2018 11:50Mapatano ya hivi karibuni ya usitishaji vita Sudan Kusini yamekiukwa masaa machache baada ya kuanza kutekelezwa huku pande zote mbili za serikali na upinzani zikirushiana lawama.
-
Salva Kiir atangaza usitishaji vita wa kudumu Sudan Kusini
Jun 29, 2018 23:38Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini ametangaza usitishaji vita wa kudumu kote nchini humo.
-
Mahasimu wa kisiasa nchini Sudan Kusini wakubaliana kusitisha vita
Jun 26, 2018 21:44Mahasimu wawili wakubwa ambao ndio wahusika wakuu wa mgogoro wa miaka kadhaa sasa wa Sudan Kusini wameafikiana kusitisha mapigano huku wakikubaliana katika nukta nyingine kadhaa za kuhakikisha amani ya kudumu inapatikana nchini humo.
-
Wakimbizi wa Sudan Kusini walioko Uganda wajiandaa kurejea nyumbani (RIPOTI)
Jun 26, 2018 12:11Wakimbizi wa Sudan Kusini walioko nchini Uganda wameanza kujitayarisha kurejea nchini kwao, baada ya pande hasimu za kisiasa katika nchi hiyo changa zaidi barani Afrika kusaini makubaliano ya amani mjini Khartoum, Sudan.
-
Msafara wa walinda amani wa UN wavamiwa Sudan Kusini, askari auawa
Jun 26, 2018 10:39Askari wa Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Mataifa nchini Sudan Kusini ameuawa mapema leo Jumanne baada ya msafara wa magari ya mashirika ya kutoa misaada ya kibinadamu kuviziwa na kushambuliwa na genge la wabeba silaha magharibi mwa nchi hiyo.
-
Mahasimu wa Sudan Kusini waonana ana kwa ana Khartoum
Jun 25, 2018 10:19Mahasimu wawili wakubwa ambao ndio wahusika wakuu wa mgogoro wa miaka kadhaa sasa wa Sudan Kusini wameanzisha mazungumzo mpya ya amani ya kumaliza mgogoro wa nchi hiyo changa zaidi barani Afrika.