-
Raia 3000 wa Sudan Kusini watorokea Uganda baada ya kushambuliwa na jeshi
Apr 04, 2017 11:30Raia zaidi ya elfu 3 wa Sudan Kusini wameingia katika nchi jirani ya Uganda hii leo baada ya wanajeshi wa serikali SPLA kuvamia mji wa mpakani wa Pajok, na kuanza kufanya mauaji kiholela.
-
Jeshi la Sudan Kusini lalaumiwa kwa kuteketeza vijiji
Apr 01, 2017 03:10Vikosi vya jeshi la serikali ya Sudan Kusini viliteketeza maelfu ya nyumba mwishoni mwa mwaka jana wa 2016 wakati vita vya miaka mitatu vya wenyewe kwa wenyewe vilipokuwa vikiendelea nchini humo.
-
Riek Machar: Natija ya kikao cha IGAD inakatisha tamaa
Mar 31, 2017 03:05Kiongozi wa waasi nchini Sudan Kusini, Riek Machar ameonyesha kutofurahishwa na natija ya kikao cha Jumuiya ya Kieneo ya Nchi za Afrika Mashariki (IGAD).
-
Unicef na Wfp zatoa msaada wa chakula kwa Sudan Kusini
Mar 28, 2017 22:26Mfuko wa Kuhudumia Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) na Mpango wa Chakula Duniani (WFP) kwa pamoja zimegawa misaada mbalimbali kwa raia 145,000 wa Sudan Kuisni wakiwemo watoto elfu 33 walio na umri wa chini ya miaka mitano.
-
Watoaji misaada ya kibinadamu sita wauawa Sudan Kusini
Mar 27, 2017 03:29Wahudumu sita wa asasi za kutoa misaada ya kibinadamu wameuawa katika mazingira ya kutatanisha nchini Sudan Kusini.
-
Saudia yazidi kujipenyeza kijeshi Afrika, yaandaa luteka na Sudan
Mar 27, 2017 03:24Katika hatua inayoonekana ni ya kujaribu kujienyeza zaidi kijeshi barani Afrika, majeshi ya Saudi Arabia na Sudan yanatazamiwa kufanya luteka ya pamoja wiki hii.
-
Sudan yaafiki kuanzishwa njia ya amani kwa ajili ya misaada ya kibinadamu Sudan Kusini
Mar 27, 2017 00:09Serikali ya Sudan imeafiki suala la kuanzishwa njia ya amani kwa ajili ya kutuma misaada ya kibinadamu kwa watu walioathiriwa na ukame na njaa katika nchi jirani ya Sudan Kusini.
-
Mpango wa kutumwa kundi la kwanza la wanajeshi wa kieneo wa UN Sudan Kusini
Mar 25, 2017 08:54Herve Ladsous Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa anayesimamia oparesheni za kulinda amani ametangaza kuwa kundi la kwanza la kikosi cha wanajeshi wa kieneo walio chini ya usimamizi wa Umoja wa Mataifa watakuwa wamewasilii Sudan Kusini hadi mwishoni mwa mwezi Aprili na mwanzoni mwa Mei kufuatia kuvurugika hali ya kisiasa na kibinadamu nchini humo.
-
Kikosi cha kijeshi cha UN kuingia Sudan Kusini
Mar 25, 2017 03:07Wanajeshi wa Umoja wa Mataifa wanatazamiwa kuingia Sudan Kusini katika kipindi cha chini ya mwezi moja.
-
Maafisa wa kulinda amani wa Rwanda kuanza kuwasili Sudan Kusini kesho
Mar 24, 2017 02:56Jeshi la Polisi la Rwanda limetuma suhula na zana za kivita mjini Juba, zitakazotumiwa na kikosi kipya cha maafisa wake wa kulinda amani nchini Sudan Kusini.