Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan Kusini

  • Serikali ya Sudan Kusini yataka Machar atambuliwe kama gaidi

    Serikali ya Sudan Kusini yataka Machar atambuliwe kama gaidi

    Mar 14, 2017 11:27

    Serikali ya Sudan Kusini imezitaka nchi za eneo kumtambua Riek Machar, aliyekuwa makamu wa rais wa nchi hiyo kama gaidi, baada ya askari watiifu kwa kiongozi huyo kuwateka nyara wafanyakazi wawili wa kigeni, na kuitisha kikomboleo ili wawaachie huru.

  • Maelfu ya raia wa Sudan Kusini wakimbilia Sudan

    Maelfu ya raia wa Sudan Kusini wakimbilia Sudan

    Mar 13, 2017 03:28

    Maelfu ya raia wa Sudan Kusini wamekimbilia Sudan kutokana na matatizo mengi yanayoikabili nchi yao ukiwemo ukame.

  • Asasi za kiraia zalalamikia ada ya juu ya viza ya kazi Sudan Kusini

    Asasi za kiraia zalalamikia ada ya juu ya viza ya kazi Sudan Kusini

    Mar 12, 2017 04:02

    Asasi za kiraia na mashirika ya kutetea haki za binadamu pamoja na yale ya misaada ya kibinadamu yamekosoa hatua ya serikali ya Sudan Kusini kuongeza malipo ya viza ya kazi kwa kiwango cha juu zaidi.

  • Kiir awaachia huru majenerali wa jeshi na wafungwa wa kisiasa

    Kiir awaachia huru majenerali wa jeshi na wafungwa wa kisiasa

    Mar 11, 2017 03:17

    Rais wa Sudan Kusini, Salva Kiir amewaachia huru makamanda waandamizi wa jeshi la nchi hiyo na kuahidi kuwaachia huru wafungwa wa kisiasa katika siku zijazo.

  • UN yatoa indhari: Hali ya kibinadamu Sudan Kusini inazidi kuwa mbaya

    UN yatoa indhari: Hali ya kibinadamu Sudan Kusini inazidi kuwa mbaya

    Mar 01, 2017 12:26

    Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuwa hali ya kibinadamu nchini Sudan Kusini inazidi kuwa mbaya na kutoa wito wa kurahisisha ufikishaji misaada katika maeneo yaliyoathiriwa na machafuko na ya watu wenye ukata wa maisha.

  • Juhudi za Rais wa Sudan Kusini za kurejesha amani nchini

    Juhudi za Rais wa Sudan Kusini za kurejesha amani nchini

    Feb 22, 2017 04:24

    Rais wa Sudan Kusini ameyatolea mwito makundi ya kisiasa nchini humo kujiunga na mazungumzo ya kitaifa.

  • Kuendelea mgogoro Sudan Kusini na kujiuzulu maafisa kadhaa wa jeshi na serikali

    Kuendelea mgogoro Sudan Kusini na kujiuzulu maafisa kadhaa wa jeshi na serikali

    Feb 21, 2017 00:34

    Mgogoro wa kisiasa wa Sudan Kusini umepanuka zaidi hadi serikalini ambapo siku kadhaa zilizopita baadhi ya viongozi wa serikali ya nchi hiyo wamejiuzulu nyadhifa zao.

  • Mkuu wa Mahakama za Kijeshi Sudan Kusini ajiuzulu, aishutumu serikali

    Mkuu wa Mahakama za Kijeshi Sudan Kusini ajiuzulu, aishutumu serikali

    Feb 18, 2017 12:51

    Mkuu wa Mahakama za Kijeshi nchini Sudan Kusini, Kanali Khalid Ono Loki amejiuzulu na kueleza kwamba uingiliaji unaofanywa kutoka ngazi za juu umesababisha kutowezekana kuwachukulia hatua za kuwaadhibu askari wanaotuhumiwa kufanya ubakaji na mauaji wakati wa vita vya ndani nchini humo.

  • Waziri ajiuzulu Sudan Kusini, ajiunga na kundi la waasi

    Waziri ajiuzulu Sudan Kusini, ajiunga na kundi la waasi

    Feb 17, 2017 11:05

    Waziri wa Leba wa Sudan Kusini ametangaza kujiuzulu na kusema kuwa sasa ataunga mkono harakati zinazofanywa na waasi wanaomuunga mkono Riek Machar, Makamu wa Rais wa zamani wa nchi hiyo.

  • UN: Wakimbizi waliotoweka Sudan Kusini hatima yao haijulikani

    UN: Wakimbizi waliotoweka Sudan Kusini hatima yao haijulikani

    Feb 17, 2017 04:06

    Umoja wa Mataifa umeelezea wasiwasi ulionao kutokana na kutokuweko taarifa za kutosha kuhusiana na hali ya wakimbizi waliotoweka huko katika nchi ya Sudan Kusini.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS