-
Ripoti ya Umoja wa Mataifa na wasi wasi juu ya Sudan Kusini
Feb 15, 2017 09:25Kufuatia kuendelea mapigano nchini Sudan Kusini, Umoja wa Mataifa umezitaja taathira za vita vya ndani nchini humo kuwa ni janga na kuonya juu ya uwezekano wa kuendelea mapigano hayo kwa miaka kadhaa ijayo.
-
UN yaeleza wasiwasi wake kuhusu hali mbaya ya Sudan Kusini
Feb 14, 2017 09:39Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuhusu machafuko na mapigano yanayoshadidi zaidi nchini Sudan Kusini.
-
Naibu Mkuu wa Majeshi Sudan Kusini ajiuzulu kulalamikia ubakaji na udhalilishaji raia
Feb 12, 2017 12:48Naibu Mkuu wa Majeshi ya Sudan Kusini anayehusika na masuala ya kilojistiki Luteni Jenerali Thomas Cirillo Swaka amejiuzulu kulalamikia vitendo vya unyanyasaji vikiwemo vya udhalilishaji wa kingono unaofanywa na vikosi vya usalama dhidi ya raia na kile alichokiita kuongezeka upendeleo wa kikabila jeshini.
-
UN yatahadharisha kuhusu machafuko Sudan Kusini
Feb 10, 2017 21:54Umoja wa Mataifa umevitahadharisha vikosi vya jeshi la serikali na wapinzani huko Sudan Kusini kuhusu kuendeleza hali ya machafuko nchini humo.
-
UN: Wakimbizi 52,000 wa Sudan Kusini wameingia Uganda mwezi jana
Feb 09, 2017 03:56Umoja wa Mataifa umesema wakimbizi 52,000 raia wa Sudan Kusini waliingia nchini Uganda mwezi uliopita pekee wa Januari, kutokana na kuendelea kushuhudiwa mauaji na machafuko katika nchi yao.
-
Salva Kiir asema atagombea urais Sudan Kusini mwakani
Feb 08, 2017 00:04Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini ametangaza kuwa atawania kiti cha rais kwa muhula mwengine katika uchaguzi mkuu unaotazamiwa kufanyika mwakani.
-
Rais wa Sudan Kusini: Askari wanaobaka inapasa wauawe
Feb 07, 2017 00:29Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini amesema askari wanaowabaka raia inapasa wauawe kwa kupigwa risasi. Rais Kiir alitangaza msimamo huo jana katika hotuba aliyotoa wakati alipotembelea mji wa Yei.
-
Waasi Sudan Kusini wadai Misri imewashambulia
Feb 05, 2017 03:56Waasi Sudan Kusini wameituhumu Misri kuwa imetekeelza hujuma za angani katika ngome zao huku wakuu wa Cairo wakikanusha kufanya hivyo.
-
Waasi Sudan Kusini waituhumu Misri kuwa imeshambulia ngome zao
Feb 05, 2017 00:58Waasi wa Sudan Kusini wameituhumu Misri kuwa imeshambulia kwa mabomu maeneo na ngome zao na kutahadharisha juu ya uwezekano wa kutokea vita vya kieneo.
-
Mamia ya raia wa Sudan Kusini wakimbilia Uganda kila siku
Feb 04, 2017 00:25Mamia ya raia wa Sudan Kusini wanakimbilia nchini Uganda kila siku kukimbia mapigano ya kikabila nchini mwao.