-
Wapinzani S/Kusini wakaribisha mazungumzo ya kitaifa
Dec 16, 2016 12:05Wapinzani wa serikali ya Sudan Kusini wameunga mkono kufanyika mazungumzo ya kitaifa nchini humo.
-
Mchanganuzi: US, UK na Israel zimezitelekeza Sudan mbili baada ya kuzitenganisha
Dec 15, 2016 10:43Katika hali ambayo Sudan Kusini inatimiza miaka mitatu ya mapigano, machafuko na uhasama, wachanganuzi wa mambo wanasema kuwa, Marekani, Uingereza na Israel zimeitelekeza nchi hiyo na jirani yake Sudan, licha ya kuhusika moja kwa moja katika mpango wa kuzitenganisha.
-
Rais wa Sudan Kusini ataka kufanyika Mazungumzo ya Kitaifa
Dec 15, 2016 00:49Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini ametoa wito wa kufanyika 'Mazungumzo ya Kitaifa' ili kuupatia ufumbuzi mzozo wa kisiasa na kiusalama unaoikabili nchi hiyo.
-
UN yataka kutumwa askari wa kulinda amani Sudan Kusini
Dec 14, 2016 10:44Umoja wa Mataifa umetoa wito wa kutumwa askari wa kulinda amani nchini Sudan Kusini, ili kuzuia nchi hiyo isitumbukie katika mauaji ya kimbari kama yale yaliyoshuhudiwa nchini Rwanda mwaka 1994.
-
Kikao cha viongozi wa IGAD cha kujadili amani ya eneo
Dec 11, 2016 03:38Viongozi wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Ustawi wa Mashariki mwa Afrika IGAD wamekutana katika mji mkuu wa Ethiopia, Addis Ababa kwa kikao cha 29 cha dharura ambacho kimefanyika kwa uenyekiti wa Waziri Mkuu wa nchi hiyo Hailemariam Desalegn kujadili amani na uthabiti wa eneo hasa katika nchi za Sudan Kusini na Somalia.
-
AU yaitaka Sudan Kusini ipambane na ukatili dhidi ya wanawake
Dec 09, 2016 23:32Umoja wa Afrika umeitaka serikali ya Sudan Kusini ichukue hatua madhubuti za kupambana na ukatili dhidi ya wanawake nchini humo.
-
UN: Idadi ya watu ambayo 'haijawahi kushuhudiwa' wanakabiliwa na baa kubwa la njaa Sudan Kusini
Dec 03, 2016 04:17Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) limetangaza kuwa watu wapatao milioni tatu na laki sita wanakabiliwa na uhaba mkubwa mno wa chakula nchini Sudan Kusini ambao ni kiwango cha juu zaidi kuwahi kushuhudiwa katika msimu wa mavuno, huku hali hiyo ikitazamiwa kuwa mbaya zaidi ifikapo mwakani baada ya chakula cha mavuno ya sasa kumalizika.
-
Indhari ya UN juu ya uwezekano wa kutokea mauaji ya kimbari Sudan Kusini
Dec 02, 2016 13:01Kutokana na kuendelea mapigano nchini Sudan Kusini kuna hatari ya kutokea mauaji ya kimbari nchini humo.
-
UN yatahadharisha kuhusu mauji ya kimbari Sudan Kusini
Dec 02, 2016 00:54Mjumbe wa Baraza la Haki za binadamu la Umoja wa Mataifa nchini Sudan Kusini amesema baada ya kuitembelea nchi hiyo kuwa, kumetokea mauaji ya kimbari katika maeneo kadhaa ya Sudan Kusini.
-
UN yatiwa wasiwasi na kuongezeka machafuko Sudan Kusini
Dec 01, 2016 03:51Umoja wa Mataifa umesema kuwa una wasiwasi na kushtadi machafuko ya kikabila huko Sudan Kusini.