Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan Kusini

  • Waliouawa katika mapigano ya hivi karibuni S/Kusini waongezeka

    Waliouawa katika mapigano ya hivi karibuni S/Kusini waongezeka

    Jul 01, 2016 10:47

    Waziri wa Habari wa Sudan Kusini amesema kuwa, idadi ya watu waliouawa katika mapigano ya hivi karibuni nchini humo imeongezeka.

  • Makumi wauawa katika mapigano kati ya jeshi na waasi Sudan Kusini

    Makumi wauawa katika mapigano kati ya jeshi na waasi Sudan Kusini

    Jun 29, 2016 08:53

    Makumi ya watu wameuawa katika wimbi jipya la mapigano kati ya askari wa jeshi la serikali na waasi katika mji wa Wau nchini Sudan Kusini.

  • Sudan Kusini yazidi kuzama katika dimbwi la vita vya ndani

    Sudan Kusini yazidi kuzama katika dimbwi la vita vya ndani

    Jun 26, 2016 10:43

    Mapigano makali ya silaha baina ya jeshi la serikali na makundi ya waasi yameshadidi katika mji wa Wau ulioko katika jimbo la Bahr el Ghazal nchini Sudan Kusini.

  • Angola, Misri kuishawishi UN kuziondolea vikwazo CAR na S/Kusini

    Angola, Misri kuishawishi UN kuziondolea vikwazo CAR na S/Kusini

    Jun 21, 2016 23:34

    Angola na Misri zimesema zitazishawishi nchi wanachama wasio wa kudumu wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa zikubali wazo la kuondolewa vikwazo Jamhuri ya Afrika ya Kati na Sudan Kusini.

  • Kuanza mazungumzo baina ya Sudan na Sudan Kusini

    Kuanza mazungumzo baina ya Sudan na Sudan Kusini

    Jun 06, 2016 22:03

    Mazungumzo kati ya maafisa wa Sudan na Sudan Kusini yalianza tena jana Jumatatu ya tarehe 6 Juni katika mji mkuu wa Sudan, Khartoum.

  • S/Kusini yabuni kamati ya kuanisha hatima ya majimbo 28

    S/Kusini yabuni kamati ya kuanisha hatima ya majimbo 28

    Jun 04, 2016 03:13

    Sudan Kusini imebuni kamati maalumu ya kuanisha hatima ya majimbo 18 ya ziada yaliyotangazwa mwishoni mwa mwaka uliopita 2015 na Rais Salva Kiir.

  • UN: Huenda Sudan Kusini ikawekewa vikwazo vipya

    UN: Huenda Sudan Kusini ikawekewa vikwazo vipya

    Jun 01, 2016 02:18

    Umoja wa Mataifa umesema Sudan Kusini ipo katika ncha ya kuwekewa vikwazo vipya na jamii ya kimataifa kutokana na mwendo wa kinyonga wa kutekeleza makubaliano ya amani yaliyofikiwa mwaka jana.

  • Umoja wa Ulaya walaani vitendo vya ukiukaji wa haki za binadamu Sudan Kusini

    Umoja wa Ulaya walaani vitendo vya ukiukaji wa haki za binadamu Sudan Kusini

    May 24, 2016 03:18

    Umoja wa Ulaya umelaani vitendo vya ukiukaji wa haki za binadamu katika nchi changa zaidi barani Afrika ya Sudan Kusini.

  • Umoja wa Ulaya walaani vitendo vya ukiukaji wa haki za binadamu Sudan Kusini

    Umoja wa Ulaya walaani vitendo vya ukiukaji wa haki za binadamu Sudan Kusini

    May 24, 2016 02:09

    Umoja wa Ulaya umelaani vitendo vya ukiukaji wa haki za binadamu katika nchi changa zaidi barani Afrika ya Sudan Kusini.

  • UN yaitaka Sudan Kusini itekeleze ahadi ya kufuatilia jinai za ukatili wa kingono

    UN yaitaka Sudan Kusini itekeleze ahadi ya kufuatilia jinai za ukatili wa kingono

    May 12, 2016 10:57

    Mwakilishi Maalumu wa Umoja wa Mataifa anayeshughulikia Ukatili wa Kingono Katika Migogoro ameutaka uongozi mkuu wa serikali ya mpito ya umoja wa kitaifa ya Sudan Kusini utekeleze ahadi ulizotoa za kufuatilia jinai za ukatili wa kingono zilizofanywa nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS