-
Wapinzani wa Syria wakataa mapendekezo ya mjumbe wa UN
Mar 28, 2017 11:51Duru za kuaminika zimeripoti kuwa ujumbe wa wapinzani wa serikali ya Syria katika mazungumzo ya amani ya nchi hiyo umeikataa hati ya mapendekezo iliyowasilishwa na mjumbe maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya nchi hiyo Staffan De Mistura.
-
Mazungumzo ya Geneva-5 yaanza rasmi kuhusu mgogoro wa Syria
Mar 24, 2017 11:28Mazungumzo rasmi yajulikanayo kwa jina la Geneva-5 yameanza nchini Uswisi kati ya Mjumbe Maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Syria na makundi mengine yanayoshiriki kwenye mazungumzo hayo.
-
Syria: Saudia, Uturuki na Qatar zina mkono katika mapigano yanayojiri mashariki mwa Damascus
Mar 24, 2017 00:03Wizara ya Mambo ya Nje ya Syria imesema Saudi Arabia, Uturuki na Qatar zinahusika katika kukoleza moto wa mapigano yanayoendelea katika viunga vya mji mkuu wa nchi hiyo Damascus baina ya vikosi vya serikali na makundi ya kigaidi ya ukufurishaji yanayofadhiliwa na madola ya kigeni.
-
Syria yawasilisha barua za malalamiko UN kulaani mauaji ya muungano wa Marekani nchini humo
Mar 23, 2017 11:53Wizara ya Mambo ya Nje ya Syria, sambamba na kutuma barua mbili za malalimiko yake kwa Umoja wa Mataifa na Baraza la Usalama la umoja huo, limekosoa vikali operesheni za mauaji zinazofanywa na muungano unaoongozwa na Marekani nchini humo.
-
Watu 33 wauawa katika hujuma ya anga ya Marekani nchini Syria
Mar 22, 2017 11:46Makumi ya raia wameuawa katika shambulio la anga la muungano wa kijeshi wa Marekani katika mkoa wa kaskazini wa Raqqah nchini Syria.
-
Marekani kutuma zana mpya za kivita nchini Syria
Mar 22, 2017 03:05Marekani imeazimia kupeleka zana zake mpya za kivita nchini Syria sambamba na kutuma askari wengine 1,000 nchini humo.
-
Jeshi la Syria latungua tena ndege isiyo na rubani ya Israel katika anga yake
Mar 21, 2017 04:10Jeshi la Anga la Syria limetungua ndege ya upelelezi ya utawala haramu wa Kizayuni wa Israel, baada ya kukiuka anga ya Syria na kuingia kwenye ardhi ya nchi hiyo.
-
Israel yafedheheka kwa kutunguliwa ndege yake ya vita huko Syria
Mar 19, 2017 23:30Kufuatia hatua ya hivi karibuni ya kikosi cha Jeshi la Anga la Syria kutungua ndege ya kivita ya utawala haramu wa Israel baada ya ndege hiyo kuingia anga ya Syria, Avigdor Lieberman, Waziri wa Vita wa Israel ametishia kushambulia vituo vya silaha za kutungulia ndege vya Syria.
-
Iran yalaani hujuma ya Marekani katika msikiti nchini Syria
Mar 19, 2017 00:20Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikali hatua ya ndege za kivita za Marekani kuushambulia kwa mabomu msikiti mmoja katika kitongoji kimoja cha mji wa Halab (Aleppo) nchini Syria.
-
Wapalestina waliunga mkono jeshi na serikali ya Syria
Mar 18, 2017 12:20Mwakilishi wa harakati ya Jihadul Islami ya Palestina hapa mjini Tehran amesema kuwa, makundi ya muqawama ya Palestina yanaliunga mkono jeshi na serikali ya Syria katika kukabiliana na uchokozi wa utawala wa Kizayuni na pia kukomboa maeneo yanayokaliwa kwa mabavu na Israel.