Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Tanzania

  • TLP: Serikali ya SMZ ikifungie ruzuku chama cha CUF hadi kijirekebishe

    TLP: Serikali ya SMZ ikifungie ruzuku chama cha CUF hadi kijirekebishe

    Aug 24, 2016 23:56

    Chama cha Tanzania Labour Party (TLP) nchini humo, kimemuandikia barua Rais wa Mapinduzi wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein na kumtaka kuanzia sasa amtenge Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi CUF, Maalim Seif Sharif Hamad, kwa kutomualika kwenye shughuli zozote za kitaifa.

  • TRA Tanzania kupita nyumba hadi nyumba kuchunguza upangishaji

    TRA Tanzania kupita nyumba hadi nyumba kuchunguza upangishaji

    Aug 06, 2016 00:05

    Katika hali ya kushangaza, Mamlaka ya Mapato nchini Tanzania (TRA), imetangaza kuwa itaanza kutembelea nyumba hadi nyumba kuhakiki gharama za upangishaji kwa lengo la kukokotoa na kukusanya kodi sahihi ambazo zilikuwa hazifiki serikalini.

  • Makumi ya familia za Warundi zarejea nyumbani

    Makumi ya familia za Warundi zarejea nyumbani

    Aug 04, 2016 10:37

    Gavana wa mkoa mmoja kaskazini mashariki mwa Burundi ametangaza habari ya kurejea mamia ya familia za raia wa Burundi waliokuwa wamekimbilia nchini Tanzania.

  • Ripoti: Uganda yaongoza kwa visa vya uhalifu Afrika Mashariki

    Ripoti: Uganda yaongoza kwa visa vya uhalifu Afrika Mashariki

    Jul 26, 2016 12:25

    Utafiti mpya umefichua kuwa, Uganda ndiyo inayoongoza kwa visa vya uhalifu wa kutumia silaha za moto katika kanda ya Afrika Mashariki.

  • Bunge la Afrika Mashariki lamuenzi Hafsa Mossi

    Bunge la Afrika Mashariki lamuenzi Hafsa Mossi

    Jul 21, 2016 09:22

    Bunge la Afrika Mashariki EALA limefanya kikao maalumu asubuhi ya leo mjini Arusha Tanzania, kwa ajili ya kumuenzi Hafsa Mossi, mwakilishi wa Burundi katika bunge hilo la kieneo ambaye aliuawa wiki jana mjini Bujumbura.

  • Walionaswa na meli ya madawa ya kulevya yenye usajili wa Tanzania watiwa hatiani

    Walionaswa na meli ya madawa ya kulevya yenye usajili wa Tanzania watiwa hatiani

    Jul 14, 2016 23:41

    Watu wawili raia wa Uturuki walionaswa mwaka jana kwenye ufukwe wa Aberdeen, Scotland na meli iliyokuwa imebeba tani tatu za dawa za kulevya aina ya cocaine huku ikiwa na usajili wa nchini Tanzania, wamekutwa na hatia mahakamani nchini Scotland.

  • Waislamu Tanzania watakiwa kusherehekea Idul Fitr kwa namna inayokubalika

    Waislamu Tanzania watakiwa kusherehekea Idul Fitr kwa namna inayokubalika

    Jul 05, 2016 02:48

    Huku Waislamu wakijiandaa kwa ajili ya sherehe za Iddil-Fitri kutokana na kuelekea kumalizika mwezi mtukufu wa Ramadhani, Waislamu nchini Tanzania wametakiwa kuadhimisha sherehe hizo kwa Amani na utulivu. Hayo yamesemwa na Sheikh Mkuu wa Dar es Salaam, Alhadi Mussa Salum, ambapo pia amewataka Waislamu hao kujiepusha kumuasi Mwenyezi Mungu katika sherehe hizo….

  • Sheikh Hemedi Jalala: Walimwengu wanapaswa kupinga ukandamizaji dhidi ya Wapalestina

    Sheikh Hemedi Jalala: Walimwengu wanapaswa kupinga ukandamizaji dhidi ya Wapalestina

    Jul 02, 2016 00:08

    Walimwengu wametakiwa kuwaunga mkono wananchi madhulumu wa Palestina na kupaza sauti za kupinga dhulma, unyanyasaji na mauaji yanayofanywa na utawala haramu wa Israel dhidi ya wananchi wa Palestina.

  • Watanzania waadhimisha Siku ya Kimataifa ya Quds

    Watanzania waadhimisha Siku ya Kimataifa ya Quds

    Jul 01, 2016 10:57

    Wananchi wa Tanzania wameadhimisha Siku ya Kimataifa ya Quds hii leo ambayo ni Ijumaa ya mwisho ya mwezi Mtukufu wa Ramadhani ikiwa ni katika kuonyesha mshikamano wao na muqawama wa wananchi wa Palestina mbele ya maghasibu Wazayuni.

  • Rais Magufuli: Polisi ongezeni juhudi kiutendaji kumaliza ujambazi

    Rais Magufuli: Polisi ongezeni juhudi kiutendaji kumaliza ujambazi

    Jun 26, 2016 03:30

    Rais John Pombe Magufuli wa Tanzania amewataka polisi wa nchi hiyo kuongeza juhudi katika utendaji kazi wao ili kukabiliana na uhalifu nchini.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS