Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Tume ya Uchaguzi

  • Shambulizi dhidi ya makao makuu ya Tume ya Uchaguzi Libya laua 14 + Video

    Shambulizi dhidi ya makao makuu ya Tume ya Uchaguzi Libya laua 14 + Video

    May 02, 2018 14:58

    Kwa akali watu 14 wameuawa baada ya kundi la kigaidi kushambulia kwa mabomu na risasi makao makuu ya Tume ya Uchaguzi nchini Libya leo Jumatano.

  • Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Gambia akimbia nchi baada ya kutishiwa maisha

    Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Gambia akimbia nchi baada ya kutishiwa maisha

    Jan 04, 2017 07:10

    Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi nchini Gambia amekimbia nchi akihofiwa usalama wake.

  • Uganda yateua timu mpya kuongoza Tume ya Uchaguzi

    Uganda yateua timu mpya kuongoza Tume ya Uchaguzi

    Nov 18, 2016 08:12

    Rais Yoweri Museveni wa Uganda ameteua timu mpya ya makamishna wa Tume ya Uchaguzi nchini humo EC, huku muda wa kuhudumu kwa makamishna wa sasa ukimalizika jana Alkhamisi.

  • Tume: Yumkini uchaguzi mkuu usifanyike mwezi ujao DRC

    Tume: Yumkini uchaguzi mkuu usifanyike mwezi ujao DRC

    Oct 02, 2016 08:16

    Tume ya Uchaguzi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imesema huenda uchaguzi mkuu usifanyike nchini humo mwezi ujao wa Novemba kama ilivyotarajiwa kutokana na sababu za kilojistiki.

  • Kuendelea mvutano wa kisiasa nchini Gabon

    Kuendelea mvutano wa kisiasa nchini Gabon

    Sep 06, 2016 11:30

    Mvutano wa kisiasa inaendelea kushuhudiwa nchini Gabon licha ya kupita siku kadhaa tangu kutangazwa matokeo ya uchaguzi wa Rais uliomrejesha tena madarakani Rais Ali Bongo.

  • Bunge la Ghana lakataa kubadilsha tarehe ya uchaguzi mkuu

    Bunge la Ghana lakataa kubadilsha tarehe ya uchaguzi mkuu

    Jul 22, 2016 14:41

    Bunge la Ghana limekataa kupasisha hoja ya kubadilisha tarehe ya uchaguzi mkuu nchini humo unaotazamiwa kufanyika baadaye mwaka huu.

  • Wapinzani Kenya wakaidi amri na kuandamana kupinga tume ya uchaguzi

    Wapinzani Kenya wakaidi amri na kuandamana kupinga tume ya uchaguzi

    May 09, 2016 15:19

    Wafuasi wa muungano wa upinzani wa Cord nchini Kenya wamekaidi amri ya serikali na kuibua ghasia nje ya makao makuu ya Tume Huru ya Uchaguzi IEBC mjini Nairobi.

  • Dakta Shein aapishwa kushika hatamu ya uongozi Zanzibar

    Dakta Shein aapishwa kushika hatamu ya uongozi Zanzibar

    Mar 24, 2016 16:23

    Rais mteule wa Zanzibar, Dakta Ali Mohamed Shein ameapishwa leo kushika hatamu ya uongozi visiwani humo. Dakta Shein ameapishwa leo kufuatia ushindi alioupata Jumapili iliyopita wa kura 299,982 sawa na asilimia 91.4 ya kura zote halali 328,327 zilizopigwa katika uchaguzi marudio.

  • Kamisheni ya Uchaguzi DRC yataka kusogezwa mbele uchaguzi

    Kamisheni ya Uchaguzi DRC yataka kusogezwa mbele uchaguzi

    Mar 19, 2016 16:55

    Kamisheni ya Uchaguzi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imetoa wito wa kusogezwa mbele tarehe ya uchaguzi wa Rais na Bunge.

  • Uchaguzi wa Rais nchini Niger waingia duru ya pili

    Uchaguzi wa Rais nchini Niger waingia duru ya pili

    Feb 28, 2016 07:38

    Uchaguzi wa Rais nchini Niger uliofanyika Jumapili iliyopita na kuwapambanisha wagombea 15 umeingia duru ya pili baada ya kukosekana mshindi katika duru ya kwanza.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS