Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Tunisia - Tunis

  • Serikali ya Tunisia yaamuru kukamatwa rais wa zamani wa nchi hiyo kutokana na misimamo yake

    Serikali ya Tunisia yaamuru kukamatwa rais wa zamani wa nchi hiyo kutokana na misimamo yake

    Nov 05, 2021 11:20

    Maafisa wa serikali ya Tunisia wametoa amri ya kukamatwa rais wa zamani wa nchi hiyo Moncef Marzouki kutokana na misimamo yake inayopinga maamuzi yaliyochukuliwa na kiongozi wa sasa wa nchi hiyo, Kais Saied.

  • Moncef Marzouki: Saeid auzuliwe na kushtakiwa kwa kuangamiza utawala wa Sheria Tunisia

    Moncef Marzouki: Saeid auzuliwe na kushtakiwa kwa kuangamiza utawala wa Sheria Tunisia

    Oct 28, 2021 10:04

    Rais wa zamani wa Tunisia amewataka wananchi wa nchi hiyo wafanye maandamano ya kupinga maamuzi ya rais wa sasa wa nchi hiyo, Kais Saied, kumuondoa madarakani na kumfikisha mahakamani kwa tuhuma za kuangamiza serikali, mapinduzi ya wananchi na utawala wa sheria.

  • Rais wa Tunisia aahidi kuanzisha mazungumzo ya kitaifa nchini

    Rais wa Tunisia aahidi kuanzisha mazungumzo ya kitaifa nchini

    Oct 22, 2021 09:35

    Rais Kais Saied wa Tunisia amesema kuwa karibuni ataanzisha mazungumzo ya kitaifa kwa ajili ya kufanyiwa marekebisho katiba na mfumo wa kisiasa wa nchi hiyo.

  • Kuapishwa Waziri Mkuu mpya wa Tunisia

    Kuapishwa Waziri Mkuu mpya wa Tunisia

    Oct 13, 2021 02:30

    Hatimaye baada ya vuta nikuvute ya kisiasa ya majuma kadhaa nchini Tunisia, serikali mpya ya nchi hiyo imeapishwa ikiongozwa na mwanamama Najla Bouden Romdhane.

  • Maelfu ya watu waandamana nchini Tunisia kutaka Rais Kais Saied ajiuzulu

    Maelfu ya watu waandamana nchini Tunisia kutaka Rais Kais Saied ajiuzulu

    Oct 11, 2021 02:31

    Maelfu ya watu wamemiminika kwenye mitaa ya mji mkuu wa Tunisia, Tunis katika maandamano mapya ya kumtaka rais wa nchi hiyo Kais Saied ajiuzulu.

  • Rais wa zamani ataka maandamano makubwa dhidi ya Rais wa sasa Tunisia

    Rais wa zamani ataka maandamano makubwa dhidi ya Rais wa sasa Tunisia

    Oct 10, 2021 07:41

    Aliyekuwa rais wa Tunisia amewataka wananchi wa hiyo ya Kiarabu kushiriki kwa wingi katika maandamano yanayotazamiwa kufanyika leo Jumapili, dhidi ya rais wa sasa wa hiyo, Kais Saied, anayemtuhumu kuwa amehodhi madaraka na mamlaka yote ya nchi.

  • Maelfu waandamana kumuunga mkono Rais wa Tunisia

    Maelfu waandamana kumuunga mkono Rais wa Tunisia

    Oct 04, 2021 11:36

    Zaidi ya watu elfu tano wameshiriki maandamano ya kumuunga mkono Rais Kais Saied wa Tunisia anayetuhumiwa na upinzani kuhodhi madaraka yote ya utendaji ya nchi hiyo.

  • Tunisia yasikitishwa na uamuzi wa Ufaransa wa kupunguza viza kwa raia wake

    Tunisia yasikitishwa na uamuzi wa Ufaransa wa kupunguza viza kwa raia wake

    Oct 04, 2021 04:12

    Rais Kais Saied wa Tunisia amefanya mazungumzo na simu na Rais mwenzake wa Ufaransa, Emmanuel Macron na kueleza kusikitishwa na umauzi uliochukuliwa na Paris wa kupunguza idadi ya viza zilizokuwa zikitolewa kwa raia wa Tunisia wanaotaka kuelekea Ufaransa.

  • Mgogoro wa kisiasa waendelea kutokota Tunisia baada ya wabunge kuzuiwa wasiingie bungeni

    Mgogoro wa kisiasa waendelea kutokota Tunisia baada ya wabunge kuzuiwa wasiingie bungeni

    Oct 02, 2021 07:40

    Serikali ya Tunisia imeweka ulinzi mkali kwenye majengo ya bunge la nchi hiyo na kuwazuia wabunge wasiingie bungeni humo.

  • Harakati ya Ennahda Tunisia yapinga maamuzi ya Rais Kais Saied

    Harakati ya Ennahda Tunisia yapinga maamuzi ya Rais Kais Saied

    Sep 30, 2021 11:29

    Harakati ya Ennahda nchini Tunisia imepinga hatua ya rais wa nchi hiyo ya kumteua waziri mkuu mpya ikisema kuwa ni sawa na kukanyaga katiba ya nchi na kufanya mapinduzi dhidi ya utawala wa sheria na demokrasia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS