-
Indhari ya kiongozi wa harakati ya An Nahdhah ya Tunisia katika kukaribia uchaguzi
Apr 29, 2018 07:59Kiongozi wa harakati ya An Nahdhah ya nchini Tunisia ametahadharisha katika kukaribia kufanyika uchaguzi wa serikali za mitaa kuwa harakati hiyo haitaruhusu kurejea udikteta nchini humo.
-
Tunisia yawazuia wanamichezo wa Israel kuingia nchini humo
Apr 08, 2018 03:18Mahakama moja nchini Tunisia imewapiga marufuku wanamichezo wa taekwondo wa utawala wa Kizayuni wa Israel kuingia nchini humo.
-
Sisitizo la Rais wa Tunisia la kujitawala kikamilifu nchi hiyo
Apr 08, 2018 02:52Rais wa Tunisia ametangaza kuwa nchi hiyo inajitawala kikamilifu licha ya mashinikizo na matatizo yote yaliyopo na kueleza kuwa Tunisia inajivunia historia yake ya mapambano, kuwa huru na mafanikio iliyopata katika miongo kadhaa iliyopita licha ya matatizo na mashinikizo yote ya ndani.
-
Waziri Mkuu wa Tunisia: Nipo tayari kujiuzulu
Mar 23, 2018 14:34Waziri Mkuu wa Tunisia ametangaza kuwa yupo tayari kujiuzulu wadhifa huo kwa masharti.
-
Harakati ya An Nahdhah ya Tunisia yapinga kubadilishwa serikali
Mar 18, 2018 06:37Abdulkarim al Haruni Mkuu wa Baraza la Ushauri la Harakati ya An Nahdhah ya Tunisia amesema kuwa harakati hiyo haiungi mkono ombi la kubadilishwa serikali.
-
Wanachuo wanaosomea utabibu wafanya maandamano nchini Tunisia
Mar 13, 2018 08:01Wanafunzi wanaosomea taaluma ya udakitari nchini Tunisia wamefanya maandamano nje ya ofisi ya Wizara ya Afya wakishinikiza kutekelezewa matakwa yao.
-
Muda wa hali ya hatari waongezwa nchini Tunisia
Mar 07, 2018 07:32Ofisi ya Rais wa Tunisia ilitangaza jana kwamba, muda wa hali ya hatari umeongezwa nchini humo kwa miezi saba mingine. Muda huo ulikuwa unamalizika tarehe 12 mwezi huu wa Machi 2018.
-
Ripoti: Saudia na Imarati zilipanga njama ya mapinduzi Tunisia
Mar 05, 2018 16:29Vyombo vya habari vya Tunisia vimefuchua kwamba Saudi Arabia na Imarati zilipanga njama ya kuipindua serikali ya nchi hiyo.
-
Maandamano dhidi ya Israel yaendelea nchini Tunisia
Feb 19, 2018 15:42Mamia ya wanaharakati wa kisiasa na kijamii wa nchini Tunisia kwa mara nyingine wamefanya maandamano wakilitaka bunge la nchi hiyo lifanye haraka kupitisha sheria ambayo itatamka wazi kuwa ni uhalifu kuwa na uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel
-
Maandamano dhidi ya Israel nchini Tunisia
Feb 18, 2018 07:33Wananchi wa Tunisia wameandamana kuunga mkono rasimu ya sheria ya kupiga marufuku uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel.