Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Tunisia - Tunis

  • Mbunge wa Tunisia achana bendera ya Israel ndani ya Bunge

    Mbunge wa Tunisia achana bendera ya Israel ndani ya Bunge

    Feb 14, 2018 07:22

    Mbunge mmoja wa Tunisia amechana bendera ya utawala wa Kizayuni wa Israel, kuonyesha ghadhabu zake dhidi ya serikali ya nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika ya kutaka kufanya wa kawaida uhusiano wake na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Helikopta ya kijeshi yaanguka Tunisia na kuua na kujeruhiwa wanajeshi

    Helikopta ya kijeshi yaanguka Tunisia na kuua na kujeruhiwa wanajeshi

    Feb 08, 2018 07:10

    Msemaji wa Wizara ya Ulinzi ya Tunisia ametangaza habari ya kuanguka helikopta moja ya kijeshi ya nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika na kuua mwanajeshi mmoja na kujeruhi wengine wawili.

  • Weledi wa mambo: Safari ya Rais Macron nchini Tunisia imeambulia patupu

    Weledi wa mambo: Safari ya Rais Macron nchini Tunisia imeambulia patupu

    Feb 03, 2018 03:38

    Weledi wa masuala ya kisiasa wameitaja safari ya Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa nchini Tunisia kuwa imeambulia patupu.

  • Jumuiya ya Wafanyakazi Tunisia: Badala ya maneno matupu, malengo ya Palestina yaungwe mkono kivitendo

    Jumuiya ya Wafanyakazi Tunisia: Badala ya maneno matupu, malengo ya Palestina yaungwe mkono kivitendo

    Jan 21, 2018 14:43

    Jumuiya ya wafanyakazi nchini Tunisia imetaka kuhitimishwa utoaji sha'ar na miito ya shime katika kuunga mkono malengo matukufu ya Palestina na badala ya kutoa hotuba na taarifa zichukuliwe hatua za kivitendo kuhusiana na suala hilo.

  • Kamanda wa al-Qaeda Maghreb auawa nchini Tunisia

    Kamanda wa al-Qaeda Maghreb auawa nchini Tunisia

    Jan 21, 2018 07:39

    Maafisa usalama nchini Tunisia wamefanikiwa kumuangamiza kamanda wa ngazi za juu wa kundi la kigaidi la al-Qaeda katika eneo la magharibi mwa Afrika AQIM.

  • Rais wa Tunisia afanya mkutano wa kusitisha maandamano

    Rais wa Tunisia afanya mkutano wa kusitisha maandamano

    Jan 14, 2018 07:53

    Rais wa Tunisia amevunja kimya chake na kufanya mkutano na vyama vya siasa, miungano ya wafanyakazi na shirikisho la waajiri kwa shabaha yan kuutafutia ufumbuzi mgogoro wa kiuchumi na maandamano yanayoshuhudiwa nchini humo kwa siku kadhaa sasa.

  • Umoja wa Mataifa watiwa wasiwasi na hali inavyoendelea nchini Tunisia

    Umoja wa Mataifa watiwa wasiwasi na hali inavyoendelea nchini Tunisia

    Jan 13, 2018 07:47

    Umoja wa Mataifa umesema umetiwa wasiwasi na idadi kubwa ya watu waliotiwa mbaroni nchini Tunisia.

  •  Amnesty International yataka kuachwa kukandamizwa waandamanaji Tunisia

    Amnesty International yataka kuachwa kukandamizwa waandamanaji Tunisia

    Jan 13, 2018 03:44

    Shirika la Msamaha Duniani (Amnesty International) limeitolea wito kwa serikali ya Tunisia kuacha kutumia mabavu na kuwakandamiza wananchi wanaoandamana.

  • Maandamano ya fujo yaendelea Tunisia; idadi ya waliokamatwa yafikia watu 600

    Maandamano ya fujo yaendelea Tunisia; idadi ya waliokamatwa yafikia watu 600

    Jan 11, 2018 16:24

    Maafisa wa serikali ya Tunisia wametangaza kuwa idadi ya watu waliokamatwa katika maandamano ya fujo yaliyoendelea kwa usiku wa tatu hapo jana katika miji mbalimbali ya nchi hiyo kulalamikia ongezeko la bei za bidhaa na kodi imefikia watu 600.

  • Maandamano ya kulalamikia mfumko wa bei yashtadi Tunisia

    Maandamano ya kulalamikia mfumko wa bei yashtadi Tunisia

    Jan 09, 2018 15:51

    Mtu mmoja ameuawa, huku wengine kadhaa wakijeruhiwa katika maandamano ya wananchi wa Tunisia wanaolalamikia mfumko wa bei za bidhaa na kile wanachokitaja kama 'bajeti isiyo ya uadilifu'.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS