Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Tunisia - Tunis

  • Malengo ya safari ya Waziri Mkuu wa Ufaransa barani Afrika

    Malengo ya safari ya Waziri Mkuu wa Ufaransa barani Afrika

    Apr 06, 2017 11:02

    Waziri Mkuu wa Ufaransa Bernard Cazeneuve ameanza safari ya kuzitembelea nchi kadhaa za Afrika ambayo imetajwa kuwa lengo lake ni kuimarisha uchumi na mapambano dhidi ya ugaidi.

  • Hamma Hammami: Rais wa zamani wa Tunisia, alikula njama za kumuondoa Rais Assad

    Hamma Hammami: Rais wa zamani wa Tunisia, alikula njama za kumuondoa Rais Assad

    Apr 05, 2017 14:10

    Msemaji wa Harakati ya Wananchi 'The Popular Front' ya nchini Tunisia amesema kuwa, Moncef Marzouki rais wa zamani wa Tunisia, alikula njama za kutaka kuiondoa madarakani serikali halali ya Syria.

  • Rais wa Tunisia: Iran ndiyo tegemeo pekee kwa ajili ya kukabiliana na Israel

    Rais wa Tunisia: Iran ndiyo tegemeo pekee kwa ajili ya kukabiliana na Israel

    Apr 01, 2017 04:27

    Rais Beji Caid Essebsi wa Tunisia amesema kuwa Iran ndio tegemeo pekee kwa ajili ya kukabiliana na Israel.

  • Al Nahdha: Tuko tayari kuipatanisha serikali ya Misri na Ikhwanul Muslimin

    Al Nahdha: Tuko tayari kuipatanisha serikali ya Misri na Ikhwanul Muslimin

    Mar 13, 2017 06:57

    Mkuu wa harakati ya al Nahdha ya Tunisia amesema kuwa, harakati hiyo iko tayari kulipatanisha kundi la Ikhwanul Muslimin la Misri na serikali ya nchi hiyo.

  • Afisa wa polisi Tunisia auawa na magaidi

    Afisa wa polisi Tunisia auawa na magaidi

    Mar 12, 2017 13:57

    Magaidi wakufurishaji nchini Tunisia wamempiga risasi na kumuua afisa wa polisi nchini Tunisia na kuwajeruhi wengine watatu.

  • Dikteta wa zamani wa Tunisia aendelea kuandamwa na vifungo

    Dikteta wa zamani wa Tunisia aendelea kuandamwa na vifungo

    Mar 04, 2017 16:02

    Dikteta aliyeondolewa madarakani wa Tunisia amehukumiwa kifungo cha miaka sita jela kutokana na tuhuma za faili jingine.

  • Tunisia na kuendelea matatizo ya kiuchumi

    Tunisia na kuendelea matatizo ya kiuchumi

    Mar 02, 2017 02:39

    Umoja wa Mataifa umeitahadharisha Tunisia kuhusu kutekeleza siasa za kubana matumizi kufuatia kuendelea matatizo ya kiuchumi nchini humo.

  • Watunisia wataka kuanzishwa uhusiano wa kidiplomasia kati ya nchi yao na Syria

    Watunisia wataka kuanzishwa uhusiano wa kidiplomasia kati ya nchi yao na Syria

    Feb 25, 2017 14:22

    Makundi ya kiraia nchini Tunisia yametaka kuanzishwa mahusiano ya kidiplomasia baina ya nchi yao na serikali ya Syria.

  • Dikteta wa zamani wa Tunisia ahukumiwa kifungo cha miaka 8 jela

    Dikteta wa zamani wa Tunisia ahukumiwa kifungo cha miaka 8 jela

    Feb 25, 2017 06:43

    Dikteta aliyeondolewa madarakani wa Tunisia amehukumiwa kifungo cha miaka 8 jela bila ya kuwepo mahakamani.

  • UN yazishukuru nchi jirani na Libya

    UN yazishukuru nchi jirani na Libya

    Feb 23, 2017 03:03

    Mjumbe maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Libya amezishukuru nchi jirani na Libya kwa jitihada zao za kutafuta suluhisho la mgogoro wa ndani wa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS