-
Malengo ya safari ya Waziri Mkuu wa Ufaransa barani Afrika
Apr 06, 2017 11:02Waziri Mkuu wa Ufaransa Bernard Cazeneuve ameanza safari ya kuzitembelea nchi kadhaa za Afrika ambayo imetajwa kuwa lengo lake ni kuimarisha uchumi na mapambano dhidi ya ugaidi.
-
Hamma Hammami: Rais wa zamani wa Tunisia, alikula njama za kumuondoa Rais Assad
Apr 05, 2017 14:10Msemaji wa Harakati ya Wananchi 'The Popular Front' ya nchini Tunisia amesema kuwa, Moncef Marzouki rais wa zamani wa Tunisia, alikula njama za kutaka kuiondoa madarakani serikali halali ya Syria.
-
Rais wa Tunisia: Iran ndiyo tegemeo pekee kwa ajili ya kukabiliana na Israel
Apr 01, 2017 04:27Rais Beji Caid Essebsi wa Tunisia amesema kuwa Iran ndio tegemeo pekee kwa ajili ya kukabiliana na Israel.
-
Al Nahdha: Tuko tayari kuipatanisha serikali ya Misri na Ikhwanul Muslimin
Mar 13, 2017 06:57Mkuu wa harakati ya al Nahdha ya Tunisia amesema kuwa, harakati hiyo iko tayari kulipatanisha kundi la Ikhwanul Muslimin la Misri na serikali ya nchi hiyo.
-
Afisa wa polisi Tunisia auawa na magaidi
Mar 12, 2017 13:57Magaidi wakufurishaji nchini Tunisia wamempiga risasi na kumuua afisa wa polisi nchini Tunisia na kuwajeruhi wengine watatu.
-
Dikteta wa zamani wa Tunisia aendelea kuandamwa na vifungo
Mar 04, 2017 16:02Dikteta aliyeondolewa madarakani wa Tunisia amehukumiwa kifungo cha miaka sita jela kutokana na tuhuma za faili jingine.
-
Tunisia na kuendelea matatizo ya kiuchumi
Mar 02, 2017 02:39Umoja wa Mataifa umeitahadharisha Tunisia kuhusu kutekeleza siasa za kubana matumizi kufuatia kuendelea matatizo ya kiuchumi nchini humo.
-
Watunisia wataka kuanzishwa uhusiano wa kidiplomasia kati ya nchi yao na Syria
Feb 25, 2017 14:22Makundi ya kiraia nchini Tunisia yametaka kuanzishwa mahusiano ya kidiplomasia baina ya nchi yao na serikali ya Syria.
-
Dikteta wa zamani wa Tunisia ahukumiwa kifungo cha miaka 8 jela
Feb 25, 2017 06:43Dikteta aliyeondolewa madarakani wa Tunisia amehukumiwa kifungo cha miaka 8 jela bila ya kuwepo mahakamani.
-
UN yazishukuru nchi jirani na Libya
Feb 23, 2017 03:03Mjumbe maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Libya amezishukuru nchi jirani na Libya kwa jitihada zao za kutafuta suluhisho la mgogoro wa ndani wa nchi hiyo.