Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ubaguzi wa rangi

  • Taasisi ya utafiti: Uingereza inatunga sheria za kuwafanya Waislamu kuwa raia wa daraja la pili

    Taasisi ya utafiti: Uingereza inatunga sheria za kuwafanya Waislamu kuwa raia wa daraja la pili

    Sep 13, 2022 02:29

    Taasisi ya Mahusiano ya Mbari ya Uingereza (The Institute of Race Relations) imesema, sera ya serikali ya Uingereza inawafanya Waislamu wa nchi hiyo kuwa raia wa daraja la pili kutokana na sheria zinazoruhusu kupokonywa uraia wa Uingereza.

  • Kanisa la Kiprotestanti la Marekani: Israeli ni dola la ubaguzi wa rangi (apartheid)

    Kanisa la Kiprotestanti la Marekani: Israeli ni dola la ubaguzi wa rangi (apartheid)

    Jul 10, 2022 08:13

    Mkutano Mkuu wa Kanisa la Kiprotestanti la Presbyterian la Marekani, huko Louisville, Kentucky, umepiga kura kwa wingi wa asilimia 70 ukiunga mkono azimio la kuitangaza Israeli kama dola la ubaguzi wa rangi.

  • Afisa wa Iran: Ubaguzi umekita mizizi katika historia ya Uingereza

    Afisa wa Iran: Ubaguzi umekita mizizi katika historia ya Uingereza

    Jun 23, 2022 03:38

    Ubaguzi na udhalilishaji wa binadamu ni mambo yaliyokita mizizi katika historia ya Uingereza. Hayo yamesemwa na Katibu wa Baraza Kuu la Haki za Binadamu la Iran, Kazem Gharibabadi katika ujumbe wake kwa njia ya Twitter.

  • Rais wa Afrika Kusini alaani hujuma dhidi ya raia wa kigeni

    Rais wa Afrika Kusini alaani hujuma dhidi ya raia wa kigeni

    Apr 12, 2022 02:41

    Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini amesema ni jambo la kusikitisha kuona kuwa hisia na hujuma dhidi ya raia wa kigeni zinashabihiana na yale yaliyokuwa yakijiri nchini humo katika zama za utawala wa ubaguzi wa rangi au apathaidi.

  • Waislamu India wakasirishwa na uamuzi wa mahakama ulioidhinisha matamshi ya chuki

    Waislamu India wakasirishwa na uamuzi wa mahakama ulioidhinisha matamshi ya chuki

    Mar 30, 2022 11:48

    Wimbi la kejeli na hasira limetanda katika mitandao ya kijamii nchini India baada ya mahakama kufunga kesi dhidi ya wanasiasa wawili waliotoa matamshi ya kichochezi dhidi ya Waislamu, ikisema kuwa uchochezi si kauli za chuki ukiambatana na tabasamu.

  • Abbas akosoa undumakuwili wa nchi za Magharibi kuhusu vita vya Russia na Ukraine

    Abbas akosoa undumakuwili wa nchi za Magharibi kuhusu vita vya Russia na Ukraine

    Mar 29, 2022 01:31

    Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina (PA) Mahmoud Abbas amezikemea nchi za Magharibi kwa kutumia sera za kinafiki na kindumakuwili baada ya kuchukua hatua kali dhidi ya Russia kuhusu operesheni yake ya kijeshi nchini Ukraine huku zikipuuza uhalifu unaofanywa na Israel dhidi ya Wapalestina.

  • Ripoti ya Chuo Kikuu cha Harvard yalaani uvamizi na uhalifu wa ubaguzi wa rangi wa Israel huko Palestina

    Ripoti ya Chuo Kikuu cha Harvard yalaani uvamizi na uhalifu wa ubaguzi wa rangi wa Israel huko Palestina

    Mar 22, 2022 12:53

    Ripoti ya Kituo cha Haki za Binadamu cha Harvard imeibua hasira miongoni mwa maafisa wa utawala haramu wa Israel na duru zinazoiunga mkono Tel Aviv, baada kulaani uvamizi wa utawala huo huko Palestina ikiutaja kuwa ni "uhalifu wa ubaguzi wa rangi, apartheid."

  • Ripoti ya Mkaguzi Mkuu: 47% ya Wafanyikazi wa Hospitali ya Rufaa ya Kenyatta wanatoka kabila moja

    Ripoti ya Mkaguzi Mkuu: 47% ya Wafanyikazi wa Hospitali ya Rufaa ya Kenyatta wanatoka kabila moja

    Mar 10, 2022 14:33

    Ripoti mpya inaonyesha kuwa kabila moja linaunda karibu nusu ya wafanyikazi wa Hospitali ya Rufaa na Utafiti ya Chuo Kikuu cha Kenyatta (KUTRRH nchini Kenya.

  • Hamas yapongeza ripoti ya Amnesty International inayoitaja Israel kuwa ni

    Hamas yapongeza ripoti ya Amnesty International inayoitaja Israel kuwa ni "utawala wa kibaguzi"

    Feb 02, 2022 02:34

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imepongeza ripoti ya Amnesty International iliyochapishwa jana Jumanne ambayo imeitambua Israel kuwa ni utawala wa kibaguzi wa apartheid.

  • Utafiti: Nusu ya watoto weusi wa UK wanaishi katika umaskini

    Utafiti: Nusu ya watoto weusi wa UK wanaishi katika umaskini

    Jan 04, 2022 08:01

    Utafiti mpya umefichua kuwa, zaidi ya asilimia 50 ya watoto wenye asili ya Afrika nchini Uingereza wanakulia katika mazingira ya uchocholea na umaskini wa kupindukia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS