-
Rais Mnangagwa: Zimbabwe ina hifadhi kubwa ya mafuta na gesi
Nov 02, 2018 03:58Rais Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe amefichua kuwa, nchi hiyo ina hifadhi kubwa ya mafuta na gesi katika mji wa Muzarabani ulioko kaskazini mwa nchi.
-
Kusambaratika uchumi wa Bahrain katika kivuli cha utawala wa Aal Khalifa
Jul 30, 2018 06:37Ripoti mbalimbali kutoka nchini Bahrain zinaonyesha kuwa, hali ya uchumi wa nchi hiyo ya Kiarabu inazidi kuwa mbaya chini ya kivuli cha utawala wa Aal Khalifa.
-
Le Drian: Hatumruhusu Trump kuiyumbisha Ulaya
Jul 13, 2018 10:44Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa amekosoa siasa za kiuchumi zinazotekelezwa na Rais wa Marekani kuhusiana na Ulaya na kueleza kuwa, Paris haitatoa mwanya kwa Trump kuivuruga Ulaya.
-
Machafuko ya karibunii Libya yaathiri vibaya uchumi wa nchi
Jul 02, 2018 22:37Shirika la Taifa la Mafuta la Libya limetangaza kuwa mapigano ya hivi karibuni katika eneo la Hilali ya Mafuta nchini humo yamesababisha hasara ya mamilioni ya dola kwa uchumi wa nchi hiyo.
-
Harakati ya mitandao ya kijamii ya kumtaka Rais Sisi wa Misri aondoke madarakani
Jun 23, 2018 20:44Kufuatia kuendelea kuwa mbaya mgogoro wa kiuchumi na kisiasa nchini Misri, wananchi ambao wanakandamizwa sasa wameamua kutumia mitandao ya kijamii hasa Twitter kulalamikia utawala wa Rais Abdel Fatah el Sisi huku wengi wakimtaka aondoke madarakani.
-
Haaretz: Ni Israel ndiyo iliyoangamiza uchumi wa Ukanda wa Ghaza
Jun 17, 2018 10:32Gazeti la utawala wa Kizayuni la Haaretz limeandika kuwa, Israel ndiyo iliiyoangamiza uchumi wa Ukanda wa Ghaza kutokana na mashambulizi yake ya mara kwa mara kwenye maeneo muhimu ya kiuchumi ya Wapalestina ikiwa ni pamoja na zana za uvuvi za wananchi hao wa Ghaza.
-
Saudia yawatimua wafanyakazi wa kigeni baada ya kupanda gharama za vita dhidi ya Yemen
Apr 30, 2018 22:15Kufuatia gharamza kubwa za vita vyake dhidi ya watu wa Yemen, sasa Saudia imelazimika kuanza kupunguza wafanyakazi wa kigeni nchini humo.
-
Rais Rouhani: Iran sio itakayoanza kukiuka makubaliano ya nyuklia
Aug 30, 2017 02:56Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Tehran sio itakayoanza kukiuka makubaliano ya nyuklia yanayojulikana kwa jina la Mpango Kamili wa Utekelezaji wa Pamoja (JCPOA).
-
Uchumi na Usalama; ajenda kuu za kikao cha viongozi wa nchi za Kiafrika na za kaskazini mwa Ulaya
Jun 10, 2017 06:26Kikao cha Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Nchi za Kiafrika na za kaskazini mwa bara Ulaya chini ya anwani "Kudhamini Ustawi Endelevu Kupitia Uwekezaji" kimefanyika Abuja mji mkuu wa Nigeria.
-
Tunisia na kuendelea matatizo ya kiuchumi
Mar 01, 2017 23:09Umoja wa Mataifa umeitahadharisha Tunisia kuhusu kutekeleza siasa za kubana matumizi kufuatia kuendelea matatizo ya kiuchumi nchini humo.