-
HRW: Marekani, Uingereza na Ufaransa zisitishe kuiuzia silaha Saudi Arabia
Jan 08, 2018 04:32Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Human Rights Watch amezitaka Marekani, Uingereza na Ufaransa ziache kuiuzia silaha Saudi Arabia.
-
Erdogan: Uturuki imechoka kusubiri kujumuishwa EU
Jan 06, 2018 04:13Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan amesema Waturuki wamechoka kusubiri kujua iwapo nchi yao itajumuishwa kuwa mwanachama wa Umoja wa Ulaya au la.
-
Macron: Vitisho vya US, Israel na Saudia dhidi ya Iran ni njia ya vita
Jan 04, 2018 04:23Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa ametaka kulindwa njia ya mazungumzo na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Macron aitaka Saudi Arabia isitishe mzingiro huko Yemen
Dec 27, 2017 12:10Rais wa Ufaransa amemtaka mfalme wa Saudi Arabia asitishe mzingiro wa nchi yake dhidi ya Yemen.
-
Macron: Ufaransa ipo tayari kuimarisha uwepo wake kijeshi katika eneo la Sahel
Dec 23, 2017 23:55Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa amesema kuwa nchi yake ipo tayari kuimarisha uwepo wake kijeshi katika eneo la Sahel barani Afrika ili kushirikiana na vikosi vya Kiafrika katika mapambano dhidi ya wanamgambo wenye misimamo mikali katika eneo hilo.
-
Safari ya Rais wa Ufaransa huko Niger
Dec 23, 2017 09:14Rais wa Ufaransa amewasili Niger kwa lengo la kukutana na wanajeshi wa nchi hiyo na kuchunguza hali ya mambo katika nchi za magharibi mwa Afrika.
-
Ufaransa: Bashar al-Assad haendi popote, ataendelea kuongoza
Dec 18, 2017 03:56Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa amesema hali halisi ya Syria ni kwamba Rais Bashar al-Assad wa nchi hiyo ya Kiarabu ataendelea kubakia madarakani kwa kuwa wapinzani wake wameshindwa 'katika mapambano ya ardhini'.
-
Msimamo wa undumakuwili wa Ufaransa kuhusiana na Saudi Arabia
Dec 01, 2017 03:51Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa alitangaza siku ya Jumatano kuwa Saudi Arabia inapaswa ikatishe ufadhili wake wa kifedha kwa makundi ya kigaidi katika eneo la Mashariki ya Kati.
-
Macron aitaka Saudia iache kuyafadhili kifedha makundi ya kigaidi
Nov 30, 2017 12:49Rais wa Ufaransa amesema kuwa Saudi Arabia inapasa kuacha kuyafadhili kifedha makundi ya kigaidi katika eneo la Mashariki ya Kati.
-
Rais wa Ufaransa akaribishwa Burkina Faso kwa shambulizi la guruneti
Nov 28, 2017 04:09Kwa akali watu watatu wamejeruhiwa katika shambulizi la guruneti nchini Burkina Faso, lililofanyika masaa machache kabla ya Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa kuanza ziara ya kuitembelea nchi hiyo ya Kiafrika.