Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ufaransa

  • HRW: Marekani, Uingereza na Ufaransa zisitishe kuiuzia silaha Saudi Arabia

    HRW: Marekani, Uingereza na Ufaransa zisitishe kuiuzia silaha Saudi Arabia

    Jan 08, 2018 04:32

    Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Human Rights Watch amezitaka Marekani, Uingereza na Ufaransa ziache kuiuzia silaha Saudi Arabia.

  • Erdogan: Uturuki imechoka kusubiri kujumuishwa EU

    Erdogan: Uturuki imechoka kusubiri kujumuishwa EU

    Jan 06, 2018 04:13

    Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan amesema Waturuki wamechoka kusubiri kujua iwapo nchi yao itajumuishwa kuwa mwanachama wa Umoja wa Ulaya au la.

  • Macron: Vitisho vya US, Israel na Saudia dhidi ya Iran ni njia ya vita

    Macron: Vitisho vya US, Israel na Saudia dhidi ya Iran ni njia ya vita

    Jan 04, 2018 04:23

    Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa ametaka kulindwa njia ya mazungumzo na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Macron aitaka Saudi Arabia isitishe mzingiro huko Yemen

    Macron aitaka Saudi Arabia isitishe mzingiro huko Yemen

    Dec 27, 2017 12:10

    Rais wa Ufaransa amemtaka mfalme wa Saudi Arabia asitishe mzingiro wa nchi yake dhidi ya Yemen.

  • Macron: Ufaransa ipo tayari kuimarisha uwepo wake kijeshi katika eneo la Sahel

    Macron: Ufaransa ipo tayari kuimarisha uwepo wake kijeshi katika eneo la Sahel

    Dec 23, 2017 23:55

    Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa amesema kuwa nchi yake ipo tayari kuimarisha uwepo wake kijeshi katika eneo la Sahel barani Afrika ili kushirikiana na vikosi vya Kiafrika katika mapambano dhidi ya wanamgambo wenye misimamo mikali katika eneo hilo.

  • Safari ya Rais wa Ufaransa huko Niger

    Safari ya Rais wa Ufaransa huko Niger

    Dec 23, 2017 09:14

    Rais wa Ufaransa amewasili Niger kwa lengo la kukutana na wanajeshi wa nchi hiyo na kuchunguza hali ya mambo katika nchi za magharibi mwa Afrika.

  • Ufaransa: Bashar al-Assad haendi popote, ataendelea kuongoza

    Ufaransa: Bashar al-Assad haendi popote, ataendelea kuongoza

    Dec 18, 2017 03:56

    Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa amesema hali halisi ya Syria ni kwamba Rais Bashar al-Assad wa nchi hiyo ya Kiarabu ataendelea kubakia madarakani kwa kuwa wapinzani wake wameshindwa 'katika mapambano ya ardhini'.

  • Msimamo wa undumakuwili wa Ufaransa kuhusiana na Saudi Arabia

    Msimamo wa undumakuwili wa Ufaransa kuhusiana na Saudi Arabia

    Dec 01, 2017 03:51

    Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa alitangaza siku ya Jumatano kuwa Saudi Arabia inapaswa ikatishe ufadhili wake wa kifedha kwa makundi ya kigaidi katika eneo la Mashariki ya Kati.

  • Macron aitaka Saudia iache kuyafadhili kifedha makundi ya kigaidi

    Macron aitaka Saudia iache kuyafadhili kifedha makundi ya kigaidi

    Nov 30, 2017 12:49

    Rais wa Ufaransa amesema kuwa Saudi Arabia inapasa kuacha kuyafadhili kifedha makundi ya kigaidi katika eneo la Mashariki ya Kati.

  • Rais wa Ufaransa akaribishwa Burkina Faso kwa shambulizi la guruneti

    Rais wa Ufaransa akaribishwa Burkina Faso kwa shambulizi la guruneti

    Nov 28, 2017 04:09

    Kwa akali watu watatu wamejeruhiwa katika shambulizi la guruneti nchini Burkina Faso, lililofanyika masaa machache kabla ya Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa kuanza ziara ya kuitembelea nchi hiyo ya Kiafrika.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS