Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ufaransa

  • Machafuko yaendelea kutikisa Paris baada ya polisi kumdhalilisha Mwafrika

    Machafuko yaendelea kutikisa Paris baada ya polisi kumdhalilisha Mwafrika

    Feb 10, 2017 13:01

    Ghasia na machafuko yameendelea kuukumba mji mkuu wa Ufaransa, Paris kwa siku kadhaa baada ya kuenea ripoti kuwa maafisa wa polisi ya nchi hiyo wamempiga vibaya na baadaye kumnajisi kwa kijiti mwanaume mwenye asili ya Afrika katika viunga vya mji wa Paris.

  • Kushadidi ukatili wa polisi na kamatakamata kote Ufaransa

    Kushadidi ukatili wa polisi na kamatakamata kote Ufaransa

    Feb 09, 2017 23:14

    Siku chache zilizopita maafisa wa polisi Ufaransa walimkamata mwanaume mwenye asili ya Afrika na kumpiga vibaya na baada ya hapo kumnajisi kwa kijiti sambamba na kumvunjia heshimana katika viunga vya mji wa Paris.

  • Larijani: Waungaji mkono wa ugaidi hawamo kwenye orodha ya Trump ya marufuku ya viza

    Larijani: Waungaji mkono wa ugaidi hawamo kwenye orodha ya Trump ya marufuku ya viza

    Feb 01, 2017 23:22

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran amesema nchi zinazounga mkono ugaidi hazimo kwenye orodha ya marufuku ya viza iliyotolewa na Rais wa Marekani.

  • Rouhani: Ushirikiano wa kimataifa unahitajika kukabili ugaidi

    Rouhani: Ushirikiano wa kimataifa unahitajika kukabili ugaidi

    Feb 01, 2017 04:04

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema ushirikiano wa kimataifa unahitajika iwapo dunia inataka natija katika vita dhidi ya ugaidi.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa awasili Tehran

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa awasili Tehran

    Jan 31, 2017 03:49

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa amewasili mjini Tehran akiongoza ujumbe wa ngazi za juu wa kisiasa na kiuchumi kwa shabaha ya kukutana na kufanya mazungumzo na maafisa wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Rais wa Ufaransa amtaka Trump aheshimu JCPOA

    Rais wa Ufaransa amtaka Trump aheshimu JCPOA

    Jan 29, 2017 10:21

    Rais wa Ufaransa amemtaka Rais mpya wa Marekani aheshimu makubaliano ya nyuklia kati ya Iran na kundi la 5+1 yaliyosainiwa huko Vienna nchini Austria Julai mwaka 2015.

  • Ufaransa yaionya Marekani juu ya kuhamishia ubalozi wake katika mji wa Quds

    Ufaransa yaionya Marekani juu ya kuhamishia ubalozi wake katika mji wa Quds

    Jan 16, 2017 00:20

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Ufaransa amesema kuwa, pendekezo la Donald Trump Rais mteule wa Marekani la kuhamishia ubalozi wa Marekani katika mji wa Baytul Muqaddas ni la kichochezi.

  • Uchunguzi wa changamoto za bara la Afrika katika kikao cha Bamako

    Uchunguzi wa changamoto za bara la Afrika katika kikao cha Bamako

    Jan 13, 2017 09:43

    Kikao cha 27 cha viongozi wa nchi za Kiafrika na Ufaransa kimeanza leo Ijumaa huko Bamako mji mkuu wa Mali kwa shabaha ya kuchunguza masuala ya kiuchumi, migogoro ya Kisasa na kiusalama yanayolikabili bara la Afrika.

  • Daktari aliyenajisi makumi ya wagonjwa afikishwa mahakamani Ufaransa

    Daktari aliyenajisi makumi ya wagonjwa afikishwa mahakamani Ufaransa

    Dec 31, 2016 11:29

    Daktari wa Ufaransa aliyewabaka waonjwa 37 katika mji wa Cher amefikishwa mahakamani kujibu tuhuma zinazomkabili.

  • Mahakama ya Ufaransa yapasisha miaka 25 jela dhidi ya Simbikangwa

    Mahakama ya Ufaransa yapasisha miaka 25 jela dhidi ya Simbikangwa

    Dec 04, 2016 03:58

    Mahakama moja nchini Ufaransa imepasisha kifungo cha miaka 25 jela dhidi ya mkuu wa zamani wa usalama wa taifa wa Rwanda baada ya kumpata na hatia ya kufanya mauaji ya kimbari mwaka 1994 nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS