-
Tuhuma hewa za Pompeo dhidi ya Iran; kuendelezwa mtazamo wa kiuadui wa Marekani
Aug 06, 2018 09:04Baada ya Marekani kujitoa kwenye makubaliano ya nyuklia ya JCPOA tarehe 8 Mei mwaka huu, iliamua kushadidisha mashinikizo dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Hatami: Kuwaunga mkono magaidi; njama ya maadui kwa ajili ya kuidhoofisha Iran
Aug 04, 2018 10:45Brigedia Jenerali Amir Hatami, Waziri wa Ulinzi wa Iran leo amesema kuwa maadui wameunga mkono ugaidi katika Mashariki ya Kati na kutekeleza njama za kuzusha machafuko katika nchi za eneo hili ikiwemo huko Iraq, Syria na pia kuidhoofisha Iran.
-
Nchi za kati na magharibi mwa Afrika zajadili tishio la ugaidi
Jul 31, 2018 11:25Nchi 26 za kanda ya kati na magharibi mwa Afrika zimekutana kujadili ugaidi na tishio la usalama katika eneo hilo.
-
Magaidi wa Boko Haram wahujumu msikiti na kuua watu wanane Nigeria
Jul 23, 2018 22:55Magaidi wakufurishaji wa kundi la Boko Haram wameshambulia msikiti na kuua watu wanane mashariki mwa Nigeria.
-
Larijani: Adui hawezi kuzungumza na Iran kwa kutumia lugha ya mabavu
Jul 23, 2018 00:07Spika wa Bunge la Iran amesema kuwa maendeleo ya utengenezaji wa makombora ya Jamhuri ya Kiislamu ni makubwa kiasi kwamba sasa adui hawezi kuzungumza na Iran kwa kutumia lugha ya vitisho na vita.
-
Jeshi la Misri laangamiza magaidi 11 Peninsula ya Sinai
Jul 11, 2018 09:03Jeshi la Misri limetangaza habari ya kuua wanachama 11 wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) katika eneo la Sinai, kaskazini mwa nchi.
-
UN yapongeza nafasi ya Algeria katika mapambano dhidi ya ugaidi
Jun 26, 2018 22:19Umoja wa Mataifa umeipongeza Algeria kwa nafasi yake katika mapambano dhidi ya ugaidi katika nchi za eneo la Sahel na magharibi mwa Afrika.
-
Ndege za kivita za Marekani zawasaidia makamanda wa Daesh Syria
Jun 25, 2018 23:51Ndege za kivita za muungano eti wa kimataifa dhidi ya kundi la kigaidi la Daesh unaoongozwa na Marekani zimewasafarisha makamanda wawili wa kundi la kigaidi la Daesh kutoka eneo a Tuimin hadi katika kituo cha Marekani kilichoko katika mji wa al Shaddadah mkoani Hasakah nchini Syria.
-
Ethiopia kuwasamehe mamia ya watu waliohukumiwa kwa makosa ya ugaidi
Jun 15, 2018 23:34Serikali ya Ethiopia imesema kuwa itawafutia mashtaka zaidi ya wafungwa 304 wakiwemo 289 wanaotumikia vifungo vya makosa ya ugaidi.
-
Matokeo mabaya ya siasa za Magharibi za kuunga mkono ugaidi na kubeba Ulaya hasara ya Euro bilioni 180
Jun 10, 2018 05:47Matokeo machungu ya siasa za Magharibi za kuunga mkono makundi ya kigaidi hususan katika eneo la Mashariki ya Kati, yameanza kuonekana pole pole hivi sasa.