Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ujerumani

  • Polisi ya Ujerumani yavamia vituo 54 vya Kiislamu

    Polisi ya Ujerumani yavamia vituo 54 vya Kiislamu

    Nov 18, 2023 03:49

    Jeshi la polisi la Ujerumani juzi Alkhamisi lilishambulia vituo zaidi ya 50 vya Waislamu kikiwemo Kituo cha Kiislamu cha Hamburg (IZH); huku mashambulio ya kibaguzi dhidi ya Waislamu yakiripotiwa kukithiri katika nchi hiyo ya bara Ulaya.

  • 40% ya wanaume Waislamu Ujerumani wanakabiliwa na ubaguzi

    40% ya wanaume Waislamu Ujerumani wanakabiliwa na ubaguzi

    Nov 08, 2023 06:09

    Utafiti mpya umefichua kuwa, asilimia 40 ya wanaume Waislamu nchini Ujerumani wanakabiliwa na vitendo vya ubaguzi katika maisha yao ya kila siku, huku hujuma na mashambulio ya kibaguzi dhidi ya Waislamu yakiripotiwa kukithiri katika nchi hiyo ya bara Ulaya.

  • Maandamano ya kuwaunga mkono Wapalestina yafanyika Ujerumani, Italia

    Maandamano ya kuwaunga mkono Wapalestina yafanyika Ujerumani, Italia

    Nov 05, 2023 13:41

    Maelfu ya watu wamejitokeza mabarabarani katika mji mkuu wa Ujerumani, Berlin kushiriki maandamano ya kulaani jinai zinazoendelea kufanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya wananchi wa Palestina, huku idadi ya Wapalestina waliouawa shahidi hadi sasa katika mashambulizi dhidi ya Ukanda wa Gaza ikipindukia 10,000.

  • Ujerumani yapiga marufuku kuvaa skafu za Palestina maskulini

    Ujerumani yapiga marufuku kuvaa skafu za Palestina maskulini

    Oct 14, 2023 13:36

    Viongozi wa Ujerumani wamepiga marufuku rasmi kuvaa leso na skafu za Palestina maskulini ikiwa ni kuendelea kuunga mkono waziwazi jinai na mauaji ya watoto wadogo na wanawake wa Palestina yanafanywa hivi sasa na utawala wa Kizayuni huko Ghaza.

  • Ujerumani yapinga usitishawaji vita huko Gaza

    Ujerumani yapinga usitishawaji vita huko Gaza

    Oct 14, 2023 08:00

    Ujerumani haikuunga mkono mpango wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto UNICEF kwa ajili ya kusimamishwa vita huko Gaza.

  • Maelfu waandamana Ujerumani kupinga kupewa silaha Ukraine

    Maelfu waandamana Ujerumani kupinga kupewa silaha Ukraine

    Oct 05, 2023 03:15

    Maelfu ya watu wamefanya maandamano katika mji wa Munich, kusini mwa Ujerumani kupinga vita na kupewa silaha Ukraine.

  • Kupungua uzalishaji wa viwanda nchini Ujerumani; sababu na matokeo yake

    Kupungua uzalishaji wa viwanda nchini Ujerumani; sababu na matokeo yake

    Sep 09, 2023 10:52

    Wizara ya Uchumi na Teknolojia ya Ujerumani imeripoti kwamba uzalishaji wa viwanda nchini Julai iliyopita ulishuka kwa kasi kuliko ilivyotarajiwa, na hivyo kuweka wazi matatizo yanayoukabili uchumi mkubwa zaidi barani Ulaya.

  • Faida nono ya sekta ya silaha ya Marekani kutokana na Washington kuzusha mgogoro barani Ulaya

    Faida nono ya sekta ya silaha ya Marekani kutokana na Washington kuzusha mgogoro barani Ulaya

    Aug 23, 2023 02:16

    Katika kipidi cha miezi 18 ya vita nchini Ukraine, moto wa vita hivyo haribifu umezidi kuwaka na kuchukua wigo mpana zaidi kutokana na sera haribifu za nchi za Magharibi, ambazo zimepeleka nchini Ukraine msaada mkubwa zaidi wa kijeshi na kisilaha ambao haujawahi kushuhudiwa.

  • Wasiwasi wa Waislamu Ujerumani wa kuongezeka hujuma dhidi ya misikiti

    Wasiwasi wa Waislamu Ujerumani wa kuongezeka hujuma dhidi ya misikiti

    Aug 17, 2023 07:24

    Mamilioni ya Waislamu nchini Ujerumani wana wasiwasi kuhusu kuongezeka kwa wimbi la chuki dhidi ya Uislamu na hujuma na mashambulio dhidi ya misikiti nchini humo.

  • Qurani yachomwa moto na kutupwa nje ya Msikiti nchini Ujerumani

    Qurani yachomwa moto na kutupwa nje ya Msikiti nchini Ujerumani

    Jul 11, 2023 07:26

    Huku Waislamu katika kona zote za dunia wakiendelea kulaani na kupinga tukio la hivi karibuni la kuchomwa moto nakala ya Qur'ani Tukufu nchini Sweden, Kitabu hicho kitukufu cha Waislamu kimechomwa moto na kutupwa nje ya Msikiti mmoja nchini Ujerumani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS