-
Mogherini: Ni haki ya watu wa Ulaya kuisusia Israel
Nov 04, 2016 00:19Mkuu wa Siasa za Nje za Umoja wa Ulaya amesema kuwa ni haki ya watu wa nchi za bara hilo kuisusia Israel.
-
Bulgaria yapiga marufuku vazi la burqa kote nchini
Oct 01, 2016 04:31Sasa ni rasmi kuwa Bulgaria imejiunga na baadhi ya nchi za Magharibi zilizopiga marufuku vazi la burqa, baada ya bunge la nchi hiyo kupasisha sheria inayopiga marufuku vazi hilo linalovaliwa na wanawake Waislamu nchini kote.
-
Udiplomasia wa Rais Rouhani mjini New York; ulazima wa kutekeleza kikamlifu mapatano ya nyukli
Sep 22, 2016 03:55Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, katika masaa yake ya awali akiwa mjini New York kwa ajili ya kuhutubu katika Mkutano wa Baraza Kuu la Umoja za Mataifa, ametumia fursa hiyo kuzungumza na baadhi ya viongozi wa nchi za Ulaya.
-
Klabu Bingwa Barani Ulaya yaanza kutimua vumbi kwa kishindo
Sep 14, 2016 03:36Ligi ya klabu bingwa barani Ulaya imeanza usiku wa kuamkia leo, ambapo jumla ya michezo saba kwenye makundi matano ilipigwa kwenye viwanja tofauti. Kundi A Basel ya nchini Uswiz ilitoshana nguvu kwa kutoka suluhu ya 1-1 dhidi ya Ludogorets Razgrad ya nchini Bulgaria.
-
Umoja wa Ulaya wazitaka pande hasimu Gabon kuvumiliana
Sep 01, 2016 23:44Umoja wa Ulaya umeitaka serikali na wapinzani nchini Gabon kuvumiliana na kudumisha amani.
-
McKinney: Israel inahusika na mashambulizi ya kigaidi Ulaya
Jul 25, 2016 12:36Mbunge wa zamani katika Kongresi ya Marekani amefichua nafasi ya utawala wa kizayuni wa Israel katika mashambulizi ya kigaidi yanayofanyika barani Ulaya.
-
Frontex: Wakimbizi wanazidi kumiminika Ulaya kupitia Misri
Jun 28, 2016 23:57Shirika la Frontex limeripoti kuwa, lina wasiwasi kuhusu ongezeko kubwa la wakimbizi kuingia barani Ulaya kwa kupitia Misri na kwamba wakimbizi hao wanakabiliwa na hatari ya kifo baharini.
-
Kuongezwa nguvu za kijeshi za Umoja wa Ulaya nchini Libya
Jun 20, 2016 10:02Umoja wa Ulaya umeamua kuongeza nguvu zake za kijeshi katika opereseheni zake za baharini maarufu kwa jina la Operesheni Sophia, nchini Libya.
-
Niger yasema wahajiri 34 wameaga dunia wakielekea Ulaya
Jun 16, 2016 11:00Serikali ya Niger imesema wahajiri 34 raia wa nchi kadhaa za Afrika wakiwemo watoto wadogo 20 wameaga dunia katika jangwa la nchi hiyo baada ya kutelekezwa na mtu aliyekuwa akiwapeleka barani Ulaya.
-
UN yakosoa kuzuiliwa wakimbizi katika nchi za Ulaya
Jun 13, 2016 11:05Umoja wa Mataifa umeelezea wasi wasi kuhusu habari za kuzuiliwa wakimbizi wakiwemo watoto wadodo katika mazingira ya kutisha barani Ulaya.