Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ulaya

  • Mogherini: Ni haki ya watu wa Ulaya kuisusia Israel

    Mogherini: Ni haki ya watu wa Ulaya kuisusia Israel

    Nov 04, 2016 00:19

    Mkuu wa Siasa za Nje za Umoja wa Ulaya amesema kuwa ni haki ya watu wa nchi za bara hilo kuisusia Israel.

  • Bulgaria yapiga marufuku vazi la burqa kote nchini

    Bulgaria yapiga marufuku vazi la burqa kote nchini

    Oct 01, 2016 04:31

    Sasa ni rasmi kuwa Bulgaria imejiunga na baadhi ya nchi za Magharibi zilizopiga marufuku vazi la burqa, baada ya bunge la nchi hiyo kupasisha sheria inayopiga marufuku vazi hilo linalovaliwa na wanawake Waislamu nchini kote.

  • Udiplomasia wa Rais Rouhani mjini New York;  ulazima wa kutekeleza kikamlifu mapatano ya nyukli

    Udiplomasia wa Rais Rouhani mjini New York; ulazima wa kutekeleza kikamlifu mapatano ya nyukli

    Sep 22, 2016 03:55

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, katika masaa yake ya awali akiwa mjini New York kwa ajili ya kuhutubu katika Mkutano wa Baraza Kuu la Umoja za Mataifa, ametumia fursa hiyo kuzungumza na baadhi ya viongozi wa nchi za Ulaya.

  • Klabu Bingwa Barani Ulaya yaanza kutimua vumbi kwa kishindo

    Klabu Bingwa Barani Ulaya yaanza kutimua vumbi kwa kishindo

    Sep 14, 2016 03:36

    Ligi ya klabu bingwa barani Ulaya imeanza usiku wa kuamkia leo, ambapo jumla ya michezo saba kwenye makundi matano ilipigwa kwenye viwanja tofauti. Kundi A Basel ya nchini Uswiz ilitoshana nguvu kwa kutoka suluhu ya 1-1 dhidi ya Ludogorets Razgrad ya nchini Bulgaria.

  • Umoja wa Ulaya wazitaka pande hasimu Gabon kuvumiliana

    Umoja wa Ulaya wazitaka pande hasimu Gabon kuvumiliana

    Sep 01, 2016 23:44

    Umoja wa Ulaya umeitaka serikali na wapinzani nchini Gabon kuvumiliana na kudumisha amani.

  • McKinney: Israel inahusika na mashambulizi ya kigaidi Ulaya

    McKinney: Israel inahusika na mashambulizi ya kigaidi Ulaya

    Jul 25, 2016 12:36

    Mbunge wa zamani katika Kongresi ya Marekani amefichua nafasi ya utawala wa kizayuni wa Israel katika mashambulizi ya kigaidi yanayofanyika barani Ulaya.

  • Frontex: Wakimbizi wanazidi kumiminika Ulaya kupitia Misri

    Frontex: Wakimbizi wanazidi kumiminika Ulaya kupitia Misri

    Jun 28, 2016 23:57

    Shirika la Frontex limeripoti kuwa, lina wasiwasi kuhusu ongezeko kubwa la wakimbizi kuingia barani Ulaya kwa kupitia Misri na kwamba wakimbizi hao wanakabiliwa na hatari ya kifo baharini.

  • Kuongezwa nguvu za kijeshi za Umoja wa Ulaya nchini Libya

    Kuongezwa nguvu za kijeshi za Umoja wa Ulaya nchini Libya

    Jun 20, 2016 10:02

    Umoja wa Ulaya umeamua kuongeza nguvu zake za kijeshi katika opereseheni zake za baharini maarufu kwa jina la Operesheni Sophia, nchini Libya.

  • Niger yasema wahajiri 34 wameaga dunia wakielekea Ulaya

    Niger yasema wahajiri 34 wameaga dunia wakielekea Ulaya

    Jun 16, 2016 11:00

    Serikali ya Niger imesema wahajiri 34 raia wa nchi kadhaa za Afrika wakiwemo watoto wadogo 20 wameaga dunia katika jangwa la nchi hiyo baada ya kutelekezwa na mtu aliyekuwa akiwapeleka barani Ulaya.

  • UN yakosoa kuzuiliwa wakimbizi katika nchi za Ulaya

    UN yakosoa kuzuiliwa wakimbizi katika nchi za Ulaya

    Jun 13, 2016 11:05

    Umoja wa Mataifa umeelezea wasi wasi kuhusu habari za kuzuiliwa wakimbizi wakiwemo watoto wadodo katika mazingira ya kutisha barani Ulaya.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS