-
Ulaya yatofautiana na Marekani kuhusu kuwekewa vikwazo DRC
Jun 07, 2016 03:30Nchi za bara Ulaya zimetilia shaka hatua ya Marekani kushinikiza kuwekewa vikwazo Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kwa lengo la kumtaka Rais Joseph Kabila wa nchi hiyo asigombee urais kwa muhula wa tatu.
-
Dawa zilizopitwa na wakati kutoka Ulaya zahangaisha Waafrika
Jun 06, 2016 23:23Asilimia 42 ya dawa zilizopigwa marufuku katika masoko ya bara Ulaya tangu mwaka 2012, zinauzwa katika nchi za bara Afrika.
-
UNHCR: Wakimbizi 2,500 wamezama mwaka huu wakielekea Ulaya
May 31, 2016 11:03Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR) limetangaza kuwa wakimbizi wasiopungua 2,500 wamefariki dunia mwaka huu wakiwa katika safari ya hatari ya kuelekea barani Ulaya.
-
Wahajiri 700 wafa maji pwani ya Libya wakielekea Ulaya
May 29, 2016 09:34Mamia ya wahajiri wamepoteza maisha baada ya boti zao kuzama katika pwani ya Libya katika muda wa siku chache zilizopita.
-
Kongo Brazzaville kuimarisha uhusiano na marafiki zake
May 15, 2016 02:19Jamhuri ya Kongo Brazzaville imesema kuwa, itaendelea kuwa na uhusiano mzuri na marafiki zake, na kwamba mashinikizo ya kigeni hayataifanya nchi hiyo iwasahau marafiki zake.
-
Ziara ya mabalozi wa Ulaya nchini Libya
Apr 15, 2016 09:34Mabalozi wa nchi za Ufaransa, Uhispania na Uingereza wameelekea nchini Libya kama njia ya kutangaza uungaji mkono wao kwa serikali ya umoja wa kitaifa ya nchi hiyo.
-
Mufti wa Syria: Tuliitahadharisha Ulaya kuhusu hatari ya ugaidi
Mar 28, 2016 08:31Mufti Mkuu wa Syria Sheikh Ahmad Badruddin Hassoun amesema nchi hiyo ilikwisha zitahadharisha hapo kabla nchi za Ulaya kuhusu hatari ya kupenya na kuenea ugaidi katika nchi hizo.
-
Jordan: Uturuki ndio muasisi wa misimamo ya kufurutu mipaka
Mar 25, 2016 21:37Mfalme Abdullah wa Pili wa Jordan amesema kuwa Uturuki ndio chimbuko la misimamo ya kufurutu katika eneo la Mashariki ya Kati na bara Ulaya.
-
Wanachama 400 wa Daesh wameingia Ulaya kutekeleza mashambulizi ya kigaidi
Mar 24, 2016 03:57Kundi la kigaidi la Daesh limetuma wanachama 400 katika nchi za Ulaya kwa ajili ya kufanya mashambulizi ya kigaidi.
-
Wanachama 400 wa Daesh wameingia Ulaya kutekeleza mashambulizi ya kigaidi
Mar 24, 2016 03:35Kundi la kigaidi la Daesh limetuma wanachama 400 katika nchi za Ulaya kwa ajili ya kufanya mashambulizi ya kigaidi.