Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ulimwengu wa Michezo

  • Ulimwengu wa Michezo, Jan 22

    Ulimwengu wa Michezo, Jan 22

    Jan 22, 2024 08:50

    Hujambo mpenzi msikilizaji na karibu tutupie jicho baadhi ya matukio makubwa ya michezo yaliyojiri ndani ya siku saba zilizopita, kitaifa, kieneo na kimataifa.

  • Ulimwengu wa Spoti, Januari 15

    Ulimwengu wa Spoti, Januari 15

    Jan 15, 2024 08:25

    Huu ni mkusanyiko wa baadhi ya matukio makubwa ya spoti yaliyojiri ndani ya siku zilizopita, kitaifa, kieneo na kimataifa....

  • City yatwaa ubingwa Kombe la Dunia kwa Klabu+VIDEO

    City yatwaa ubingwa Kombe la Dunia kwa Klabu+VIDEO

    Dec 23, 2023 07:54

    Manchester City ya Uingereza imeibuka kidedea na kutwaa ubingwa wa Kombe la Dunia kwa Klabu kwa mara ya kwanza, na hivyo kuidhihirishia dunia kwa mara nyingine tena kuwa ndiyo klabu bora zaidi duniani.

  • Soka Afrika: Uganda kidedea Cecafa U18

    Soka Afrika: Uganda kidedea Cecafa U18

    Dec 09, 2023 11:14

    Timu ya taifa ya soka ya vijana ya Uganda imebuka kidedea baada ya kuichabanga Kenya mabao 2-1 katika fainali ya Mashindano ya Kandanda ya Kanda ya Afrika Mashariki na Kati Cecafa kwa vijana wenye chini ya miaka 18.

  • Kombe la Dunia U17; Ujerumani bingwa

    Kombe la Dunia U17; Ujerumani bingwa

    Dec 03, 2023 10:59

    Kwa mara ya kwanza, Ujerumani imetwaa ubingwa wa Kombe la Dunia kwa vijana wa kiume wenye chini ya umri wa miaka 17.

  • Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini mabingwa wa Ligi ya Soka ya Afrika

    Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini mabingwa wa Ligi ya Soka ya Afrika

    Nov 13, 2023 06:17

    Klabu ya Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini imetwaa ubingwa wa Kombe la Ligi ya Kandanda ya Afrika baada ya kuicharaza Wydad Casablanca jumla wa mabao 3-2 kwenye fainali ya mkondo wa pili iliyopigwa Jumapili hii ya Novemba 12.

  • Persepolis yapoteza mechi yake ya kwanza Ligi ya Klabu Bingwa Asia

    Persepolis yapoteza mechi yake ya kwanza Ligi ya Klabu Bingwa Asia

    Sep 20, 2023 14:08

    Mechi za raundi ya 1 ya Ligi ya Klabu Bingwa barani Asia zilifanyika jana Jumanne.

  • Iran yaitandika Angola 4-0 katika Fifa Day

    Iran yaitandika Angola 4-0 katika Fifa Day

    Sep 13, 2023 04:16

    Timu ya taifa ya soka ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeitandika timu ya soka ya taifa ya Angola mabao 4 kwa sifuri katika mechi ya kirafiki iliyochezwa katika dimba la Azadi mjini Tehran.

  • Mabinti wa Iran watwaa ubingwa wa Asia wa mchezo wa Taekwondo

    Mabinti wa Iran watwaa ubingwa wa Asia wa mchezo wa Taekwondo

    Sep 05, 2023 07:00

    Duru ya 12 ya Mashindano ya Vijana ya Taekwondo nchini Lebanon ilimalizika Jumatatu kwa timu ya mabinti ya Iran kutwaa taji la ubingwa wa Asia.

  • Arsenal yaigaragaza Manchester United 3-1

    Arsenal yaigaragaza Manchester United 3-1

    Sep 04, 2023 04:45

    Timu ya soka ya Arsenal ya Uingereza jana iliendeleza matokeo mazuri ya msimu huu wa Ligi Kuu ya EPL baada ya kuwatandika watani wao wa jadi Manchester United mabao 3 kwa moja la kufutia machozi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS