Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • Wananchi wa Yemen wafanywa wahanga wa mchezo wa UN katika uwanja wa  Saudi Arabia

    Wananchi wa Yemen wafanywa wahanga wa mchezo wa UN katika uwanja wa Saudi Arabia

    Jun 07, 2016 23:11

    Umoja wa Mataifa umetupilia mbali msimamo wake wa awali na kulifuta jina la Muungano vamizi unaoongozwa na Saudia huko Yemen katika orodha yake nyeusi kutokana na kukiuka haki za watoto wa Yemen.

  • UN yatahadharisha kuhusu kuwa wakimbizi watu zaidi ya laki mbili huko Syria

    UN yatahadharisha kuhusu kuwa wakimbizi watu zaidi ya laki mbili huko Syria

    Jun 06, 2016 09:24

    Ofisi ya Uratibu wa Misaada ya Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa imetahadharisha kuwa mapigano kati ya Wakurdi wa Syria na kundi la Kigaidi la Daesh karibu na mji wa Manbij huenda yakasababisha watu zaidi ya laki mbili na elfu kumi na sita kuwa wakimbizi.

  • Ban Ki moon aomboleza kifo cha Muhammad Ali

    Ban Ki moon aomboleza kifo cha Muhammad Ali

    Jun 05, 2016 09:56

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametoa mkono wa pole kufuatia kifo cha bingwa na nguli wa ndondi duniani, Muhammad Ali.

  • UN: Kuongezewa adhabu ya kifungo Sheikh Salman ni ukandamizaji wa kisiasa

    UN: Kuongezewa adhabu ya kifungo Sheikh Salman ni ukandamizaji wa kisiasa

    Jun 02, 2016 03:18

    Ripota maalumu wa Umoja wa Mataifa anayehusika na masuala ya uhuru wa maoni na uhuru wa kujieleza amelaani vikali uamuzi wa mahakama ya rufaa ya Bahrain wa kuidhinisha hukumu iliyotolewa dhidi ya Sheikh Ali Salman, Katibu Mkuu wa Harakati ya Al-Wifaq na kuongeza adhabu hiyo ya kifungo hadi miaka tisa.

  • Umoja wa Mataifa wataka juhudi zaidi kukabiliana na udhalilishaji wa kijinsia Kodivaa

    Umoja wa Mataifa wataka juhudi zaidi kukabiliana na udhalilishaji wa kijinsia Kodivaa

    Jun 01, 2016 23:37

    Mwakilishi maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameishukuru serikali ya Ivory Coast kwa juhudi zake za kukabiliana na udhalilishaji wa kijinsia na kutaka juhudi zaidi ziongezwe katika uwanja huo.

  • Kumalizika maambukizo ya Ebola nchini Guinea Conakry

    Kumalizika maambukizo ya Ebola nchini Guinea Conakry

    Jun 01, 2016 10:58

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza habari ya kumalizika maambukizo ya homa hatari ya Ebola huko Guinea Conakry.

  • Maandamano ya wanaopigania kujitenga eneo la kusini mwa Nigeria

    Maandamano ya wanaopigania kujitenga eneo la kusini mwa Nigeria

    Jun 01, 2016 02:29

    Polisi katika jimbo la Niger Delta kusini mwa Nigeria wameeleza wasiwasi wao kuhusu kuongezeka maandamano ya wanaopigania kujitenga eneo hilo.

  • Wasiwasi wa Umoja wa Mataifa kuhus jinai za Daesh huko Falluja, Iraq

    Wasiwasi wa Umoja wa Mataifa kuhus jinai za Daesh huko Falluja, Iraq

    May 30, 2016 23:48

    Msemaji wa Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa amesema jinai zinazotekelezwa na magaidi wa kundi la Daesh katika mji wa Falluja huko Iraq zinatia wasiwasi.

  • Wanajeshi wa Mauritania waanza kulinda amani CAR katika kikosi cha UN

    Wanajeshi wa Mauritania waanza kulinda amani CAR katika kikosi cha UN

    May 29, 2016 02:22

    Wanajeshi wa Mauritania wameanza kuhudumu katika kikosi cha kulinda amani cha Umoja wa Mataifa huko Jamhuri ya Afrika ya Kati.

  • UNEA yaidhinisha maazimio 25 ya kuimarisha maendeleo endelevu

    UNEA yaidhinisha maazimio 25 ya kuimarisha maendeleo endelevu

    May 28, 2016 11:31

    Mkutano wa pili wa Umoja wa Mataifa kuhusu mazingira UNEA2 umepasisha maazimio 25 yanayolenga kuchochea zaidi maendeleo endelevu yasiyochafua mazingira.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS