-
Wasiwasi wa Umoja wa Mataifa kuhus jinai za Daesh huko Falluja, Iraq
May 30, 2016 23:48Msemaji wa Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa amesema jinai zinazotekelezwa na magaidi wa kundi la Daesh katika mji wa Falluja huko Iraq zinatia wasiwasi.
-
Wanajeshi wa Mauritania waanza kulinda amani CAR katika kikosi cha UN
May 29, 2016 02:22Wanajeshi wa Mauritania wameanza kuhudumu katika kikosi cha kulinda amani cha Umoja wa Mataifa huko Jamhuri ya Afrika ya Kati.
-
UNEA yaidhinisha maazimio 25 ya kuimarisha maendeleo endelevu
May 28, 2016 11:31Mkutano wa pili wa Umoja wa Mataifa kuhusu mazingira UNEA2 umepasisha maazimio 25 yanayolenga kuchochea zaidi maendeleo endelevu yasiyochafua mazingira.
-
UN: Kutunza Mazingira ni msingi wa amani, maendeleo
May 26, 2016 23:01Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Jan Eliasson , amesema kutunza mazingira ni msingi wa amani, maendeleo na ubinadamu kwa wote.
-
Sudan yamtimua ofisa wa UN kwa kuandaa ripoti 'bandia' juu ya Darfur
May 26, 2016 03:11Sudan imemtimua ofisa mwandamizi wa Umoja wa Mataifa nchini humo kwa tuhuma za kuandaa kile kilichotajwa na serikali ya Khartoum kuwa ripoti bandia kuhusu hali ya kiusalama katika eneo la Darfur.
-
UN: Iran ni muhimu katika mchakato wa amani Syria
May 26, 2016 03:02Umoja wa Mataifa umesema kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni nchi yenye umuhimu mkubwa katika mchakato wa kuupatia ufumbuzi mgogoro wa kisiasa nchini Syria, sambamba na kupatika amani ya kudumu katika nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Umoja wa Mataifa wasikitishwa na kufukuzwa afisa wake nchini Sudan
May 23, 2016 02:56Umoja wa Mataifa umesema kuwa, kitendo cha Sudan cha kukataa kumuongezea muda wa iqama na kibali cha kuishi afisa mmoja wa ngazi za juu wa umoja huo, kina maana ya kumfukuza nchini humo.
-
Mivutano ya kisiasa Kongo yautia wasiwasi Umoja wa Mataifa
May 23, 2016 02:45Mjumbe maalumu wa Umoja wa Mataifa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ameelezea wasiwasi wa umoja huo kufuatia kuongezeka mizozo ya kisiasa nchini humo.
-
Bunge la Somalia latakiwa kuidhinisha uchaguzi wa rais
May 22, 2016 11:51Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa na nchi wafadhili za Magharibi zimelitaka Bunge la Somalia kuharakisha mchakato wa kufanyika uchaguzi mkuu katika nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.
-
Balozi wa Kenya UN ateuliwa kuwa mjumbe wa Ban Ki-moon kuhusu El Nino na mabadiliko ya tabianchi
May 21, 2016 23:52Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon amewateua Balozi Macharia Kamau wa Kenya na Bi. Mary Robinson wa Ireland kuwa wajumbe wake maalumu kuhusu masuala ya El Niño na mabadiliko ya tabianchi.