-
UN: Kutunza Mazingira ni msingi wa amani, maendeleo
May 26, 2016 23:01Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Jan Eliasson , amesema kutunza mazingira ni msingi wa amani, maendeleo na ubinadamu kwa wote.
-
Sudan yamtimua ofisa wa UN kwa kuandaa ripoti 'bandia' juu ya Darfur
May 26, 2016 03:11Sudan imemtimua ofisa mwandamizi wa Umoja wa Mataifa nchini humo kwa tuhuma za kuandaa kile kilichotajwa na serikali ya Khartoum kuwa ripoti bandia kuhusu hali ya kiusalama katika eneo la Darfur.
-
UN: Iran ni muhimu katika mchakato wa amani Syria
May 26, 2016 03:02Umoja wa Mataifa umesema kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni nchi yenye umuhimu mkubwa katika mchakato wa kuupatia ufumbuzi mgogoro wa kisiasa nchini Syria, sambamba na kupatika amani ya kudumu katika nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Umoja wa Mataifa wasikitishwa na kufukuzwa afisa wake nchini Sudan
May 23, 2016 02:56Umoja wa Mataifa umesema kuwa, kitendo cha Sudan cha kukataa kumuongezea muda wa iqama na kibali cha kuishi afisa mmoja wa ngazi za juu wa umoja huo, kina maana ya kumfukuza nchini humo.
-
Mivutano ya kisiasa Kongo yautia wasiwasi Umoja wa Mataifa
May 23, 2016 02:45Mjumbe maalumu wa Umoja wa Mataifa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ameelezea wasiwasi wa umoja huo kufuatia kuongezeka mizozo ya kisiasa nchini humo.
-
Bunge la Somalia latakiwa kuidhinisha uchaguzi wa rais
May 22, 2016 11:51Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa na nchi wafadhili za Magharibi zimelitaka Bunge la Somalia kuharakisha mchakato wa kufanyika uchaguzi mkuu katika nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.
-
Balozi wa Kenya UN ateuliwa kuwa mjumbe wa Ban Ki-moon kuhusu El Nino na mabadiliko ya tabianchi
May 21, 2016 23:52Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon amewateua Balozi Macharia Kamau wa Kenya na Bi. Mary Robinson wa Ireland kuwa wajumbe wake maalumu kuhusu masuala ya El Niño na mabadiliko ya tabianchi.
-
UN: Tunasikitishwa na kuongezeka jinai za Israel dhidi ya Wapalestina
May 21, 2016 11:28Umoja wa Mataifa umeelezea kusikitishwa kwake na ongezeko la jinai za Israel dhidi ya Wapalestina.
-
UN yalaani kuuawa askari wake wa kulinda amani Mali
May 20, 2016 11:55Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limelaani mauaji ya askari watano wa kulinda amani wa Umoja huo nchini Mali ambao walipoteza maisha kufuatia hujuma ya kigaidi.
-
Umoja wa Mataifa: Mgogoro wa wakimbizi ni wa dunia nzima
May 16, 2016 23:50Kamishna Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya wakimbizi amesema kuwa, mgogoro wa wakimbizi ni tatizo la dunia nzima.