Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • Umoja wa Mataifa: 741 waliuawa mwezi Aprili nchini Iraq

    Umoja wa Mataifa: 741 waliuawa mwezi Aprili nchini Iraq

    May 01, 2016 23:33

    Takwimu za hivi punde za Umoja wa Mataifa zinaonyesha kuwa idadi ya watu waliouawa katika machafuko na wimbi la mashambulizi ya kigaidi nchini Iraq mwezi uliopita wa Aprili ni watu 741.

  • UN kuingilia kati hatua ya Marekani kupora dola bilioni za Iran

    UN kuingilia kati hatua ya Marekani kupora dola bilioni za Iran

    Apr 30, 2016 03:11

    Ban Ki-moon, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema yuko tayari kuutafutia ufumbuzi mgogoro kati ya Iran na Marekani kuhusu hatua ya Washington kuzuia mali za Tehran katika benki zake.

  • Yumkini idadi ya waliouawa Burundi imepindukia 1,000

    Yumkini idadi ya waliouawa Burundi imepindukia 1,000

    Apr 28, 2016 10:46

    Umoja wa Mataifa umetaarifiwa kuwa idadi ya watu waliouawa katika mgogoro wa kisiasa nchini Burundi yumkini imepindukia watu 1,000.

  • Umoja wa Mataifa wapongeza hatua ya Machar kurejea Juba

    Umoja wa Mataifa wapongeza hatua ya Machar kurejea Juba

    Apr 27, 2016 10:06

    Umoja wa Mataifa umepongeza hatua ya Riek Machar, kiongozi wa upinzani wa Sudan Kusini kurejea katika mji mkuu wa nchi hiyo changa zaidi barani Afrika na kuunda serikali na Rais Salva Kiir.

  • Mfuko wa UN wa kuwasaidia wakimbizi wa Sudan Kusini wakauka

    Mfuko wa UN wa kuwasaidia wakimbizi wa Sudan Kusini wakauka

    Apr 26, 2016 03:49

    Umoja wa Mataifa umeonya kuwa unakabiliwa na uhaba mkubwa wa fedha za kuwasaidia maelfu ya wakimbizi wa Sudan Kusini na haswa ambao wamekimbilia nchi jirani ya Sudan.

  • UN yatiwa wasi wasi na ongezeko la taharuki ya kisiasa Kongo DR

    UN yatiwa wasi wasi na ongezeko la taharuki ya kisiasa Kongo DR

    Apr 26, 2016 03:46

    Umoja wa Mataifa umeelezea wasi wasi wake kuhusu kuongezeka taharuki na uhasama wa kisiasa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Rais Joseph Kabila wa DRC aonana na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa

    Rais Joseph Kabila wa DRC aonana na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa

    Apr 24, 2016 10:19

    Rais Joseph Kabila wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ameonana na Ban Ki mooon, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa na kujadiliana naye hali ya kisiasa na kiusalama ya nchi hiyo.

  • Machar: Nisilaumiwe, serikali ya Juba imenizuia kuingia nchini, yumkini nitasafiri Jumatatu

    Machar: Nisilaumiwe, serikali ya Juba imenizuia kuingia nchini, yumkini nitasafiri Jumatatu

    Apr 24, 2016 03:00

    Kiongozi wa waasi wa Sudan Kusini Riek Machar amesema binafsi anatamani kusafiri kwenda mji mkuu wa nchi hiyo Juba lakini serikali ya Rais Salva Kiir ndio imemnyima kibali cha kuingia mjini humo.

  • UN yazitaka pande hasimu Yemen kuzungumza kwa nia njema

    UN yazitaka pande hasimu Yemen kuzungumza kwa nia njema

    Apr 21, 2016 03:31

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amezitaka pande zinazozozana katika mgogoro wa Yemen kuketi kwenye meza ya mazungumzo ya Kuwait kwa nia njema.

  • UN yathibitisha, mamia ya wahajiri wameghariki pwani ya Libya

    UN yathibitisha, mamia ya wahajiri wameghariki pwani ya Libya

    Apr 21, 2016 02:44

    Umoja wa Mataifa umethibitisha kuwa, mamia ya wahamiaji haramu wamezama katika maji ya ya Libya baada ya boti waliyokuwa wakisafiria kuzama baharini.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS