-
Umoja wa Mataifa: 741 waliuawa mwezi Aprili nchini Iraq
May 01, 2016 23:33Takwimu za hivi punde za Umoja wa Mataifa zinaonyesha kuwa idadi ya watu waliouawa katika machafuko na wimbi la mashambulizi ya kigaidi nchini Iraq mwezi uliopita wa Aprili ni watu 741.
-
UN kuingilia kati hatua ya Marekani kupora dola bilioni za Iran
Apr 30, 2016 03:11Ban Ki-moon, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema yuko tayari kuutafutia ufumbuzi mgogoro kati ya Iran na Marekani kuhusu hatua ya Washington kuzuia mali za Tehran katika benki zake.
-
Yumkini idadi ya waliouawa Burundi imepindukia 1,000
Apr 28, 2016 10:46Umoja wa Mataifa umetaarifiwa kuwa idadi ya watu waliouawa katika mgogoro wa kisiasa nchini Burundi yumkini imepindukia watu 1,000.
-
Umoja wa Mataifa wapongeza hatua ya Machar kurejea Juba
Apr 27, 2016 10:06Umoja wa Mataifa umepongeza hatua ya Riek Machar, kiongozi wa upinzani wa Sudan Kusini kurejea katika mji mkuu wa nchi hiyo changa zaidi barani Afrika na kuunda serikali na Rais Salva Kiir.
-
Mfuko wa UN wa kuwasaidia wakimbizi wa Sudan Kusini wakauka
Apr 26, 2016 03:49Umoja wa Mataifa umeonya kuwa unakabiliwa na uhaba mkubwa wa fedha za kuwasaidia maelfu ya wakimbizi wa Sudan Kusini na haswa ambao wamekimbilia nchi jirani ya Sudan.
-
UN yatiwa wasi wasi na ongezeko la taharuki ya kisiasa Kongo DR
Apr 26, 2016 03:46Umoja wa Mataifa umeelezea wasi wasi wake kuhusu kuongezeka taharuki na uhasama wa kisiasa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Rais Joseph Kabila wa DRC aonana na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa
Apr 24, 2016 10:19Rais Joseph Kabila wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ameonana na Ban Ki mooon, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa na kujadiliana naye hali ya kisiasa na kiusalama ya nchi hiyo.
-
Machar: Nisilaumiwe, serikali ya Juba imenizuia kuingia nchini, yumkini nitasafiri Jumatatu
Apr 24, 2016 03:00Kiongozi wa waasi wa Sudan Kusini Riek Machar amesema binafsi anatamani kusafiri kwenda mji mkuu wa nchi hiyo Juba lakini serikali ya Rais Salva Kiir ndio imemnyima kibali cha kuingia mjini humo.
-
UN yazitaka pande hasimu Yemen kuzungumza kwa nia njema
Apr 21, 2016 03:31Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amezitaka pande zinazozozana katika mgogoro wa Yemen kuketi kwenye meza ya mazungumzo ya Kuwait kwa nia njema.
-
UN yathibitisha, mamia ya wahajiri wameghariki pwani ya Libya
Apr 21, 2016 02:44Umoja wa Mataifa umethibitisha kuwa, mamia ya wahamiaji haramu wamezama katika maji ya ya Libya baada ya boti waliyokuwa wakisafiria kuzama baharini.