-
Donald Tusk: Trump waheshimu washirika wa Marekani, huna marafiki wengi
Jul 10, 2018 23:46Mkuu wa Baraza la Umoja wa Ulaya, amemtaka Rais Donald Trump wa Marekani kuwa na heshima kwa washirika wa Washington na aache kuwakosoa kila siku.
-
Russia: Nchi za Ulaya kufanya biashara na Iran bila kutumia dola za Marekani
Jul 10, 2018 02:49Waziri wa Mambo wa Nje wa Russia, Sergei Lavrov amesema nchi tatu kubwa za Umoja wa Ulaya na ambazo zilisaini makubaliano ya nyuklia ya JCPOA zimeafikiana kuzindua uhusiano wa kibiashara na Iran pasina kutegemea matumizi ya dola za Marekani.
-
Ukosoaji mkali wa Madeleine Albright dhidi ya siasa za Trump kuhusu JCPOA
Jul 09, 2018 08:01Akizungumza hivi karibuni na gazeti la Ujerumani la Der Spiegel Madeleine Albright, Waziri wa Mambo ya Nje wa zamani wa Marekani amekosoa vikali hatua ya Rais Donald Trump wa nchi hiyo ya kujiondoka katika mapatano muhimu ya nyuklia ya JCPOA na kusema kuwa hatua hiyo inakinzana moja kwa moja na malengo aliyoyatangaza mwenyewe.
-
EU yaishambulia Imarati kwa kuvuruga uthabiti Somalia
Jul 06, 2018 08:57Bunge la Umoja wa Ulaya limezikosoa vikali Umoja wa Falme za Kiarabu na Saudi Arabia kwa kuikatia Somalia misaada kutokana na nchi hiyo ya Pembe ya Afrika kutangaza msimamo wa kutoegemea upande wowote katika mgogoro kati ya nchi nne za Kiarabu zikiongozwa na Saudia kwa upande mmoja na Qatar kwa upande wa pili.
-
UN, EU zaitaka Israel isibomoe kijiji cha Wapalestina Ukingo wa Magharibi
Jul 05, 2018 09:38Umoja wa Mataifa na Umoja wa Ulaya zimeutaka utawala wa Kizayuni wa Israel usitishe mpango wake wa kubomoa kijiji cha Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
-
Sisitizo jipya la Umoja wa Ulaya juu ya kulindwa mapatano ya nyuklia ya JCPOA
Jul 04, 2018 02:53Maya Kuchiánchik, Msemaji wa Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya amesisitizia azma ya Brussels kwa ajili ya kutekeleza kikamilifu na kwa namna chanya, makubaliano ya nyuklia maarufu kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA).
-
Safari ya Rais Rouhani Uswisi na Austria kwa malengo muhimu ya uhusiano wa pande mbili na kimatiafa
Jul 03, 2018 02:49Rais Hassan Rouani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Jumatatu alianza safari ya kuzitembelea Uswisi na Austria kufuatia mwaliko wa viongozi wa wa nchi hizo mbili za Ulaya. Rais Rouhani anaongoza ujumbe wa ngazi za juu wa kisiasa na kiuchumi katika safari hiyo
-
Umoja wa Ulaya wasisitiza kulinda mapatano ya nyuklia ya Iran
Jul 03, 2018 00:08Mkuu wa sera za kigeni katika Umoja wa Ulaya amesisitzia kuwa umoja huo unataka mapatano ya nyuklia ya Iran yanayojulikana rasmi kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezwaji,JCPOA, yatekelezwe kikamilifu.
-
Jenerali Khalifa Haftari aonya kuhusu kuweko majeshi ya kigeni Libya
Jun 30, 2018 03:11Jenerali Khalifa Haftari, kamanda wa kikosi kinachojulikana kama Jeshi la Taifa la Libya ameonya kuhusiana na kuweko kwa vikosi vya kigeni kusini mwa nchi hiyo kwa kisingizio cha kupambana na uhajiri haramu.
-
Nchi za kaskazini mwa Afrika zagoma kuwapokea wahajiri wa Kiafrika
Jun 30, 2018 03:01Nchi tano za kaskazini mwa Afrika zimekataa mapendekezo ya viongozi wa Ulaya ya kuanzisha kambi maalumu za wahajiri katika ardhi za nchi hizo kwa ajili ya kuwapokea wahajiri wa Kiafrika.