Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Ulaya

  • Donald Tusk: Trump waheshimu washirika wa Marekani, huna marafiki wengi

    Donald Tusk: Trump waheshimu washirika wa Marekani, huna marafiki wengi

    Jul 10, 2018 23:46

    Mkuu wa Baraza la Umoja wa Ulaya, amemtaka Rais Donald Trump wa Marekani kuwa na heshima kwa washirika wa Washington na aache kuwakosoa kila siku.

  • Russia: Nchi za Ulaya kufanya biashara na Iran bila kutumia dola za Marekani

    Russia: Nchi za Ulaya kufanya biashara na Iran bila kutumia dola za Marekani

    Jul 10, 2018 02:49

    Waziri wa Mambo wa Nje wa Russia, Sergei Lavrov amesema nchi tatu kubwa za Umoja wa Ulaya na ambazo zilisaini makubaliano ya nyuklia ya JCPOA zimeafikiana kuzindua uhusiano wa kibiashara na Iran pasina kutegemea matumizi ya dola za Marekani.

  • Ukosoaji mkali wa Madeleine Albright dhidi ya siasa za Trump kuhusu JCPOA

    Ukosoaji mkali wa Madeleine Albright dhidi ya siasa za Trump kuhusu JCPOA

    Jul 09, 2018 08:01

    Akizungumza hivi karibuni na gazeti la Ujerumani la Der Spiegel Madeleine Albright, Waziri wa Mambo ya Nje wa zamani wa Marekani amekosoa vikali hatua ya Rais Donald Trump wa nchi hiyo ya kujiondoka katika mapatano muhimu ya nyuklia ya JCPOA na kusema kuwa hatua hiyo inakinzana moja kwa moja na malengo aliyoyatangaza mwenyewe.

  • EU yaishambulia Imarati kwa kuvuruga uthabiti Somalia

    EU yaishambulia Imarati kwa kuvuruga uthabiti Somalia

    Jul 06, 2018 08:57

    Bunge la Umoja wa Ulaya limezikosoa vikali Umoja wa Falme za Kiarabu na Saudi Arabia kwa kuikatia Somalia misaada kutokana na nchi hiyo ya Pembe ya Afrika kutangaza msimamo wa kutoegemea upande wowote katika mgogoro kati ya nchi nne za Kiarabu zikiongozwa na Saudia kwa upande mmoja na Qatar kwa upande wa pili.

  • UN, EU zaitaka Israel isibomoe kijiji cha Wapalestina Ukingo wa Magharibi

    UN, EU zaitaka Israel isibomoe kijiji cha Wapalestina Ukingo wa Magharibi

    Jul 05, 2018 09:38

    Umoja wa Mataifa na Umoja wa Ulaya zimeutaka utawala wa Kizayuni wa Israel usitishe mpango wake wa kubomoa kijiji cha Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • Sisitizo jipya la Umoja wa Ulaya juu ya kulindwa mapatano ya nyuklia ya JCPOA

    Sisitizo jipya la Umoja wa Ulaya juu ya kulindwa mapatano ya nyuklia ya JCPOA

    Jul 04, 2018 02:53

    Maya Kuchiánchik, Msemaji wa Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya amesisitizia azma ya Brussels kwa ajili ya kutekeleza kikamilifu na kwa namna chanya, makubaliano ya nyuklia maarufu kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA).

  • Safari ya Rais Rouhani Uswisi na Austria kwa malengo muhimu ya uhusiano wa pande mbili na kimatiafa

    Safari ya Rais Rouhani Uswisi na Austria kwa malengo muhimu ya uhusiano wa pande mbili na kimatiafa

    Jul 03, 2018 02:49

    Rais Hassan Rouani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Jumatatu alianza safari ya kuzitembelea Uswisi na Austria kufuatia mwaliko wa viongozi wa wa nchi hizo mbili za Ulaya. Rais Rouhani anaongoza ujumbe wa ngazi za juu wa kisiasa na kiuchumi katika safari hiyo

  • Umoja wa Ulaya wasisitiza kulinda mapatano ya nyuklia ya Iran

    Umoja wa Ulaya wasisitiza kulinda mapatano ya nyuklia ya Iran

    Jul 03, 2018 00:08

    Mkuu wa sera za kigeni katika Umoja wa Ulaya amesisitzia kuwa umoja huo unataka mapatano ya nyuklia ya Iran yanayojulikana rasmi kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezwaji,JCPOA, yatekelezwe kikamilifu.

  • Jenerali Khalifa Haftari aonya kuhusu kuweko majeshi ya kigeni Libya

    Jenerali Khalifa Haftari aonya kuhusu kuweko majeshi ya kigeni Libya

    Jun 30, 2018 03:11

    Jenerali Khalifa Haftari, kamanda wa kikosi kinachojulikana kama Jeshi la Taifa la Libya ameonya kuhusiana na kuweko kwa vikosi vya kigeni kusini mwa nchi hiyo kwa kisingizio cha kupambana na uhajiri haramu.

  • Nchi za kaskazini mwa Afrika zagoma kuwapokea wahajiri wa Kiafrika

    Nchi za kaskazini mwa Afrika zagoma kuwapokea wahajiri wa Kiafrika

    Jun 30, 2018 03:01

    Nchi tano za kaskazini mwa Afrika zimekataa mapendekezo ya viongozi wa Ulaya ya kuanzisha kambi maalumu za wahajiri katika ardhi za nchi hizo kwa ajili ya kuwapokea wahajiri wa Kiafrika.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS