Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Ulaya

  • Mogherini: Trump hana uwezo wa kubatilisha JCPOA

    Mogherini: Trump hana uwezo wa kubatilisha JCPOA

    Nov 14, 2016 04:34

    Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya amesema makubaliano ya nyuklia kati ya Iran na kundi la 5+1 hayawezi kubatilishwa na serikali moja kwa kuwa yana baraka kamili ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.

  • Erdogan: EU inafanya njama ya kutoijumuisha Uturuki katika umoja huo

    Erdogan: EU inafanya njama ya kutoijumuisha Uturuki katika umoja huo

    Nov 13, 2016 12:44

    Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan amesema Umoja wa Ulaya unafanya njama ya kuishinikiza nchi yake iachane na mchakato wa kujiunga na umoja huo.

  • Mazungumzo ya Iran na Umoja wa Ulaya na fursa zilizopo

    Mazungumzo ya Iran na Umoja wa Ulaya na fursa zilizopo

    Nov 10, 2016 23:52

    Maafisa wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Umoja wa Ulaya wamekutana mjini Brussels Ubelgiji na kufanya mazungumzo kuhusiana na mambo muhimu yanayolihusu eneo la Mashariki ya Kati pamoja na masuala ya pande mbili.

  • Deby: EU ishirikiane na viongozi wa Afrika kukomesha wimbi la wahajiri

    Deby: EU ishirikiane na viongozi wa Afrika kukomesha wimbi la wahajiri

    Oct 13, 2016 04:30

    Rais Idris Deby wa Chad amesema ili kulipatia ufumbuzi jinamizi la wahajiri kumiminika barani Ulaya, sharti Umoja wa Ulaya uwahusishe viongozi wa Afrika katika mikakati yake ya kukomesha wimbi hilo la wahamiaji haramu.

  • Iran yakosoa waraka wa Bunge la Umoja wa Ulaya

    Iran yakosoa waraka wa Bunge la Umoja wa Ulaya

    Oct 08, 2016 04:45

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekosoa waraka ambao utachunguzwa na Bunge la Umoja wa Ulaya kuhusu mustakabali wa uhusiano wa umoja huo na Iran.

  • Erdogan: EU iwe imeijumuisha Uturuki kufikia mwisho wa mwezi huu

    Erdogan: EU iwe imeijumuisha Uturuki kufikia mwisho wa mwezi huu

    Oct 02, 2016 04:50

    Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan ameupa Umoja wa Ulaya hadi mwisho wa mwezi huu uwe umekamilisha mchakato wa nchi hiyo kujiunga na EU.

  • Umoja wa Ulaya warefusha vikwazo kwa Spika wa Bunge la Libya

    Umoja wa Ulaya warefusha vikwazo kwa Spika wa Bunge la Libya

    Oct 01, 2016 10:03

    Umoja wa Ulaya umetangaza kuwa, umemuongezea muda wa vikwazo Spika wa Bunge la Taifa la Libya.

  • Dunia yampongeza Rais wa Zambia licha ya uchaguzi tata

    Dunia yampongeza Rais wa Zambia licha ya uchaguzi tata

    Aug 18, 2016 09:31

    Ban Ki-moon, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ni miongoni mwa shakhsia na viongozi wa kwanza wa dunia kumpongeza Edgar Lungu kwa kushinda uchaguzi wa rais uliogubikwa na utata na ambao upinzani umeelekea mahakamani kupinga matokeo yake.

  • EU: Idadi ya wahajiri wanaoingia Italia imeongezeka kwa 12%

    EU: Idadi ya wahajiri wanaoingia Italia imeongezeka kwa 12%

    Aug 13, 2016 03:00

    Shirika la Umoja wa Ulaya la Frontex linaloshughulikia masuala ya mipaka limesema idadi ya wahajiri wanaoingia nchini Italia imeongezeka kwa asilimia 12.

  • Chuki dhidi ya wahajiri Uingereza zaongezeka baada ya Brexit

    Chuki dhidi ya wahajiri Uingereza zaongezeka baada ya Brexit

    Jul 01, 2016 03:39

    Chuki dhidi ya wahajiri nchini Uingereza zimeongezeka kwa asilimia 500, siku chache baada ya nchi hiyo kupiga kura ya kujiondoa kwenye Umoja wa Ulaya maarufu kama Brexit.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS