-
Uingereza yapiga kura kujiondoa Umoja wa Ulaya, EU
Jun 23, 2016 22:28Matokeo yasiyo rasmi ya kura ya maoni iliyopigwa hapo jana kuhusu Uingereza kujitoa au kubakia ndani ya Umoja wa Ulaya (EU) yanaonyesha kuwa Waingereza wataondoka EU.
-
Umoja wa Ulaya waahidi kushirikiana na Afrika Magharibi dhidi ya ugaidi
Jun 25, 2016 01:55Umoja wa Ulaya umesema kuwa utashirikiana na nchi za eneo la Magharibi mwa Afrika katika vita dhidi ya ugaidi.
-
Cameron ajiuzulu kama Waziri Mkuu baada ya Uingereza kujiondoa EU
Jun 24, 2016 03:53Waziri Mkuu wa Uingereza David Cameron amejiuzulu baada ya Waingereza kupiga kura ya kujiondoa katika Umoja wa Ulaya.
-
Umoja wa Ulaya warefusha vikwazo kwa Russia
Jun 17, 2016 10:22Baraza la Umoja wa Ulaya limerefusha vikwazo vya umoja huo dhidi ya Russia.
-
EU na mikakati mipya nchini Mali ya kuzuia wahamiaji haramu
Jun 16, 2016 03:16Umoja wa Ulaya umesema unatekeleza mikakati huko Mali kwa lengo la kuzuia kuendelea wimbi la wahamiaji haramu kuelekea Ulaya.
-
UN yaidhinisha kupanuliwa operesheni za EU, Libya
Jun 15, 2016 03:27Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kwa sauti moja limepasisha azimio linaloupa idhini Umoja wa Ulaya kuongeza operesheni za vikosi vyake vya majini katika pwani ya Libya, katika Bahari ya Mediterranean.
-
EU yailazimisha mitandao ya kijamii kutia saini sheria ya kukabiliana na mafundisho ya kundi la Daesh
May 31, 2016 22:39Umoja wa Ulaya unaendeleza juhudi za kudhibiti kikamilifu katika mitandao ya kijamii mafundisho ya ukatili na ubaguzi vinavyofanywa na wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh.
-
Uholanzi yakataa kupiga marufuku kampeni dhidi ya Israel
May 27, 2016 03:21Uholanzi imekataa wito wa utawala wa kibaguzi wa Israel wa kupiga marufuku kampeni inayozidi kupanuka ya kimataifa ya kutaka walimwengu wasusie bidhaa za Israel.
-
Libya yauomba Umoja wa Ulaya uisaidie kulinda fukwe zake
May 23, 2016 06:42Serikali ya Libya imeuomba Umoja wa Ulaya uisaidie kulinda fukwe zake kupitia kutoa mafunzo kwa jeshi la majini la nchi hiyo.
-
Iran: Ulaya itoe ushirikiano katika kupambana na ugaidi na utekelezaji wa JCPOA
Apr 30, 2016 11:47Rais Hassan Rouhani ameutaka Umoja wa Ulaya utoe ushirikiano katika mapambano dhidi ya ugaidi na kusisitizia ulazima wa kutekelezwa ipasavyo makubaliano ya nyuklia (JCPOA).