-
UNICEF: Vita nchini Libya vimekuwa na taathira mbaya mno hasa kwa watoto
Mar 05, 2020 08:18Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) umetangaza kuwa, watu wasiopungua 1,800,000 wameathirika vibaya na vita vya ndani nchini humo ambapo 266,000 kati yao ni watoto wadogo.
-
Unicef: Mamilioni ya watoto wanasumbuliwa na utapiamlo
Oct 17, 2019 01:40Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) umetangaza kuwa mamilioni ya watoto duniani wanasumbuliwa na utapiamlo.
-
UNICEF: Watoto milioni moja wanakabiliwa na hatari ya kifo nchini Msumbiji
Sep 18, 2019 07:50Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) umetangaza kuwa, watoto milioni moja nchini Msumbiji wanakabiliwa na hatari ya kifo baada ya nchi hiyo kukumbwa na kimbunga.
-
UNICEF: Maisha ya watoto 500,000 wa Kilibya yapo hatarini
Apr 10, 2019 04:36Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa UNICEF umetangaza kuwa, maisha ya watoto 500,000 nchini Libya yapo hatarini kutokana na kuibuka mapigano mapya katika mji mkuu wa nchi hiyo Tripoli.
-
Unicef: Mwaka 2018 umeshuhudia mauaji ya idadi kubwa zaidi ya watoto wa Syria
Mar 12, 2019 16:15Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) umetangaza kuwa, mwaka 2018 ndio uliokuwa na mauaji ya idadi kubwa zaidi ya watoto nchini Syria.
-
Tahadharisho la UNICEF kuhusu mauaji mapya ya watoto nchini Yemen
Feb 01, 2019 02:48Mfuko wa Umoja wa Mataifa wa Kuhudumia Watoto ulisema siku ya Jumatano kwamba, watoto elfu sita na 700 wa Yemen wameshauawa tangu Saudi Arabia na kundi lake walipoanzisha mashambulizi ya kila upande nchini humo.
-
UNICEF: Zaidi ya watoto 6,000 wa Kiyemen wameuawa au kujeruhiwa katika vita vya Saudi Arabia dhidi ya Yemen
Jan 31, 2019 07:48Mfuko wa Kuhudumia Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) umetangaza kuwa, watoto 6,700 wa Kiyemen wameuawa au kujeruhiwa tangu Saudi Arabia ilipoanzisha hujuma yake ya kijeshi dhidi ya nchi masikini ya Yemen.
-
UNICEF: Watoto Milioni 41 duniani wanahitaji msaada wa dola bilioni 3.9
Jan 30, 2019 01:09Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto, UNICEF limesema linahitaji msaada wa dola bilioni 3.9 ili kuwasaidia watoto milioni 41 walio katika maeneo ya majanga kote duniani.
-
Unicef yataja nchi zenye ukosefu mkubwa wa amani kwa watoto
Jan 06, 2019 14:38Mfuko wa Kuhudumia Watoto wa Umoja wa Mataifa (Unicef) umetangaza katika ripoti yake kuwa mustakbali wa mamilioni ya watoto wanaoishi katika nchi zilizokumbwa na vita uko hatarini.
-
Siku ya kwanza ya mwaka 2019 yakaribisha watoto laki nne duniani
Jan 01, 2019 15:17Taarifa iliyotolewa na Shirika la Watoto la Umoja wa Mataifa, (UNICEF) imesema kuwa watoto laki tatu na 95 elfu wanatarajiwa kuzaliwa leo katika siku ya kwanza ya mwaka mpya wa 2019.