-
Wazayuni waongeza njama za kuuvamia Msikiti wa al Aqsa
Feb 01, 2017 23:21Bunge la utawala wa Kizayuni wa Israel Knesset limefuta marufuku iliyokuwa inawazuia wabunge wa utawala huo kuingia ndani ya msikiti wa al Aqsa, ambacho ni Kibla cha Kwanza cha Waislamu.
-
Wapalestina waandamana kulaani ujenzi wa vitongoji wa Israel
Jan 14, 2017 00:27Wananchi wa Palestina walifanya maandamano Ijumaa ya jana kulalamikia siasa za utawala wa Kizayuni za kubomoa nyumba zao katika ardhi zilizoporwa na utawala huo mwaka 1948.
-
Kuzidi kuwa "ngangari" Wapalestina mbele ya jinai za Israel
Jan 12, 2017 23:01Wakazi Waarabu katika mji wa Qalansuwa wa kaskazini mwa ardhi za Palestina zilizopachikwa jina la Israel wameanzisha mgomo wa wote kwa ajili ya kulalamikia hatua ya utawala wa Kizayuni ya kuvunja nyumba zao 11.
-
Idadi ya wazayuni walioangamizwa katika shambulio la Quds yafikia sita
Jan 09, 2017 03:42Duru za Palestina zimetangaza kuwa idadi ya wazayuni walioangamizwa katika operesheni ya shambulio iliyotekelezwa na kijana mmoja wa Kipalestina imefikia sita baada ya wazayuni wengine wawili waliojeruhiwa katika shambulio hilo kufariki dunia. Wazayuni wengine wasiopungua 20 walijeruhiwa katika shambulio hilo.
-
Iran: Utawala wa Kizayuni hauna nafasi yoyote Mashariki ya Kati
Jan 07, 2017 12:29Mkuu wa Kamisheni ya Usalama wa Taifa na Siasa za Nje ya Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesisitiza kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel hauwezi kuwa na nafasi yoyote katika eneo la Mashariki ya Kati iwapo Waislamu watashikamana na kuwa kitu kimoja.
-
Utawala wa Kizayuni umeweka rekodi mwaka 2016 ya kuua watoto wengi Wapalestina
Jan 05, 2017 12:40Shirika la Kimataifa la Kulinda Watoto (DCI) limeeleza katika ripoti yake mpya kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel uliua watoto wengi zaidi Wapalestina katika mwaka uliomalizika wa 2016 kulinganisha na miaka 10 iliyopita na wala hauwajibiki mbele ya yeyote kwa mauaji uliyofanya.
-
Jeshi la Nigeria: Boko Haram wanapatiwa silaha na Israel
Jan 04, 2017 00:58Duru za Nigeria zimefichua kuwa, kundi la wanamgambo wa kigaidi wa Boko Haram limekuwa likipata misaada ya silaha kutoka kwa utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Israel yazidisha harakati za kuiyahudisha Quds tukufu
Dec 31, 2016 00:17Duru za Palestina zimetangaza kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel umechimba mashimo mapya chini ya Msikiti wa al Aqsa huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.
-
Kukiri duru za Kizayuni juu ya kuwa mbaya hali ya Gaza
Dec 30, 2016 04:25Kituo kimoja cha haki za binadamu cha Israel kimekiri kwamba, utawala wa Kizayuni wa Israel umekuwa ukiifanya kuwa mbaya siku baada ya siku hali ya kibinadamu katika Ukanda wa Gaza huko Palestina.
-
Dk. Hanna Issa: Mashimo mengine kadhaa yamechimbwa chini ya msikiti wa Al-Aqsa
Dec 30, 2016 03:44Kamati ya Kiislamu na Kikristo ya kuuhami mji mtukufu wa Baitul Muqaddas na matukufu yake imeripoti kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel umechimba mashimo mengine kadhaa chini ya msikiti mtukufu wa Al-Aqsa.